Native diaspora
JF-Expert Member
- Nov 19, 2020
- 265
- 458
- Thread starter
- #101
Inahitaji uwe na foundation ya technician course ya engineer auHii ni online course ambayo inatolewa CATERPILLAR.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahitaji uwe na foundation ya technician course ya engineer auHii ni online course ambayo inatolewa CATERPILLAR.
Mkuu naitaji kujifunza nitaptawapi mwalimu hata kwa onlineNdio mashiko yapo maana tafiti yoyote ile inahitaji uchambuzi na uchakataji wa taharifa ambao ni bora lkn unavyo soma short course kama hii jitaidi kuwa na connection na watu wanao fanya tafiti kama vile NGOs, Student
Mimi niliwai kusomea short course ya data analysis kwa kutumia Genstat wakati nipo chuo mwaka watatu kusema kweli nilipata pesa ya kutosha kupitia wanafunzi wenzangu pia iliniwezesha kunipatia ajira yangu ya kwanza
Mwisho kabisa lkn sio lazima ukiwa data analytics inabidi uwe na uwezo wa kuandika finds mbali mbali hii itakusaidia sana kupata kazi
Short course ya udereva NIT ndio ninayojua inayobadilisha maisha ya watu wengi. Zitakuwepo courses nyingine vyuo vingine ila ni ndefu, gharama kubwa na zinahitaji akili kichwani.Hujakutana na drivers ehee? Walio piga short corse NIT na wakajipata??
Usiongee sana as if huyajui mambo ya ground.
Braza hakosei mkuu 🤣🤣Mkuu ma Dili yako ni konki Sana 😂
Unahitaji kujifunza kipi mdogo wangu.......!!!!Mkuu naitaji kujifunza nitaptawapi mwalimu hata kwa online
Mnitie hasara......sitaki 🤣🤣🤣Tukopeshe mitaji mkuu
Depal.....ground ndio hivyo nawafundisha madogo njia rahisi ya kujipata....!!!Hujakutana na drivers ehee? Walio piga short corse NIT na wakajipata??
Usiongee sana as if huyajui mambo ya ground.
Sawa dogo......kaajiriwe........!!!!Huwezi kunielewa ila madogo mawinga wa kkoo na mbinga na na machame wananielewa kipi namaanishaJIDANGANYE
Umenifumbua aisee kwenye hiliNi suala la logic na critical thinking , haihitaji mathe nyingi wala nini,
kah.Mimi hapa kipenz....short course yangu nipo kukusoma wewe na bado haijakamilika na ndiyo ninayoamini nitatobolea maisha
Basic Security Course.Wakuu, habari za muda na wakati huu.
Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.
Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.
miezi mingapi maana wengine leseni zetu za mchongoNenda hapo nit, chukua driving full course, utakula Maisha Kuliko wengi wenye degree
Nenda computing centre udsmMkuu naitaji kujifunza nitaptawapi mwalimu hata kwa online
Nakubali shukrani mkuuShort course ya udereva NIT ndio ninayojua inayobadilisha maisha ya watu wengi. Zitakuwepo courses nyingine vyuo vingine ila ni ndefu, gharama kubwa na zinahitaji akili kichwani.
Kuna 'kilaza' mmoja kaka yake alikuwa anapanga kwa mama mkubwa. Kaka yake alisoma NIT akawa dereva wa mabosi wa kampuni moja ya kitu kama survey hivi. Kaka mtu kwao maisha magumu ila akili alikuwa nazo sema ada ya kusoma zaidi alikosa baba yao alifariki mapema. Mdogo mtu kichwani mweupe kaka yake akaona asizunguke wacha aingie kwenye udereva hautaki akili sana. Kaka mtu alifanikiwa kuoa, akajenga nyumba yake na kujenga kwao (nahisi kuna udanganyifu fulani kwenye kampuni alikuwa anafanya).
Nimekaa miaka kadhaa nimekuja sikia mdogo mtu yupo kwenye fleet ya wanaomuendesha Majaliwa. Ana maisha safi tatizo mapenzi yanamuendesha.
Bado kuna jirani yetu dereva alikuwa na maisha safi kabla hajakamatwa kwa wizi uko kazini kwake akaachishwa ila alikuwa ameishajenga angalau. Ni watu wengi ninaojua walifanikiwa kwa udereva wakati elimu za kawaida. Mpaka leo ninaamini Tanzania hii skill isiyotumia akili na gharama kubwa inayoweza muokoa mtu ni udereva wa ngazi za juu.
Skills nyingine nilizoshuhudia hazifundishwi direct chuoni.
Hapana, unaweza ukawa artisan, technician au engineer na ukasoma tu bila shida. Kikubwa tu uwe na basic ya ufundi hasa wa magari katika angle yoyote ile iwe makenika au umeme.Inahitaji uwe na foundation ya technician course ya engineer au
🥰🥴kah.
Nifunze na mieDepal.....ground ndio hivyo nawafundisha madogo njia rahisi ya kujipata....!!!
Wajifunze kozi ya jinsi ya kuchukua hela popote ilipo......hii kozi haina ada na cheti......ni utimamu wa akili tu!!!
Kuajiriwa iwe second option