Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Ila perfamance zote Diamond kafunika kwa creativity, wengine walikuwa wanaimba hukua wamekunja NNE kwenye masofa
 
Komenti bora sana hii mkuu.
Jamii forum inatoa nafasi Sawa ya kutoa hoja (welevu kwa wapumbavu) Ila kuna baadhi ya watu (watoa hoja) tungekuwa tunawajua (kama huyu) hata hoja zao tusingezisoma kabisa
 
Nandy msanii mkubwa Africa na anafanya vizuri kumbe nlikuwa sielewiii hahahahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…