Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Hakuna kavideo kakusindikizia thread?,sio wote tuna access ya channel ya Mtv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kawa nominated Grammy..sifa za kijinga
 
MTV base Africa mapopo wanaweza kufanya chochote..wanapendelea wanaija nk
 
We jamaa unaongea kama hauna akili mzee
Sasaa diamond ndo wakuwalipa MTV????
Kwa kusema hivo unataka kutuaminisha na nandy nae alikubali kulipa au alilipiwa???
Siku zote huyu njemba nilijua ni mpinzani tu Diamond pekee. Sikujua kama ni mshamba kihivi. Ameumbuka vibaya

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Ila kawa nominated Grammy..sifa za kijinga
Ana nyimbo nzuri nazani ndio kilichombeba kwenye Grammy ila kwenye performance ya stage sio mzuri kwenye show ya jana kafanya kawaida Sana pale ndio alitakiwa anaoneshe umwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…