Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Inakuaje Unajiita Msanii Mkubwa na Umepata kabahati ka Kuperform kwenye Show kubwa kama ile..

Unaenda kuperform Copy ya Nyimbo ya Msanii Mwezako? Hakuna Asiyejua Kua Jeje ni Copy..

Nikiwa kama Mdau wa Mziki na burudani Nimesikitika Sana, kweli Kijana Kaisha Ni bora Angeimba nyimbo ya kitorondo Sisi ma-Master wa hili Game tungemuelewa
Jeje siyo copy.
1. Majina ya nyimbo kufanana kawaida sana. Hivi kuna nyimbo ngapi zinaitwa I love you?
2. Kama wasema beat, aliyetengeneza Jeje ya Mnaija na jeje ya diamond ni producer yule yule, ile ni identity ya beat zake kama ilivyokuwa kwa dunga na mabeat ya kubounce, au Justin Timberland na mabeat ya techno au Kimamba na beat zake za kubanjuko kama wahinindi.
3. Ifike mahali tukubari tu ukweli kama mtu akifanya vizuri na apewe sifa yake, Nasib aliua sana aisee kupingana na hilo ni kujitafutia presha, vidonda vya tumbo, makunyanzi kwenye uso, na kufa ukiwa umenuna kwa kijiba cha roho.
 
Inakuaje Unajiita Msanii Mkubwa na Umepata kabahati ka Kuperform kwenye Show kubwa kama ile..

Unaenda kuperform Copy ya Nyimbo ya Msanii Mwezako? Hakuna Asiyejua Kua Jeje ni Copy..

Nikiwa kama Mdau wa Mziki na burudani Nimesikitika Sana, kweli Kijana Kaisha Ni bora Angeimba nyimbo ya kitorondo Sisi ma-Master wa hili Game tungemuelewa
Utotoni mwako Umewahi kuumwa degedege?
 
Inakuaje Unajiita Msanii Mkubwa na Umepata kabahati ka Kuperform kwenye Show kubwa kama ile..

Unaenda kuperform Copy ya Nyimbo ya Msanii Mwezako? Hakuna Asiyejua Kua Jeje ni Copy..

Nikiwa kama Mdau wa Mziki na burudani Nimesikitika Sana, kweli Kijana Kaisha Ni bora Angeimba nyimbo ya kitorondo Sisi ma-Master wa hili Game tungemuelewa
😁😁😁Spartacus the mnyama mkali 🤣🤣🤣
 
.....ila kuna watu wanamchukia DP hadi inatisha. Jamaa hajawakosea chochote hawajui hawamjui lakini kila akifanyacho kwao ni kibaya tu!!! Kuna Watanzania wana chuki na roho mbaya za kutisha.

Ni furaha kukuona tena, yalisemwa mengi nyuma ya ukimya wako.... ikikupendeza ututoe hofu kama kuna kilichokusibu.

BAK is BACK.[emoji1491]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom