Manzese hakunaga wakristo ni muislam huyoDini gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manzese hakunaga wakristo ni muislam huyoDini gani?
Shagy mkiristo kaigiza nyimbo kanisani , kuna misalaba, mapadri na masisita huku watu wakicheza mziki na kunyaduana bila chenga.Na wapo Wakristo wengi tena nyinyi ndio vinara wa kubainisha dini yenu utakuta msanii kavaa msalaba au ana tattoo ya msalaba huku kazungukwa na malaya kibao tena wakiwa uchi.Kwanini huwa hawaigizi kwa dini yao? Hawa watu ni wa hovyo sana.
Nililisema mm Jan kwenye Uzi wangu kuwa Simba wamechemka sna kwa hili la jeneza na misalaba haya sas njoni mtuombe radhi ss waumini wa kikirosto la sihvyo hamtabeba kombe lolote Hadi 2080Katika hatua nyingine sakata la jeneza na msalaba katika simba day lachukua sura mpya.
Watu mbalimbali wamejitokeza kulaani kitendo cha mashabiki au watumbuizaji kuingia na jeneza na msalaba ambapo palikuwepo na mtu aliyevalia kiaskofu. Tukio hilo ni dhihaka kubwa kwa waamini wa kikristo amesema Askofu kilaini
Je? Haya yanaweza kufanyika kwa upande wa dini nyingine? Hivi hawa wangeweza kwenda chukua jeneza msikitini na kufanya hii dhihaka na washabiki uwanjani wakashangilia?
View attachment 2319369
Kiukweli lile sanduku sijapenda kwakweli
Maono yako ni ya upande mmoja ? Kati ya Jeneza na jezi kipi kina picha mbaya kiroho?
Makolo fc
Kwa mtazamo wako ni sawa kuona wameharibu,lakini kuna wengine sisi hatuoni tatizo lolote.Kwani siku zote mashabiki wanaingia uwanjani wamebeba mfano wa majeneza mbona hatujawahi kuwaoneni mkitokwa povu.Mnacatcht feelings kwa vitu vidogo vidogo
Kwa mtazamo wako ni sawa kuona wameharibu,lakini kuna wengine sisi hatuoni tatizo lolote.Kwani siku zote mashabiki wanaingia uwanjani wamebeba mfano wa majeneza mbona hatujawahi kuwaoneni mkitokwa povu.Mnacatcht feelings kwa vitu vidogo vidogo
Hawa walikamatwa?Basata washamtia kufuli huyo msanii. Na walioruhusu huo uchuro watiwe pingu ili isiridie Tena. Ni upotoshaji na udhalilishaji wa dhehebu na waamini wake.
Al-ShabaabKaria ni dini gani?
Ni ujinga tu, ni vigumu kukuta mkiristo anakashifu Dini nyingineKwanini huwa hawaigizi kwa dini yao? Hawa watu ni wa hovyo sana.
[emoji38][emoji38][emoji38]Katika hatua nyingine sakata la jeneza na msalaba katika simba day lachukua sura mpya.
Watu mbalimbali wamejitokeza kulaani kitendo cha mashabiki au watumbuizaji kuingia na jeneza na msalaba ambapo palikuwepo na mtu aliyevalia kiaskofu. Tukio hilo ni dhihaka kubwa kwa waamini wa kikristo amesema Askofu kilaini
Je? Haya yanaweza kufanyika kwa upande wa dini nyingine? Hivi hawa wangeweza kwenda chukua jeneza msikitini na kufanya hii dhihaka na washabiki uwanjani wakashangilia?
View attachment 2319369
Kabisa alete source ya kuelewekaKilaini huyu huyu? Lete source inayoeleweka
Hapa nakuunga mkono bibi.Huyo Askofu atakuwa Yanga, anadhihakiwa Yesu halalamiki. Jeneza na msalaba haukudhihakiwa hapo na wala si mara ya kwanza jeneza na msalaba kufanyiwa sanaa za maigizo.
Atupishe huko.
Wakatoliki hawanaga mambo ya kulalamika.Kabisa alete source ya kueleweka
Angegusa Iman yako ungepovuka balaaHuyo Askofu atakuwa Yanga, anadhihakiwa Yesu halalamiki. Jeneza na msalaba haukudhihakiwa hapo na wala si mara ya kwanza jeneza na msalaba kufanyiwa sanaa za maigizo.
Atupishe huko.