Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati

Acha story za uongo umetumwa kuvuruga.
Masoko mengi huwa yanapigwa viberiti.
1.Kupisha ujenzi
2.kulipwa bima.Hapa pia michezo ipo magari mabus malori,mabaa,mahotel, nyumba nk.
3.Kukimbia madeni,mikopo ya bank.
4.Factor zingine
Short za Umeme,uzembe wa mama lishe kuacha mkaa unawaka.
 
Halafu moto ukawazidi nguvu na kuunguza soko lote
 
KWA mujibu wakee baada yakuona moto alienda kuzimaa ukamshindaaa maana ulishapambaaa na kuhusu mateja anadai ndio waliounguza soko kwa kutumia mshumaaa maana huwa wanatumia mshumaa kupasha dawa zao za kulevya ili waweze kujichomaaa ,na matejaa wakishajidungaa huwaa wanasizii kbs yamkini inawezekanaa n kwel n mateja au n njamaa zao km serikali,ilaaa jamaa yy anasema hana preshaa walaaa wcwc maana biashara yk anaifanya karume aliikatia bimaa hvyo kwa hesabu zk atalipwa million kumi na moja na bimaa na milioni mojaa yakujikimuu mpk atakaposimama tenaa kibiasharaa
 
Ushuhuda wake uko na utata
 
Ninachojiuliza, connection ya kufika Clouds yeye kaipataje pataje? Nilitegemea msemaji wa kikosi cha zimamoto ndio angeenda kutoa tamko
 
ushuhuda wake uko na utata
Nazan c yy n njaa imempelekaa palee akaongeee anayoongeaa ,au labda n kwel lkn kutokana n jamboo lililohadhiri wengii n ngumu kuelewekaaa,maana moto unawezaa sababishwa hata chechee tu ukawakaaa,mudaa utaongea ngoja tuonee
 
Mateja wanafanya nini sokoni muda wa saa 7 , au alikuwa analinda soko dhidi ya nani ? km anaruhusu mateja kuingia ndani ya soko ? umiza akili kdg bas
Hao mateja ni wauza viatu humo sokoni,
 
Pale siasa inapoingizwa kwenye mambo ya msingi. Kwahiyo alishuhudia moto ukiungua na hakuchukua hatua? Akili za utoto
 
Kwahiyo hao mateja hawakuuona huo mshumaa wakati unaanza kuchoma na kusambaa?[emoji855][emoji855][emoji855]
 

Kwahiyo serikali ndo imechoma?
 
Angalizo ukiwa mfanyabiashara sokoni epuka Sana mtaji wako woote au mizigo yako yoote unaweka dukani frem iwe ni sample na mzigo kidogo mwingi weka store ya nje Ili likiwaka moto upati hasara.
 
Kwann masoko yote uungua usiku pekee kama sio hujuma hii
 
Ishirikishe akili yako kdg , ni saa 7 usiku hlf upo zamu kulinda soko , na unaanzaj kuwaacha mateja waingie sokoni mida ya saa 7 ? sasa alikuwa analinda nn?
labda hukusom toka mwanzo mkuu, mateja wana frem yao humo sokoni wanauza viatu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…