mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
And no need to be with him!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti ndugu zangu, kuna mtu anafahamu Kaseja alifanya kosa gani ambalo halisameheki?
Watanzania tusiwe wepesi wa kulaumu. Huyu bwana Maximo amejitahidi kwa kiasi fulani lazima tukubali. Tunataka tumpe ukocha nani? Mziray? Jamhuri Kihwelo?
Kipigo cha 5-1 na mapharaoh wa misri hicho hakipingiki, hatukuwa na maandalizi ya kutosha, siwezi kumlaumu sana barthez peke yake, kwa ujumla timu nzima haikucheza siku hiyo na hata Kaseja angekuwepo lazima tungefungwa tu! Suala la kipa wa benchi kudata hilo kwangu siyo tatizo mbona Ben Foster wa Man Utd kadaka juzi kwenye mechi ya Brazil vs England wakati anawekwa benchi na Ben Foster.
Mimi namtetea Maximo ktk suala zima la kujenga nidhamu, huwezi kuwa na watu wanaogawa timu au bila yeye mambo hayaendi. Tujiulize kabla ya Maximo tumechukua makombe mangapi? Tusiwe watu wa kuchonga sana, tusaidiane ktk kujenga soka na pia natoa ushauri kwa akina Mziray et al sio tu lazima Kaseja au Chuji awepo ndio stars inakuwa imekamilika, kuna wachazeji mikoani wenye vipaji vizuri ndio hao tunatakiwa tuwaibue. Brazil mastaa wote huibuliwa toka timu changa siyo lazima watoke Simba au Yanga
Huyu Maximo anacheza na akili za watu. Watanzania lazima waamke na kuangalia na kuchambua huyu Maximo amefanya nini tangu aje.
Kwanza nadhani hana mpango unao heleweka wa kuendeleza soka hapa Tanzania na matokeo yake ni kubadillisha timu kila siku.
Visingizio kuwa Tanzania haina Proffessional players siyo ya msingi.
Binafsi ningependa kumuuliza swali Maximo, kwa nini wasaidizi wake (wanaotoka Brazil) hawakai?
Phiri nae akichemsha sijui tutamuita nani... ushabiki wa soka unataka moyo mgumu.. duh!!!!!!!huyo Maximo anatugeuza sisi kuwa kichwa ya mwendazimu..hana jipya wala nini...kashatuchukua sehumu ambayo uwezo wake inamruhusu...hana first 11 mpaka leo anakula mshahara ya bure tuu..TFF nayo wajinga wanamuogopa....maximo atuachie timu yetu...Mpeni Timu Patrick Phiri tutaona mwanga and timu itakuwa tishio...angalia simba alivyogeuza mwaka jana and mwaka huu ni moto ya kuotea...go away maximo and leave our team to the ones who love it with their hearts....
Mziray ni mnafiki mkubwa! hatumuhitaji kwenye timu yetu ya taifa hata kama Maximo ataondoka leo. Hana la maana zaidi ya kuchonga saaaaana.