Habar ndugu zangu shkamooni wakubwa kiukweli mm. Nilikua mmoja kati ya wanachama wa (CHAPUTA) nilishiriki tangia 2010 kipindi nipo form 4 na kueza kuacha rasmi mwezi wa 6 mwishon mwaka huu 2018
Kiukweli nilikua mtumwa kwa kipindi. Chote nilifika kipindi hata Mara 3 kwa siku nafanya nilikua memba wa porn sex zote na ukizingatia wanawake nilikua nao ila nilikua sina hata ham nao na nikimis sex ni lazima nianze puunyeto wakat dem yupo njian ata nikianza nao mm nakua natafuta bao LA pili na mechi wanaisoma
Niliendelea na huu mchezo hadi nilipoamua kusema nauacha hapo sijaona madhara yoyote zaid ya mwili kuchoma kuumwa kichwa mgongo ila hata hivo nilishindwa nikarudia kwasababu ugonjwa huu kwangu sikuweza kupisha nikikaa camp akipita mdada anavutia mm nyeto Instagram gigy kakaa uchi nyeto
Kiufup utumwa huu uliniathir mno nikaamua kuacha tena kwa Mara ya 2 hata week sijafika nikioga sitok nikill mafuta hata mate tu mm najirizisha
Sasa imefik kipindi nimeamua kua na mchumba adi nimeposa na nikaacha wanwake wote still nyeto sikuacha
Sasa hapo nikawa nishaanza kuona athari maana nikionana na mchumba wangu nafika kileleni sekunde tu na siwez simamisha tena na ikisimama ndan ya uke husinyaa aibu ilioje kwa Mara ya kwanza nikasingizia nimechoka Mara nyengine Yale Yale kwaio nikatunga uongo wa kudumu kua naumwa na manyama kwaio akaamini kwasababu magonjwa ya manyam yanajulikana kua misuli ikikaza huwez kusimamisha wachezaj mpira wanayajua hali hii ndo ikasababisha niache puunyeto kwakuogopa aibu na ukiZingatia naingia kwenye ndoa soon
Nikaamua kuacha huu ujinga nikaanza kutafuta Tiba mitandaoni maana ni ngumu kumhadisia MTU ndio nikaona post nyingi zinazohusu nguvu za kiume zinatoka humu jf nikaamua kujiunga na kusoma tiba ata ukiangalia lini nimejiunga utaona kama mwezi
Nilipata madoctor wengi wa maela mengi nikajarib kuongea nao ata punguzo ila ikawa ngumu basi nikaona nifate maelekezo ya baadhi ya page kula matunda mbogamboga na kufanya mazoez ya viungo bila kusahau mazoez ya kengel Yale yakubana mkojo
Huwez amin nikaanza kijiskia tofaut na nilistope sex kama week 3 nafanya mazoez na nilimueleza mchumba wangu kua nafanya mazoez ya manyama. So kaelewa nimeliza juzi baada yakujiona tofaut nikasema. Nisex
Aaaah mungu mkubwa sasa kazi imekua kubwa kwa mchumba haelew zaid ya kusema baby umepona
Saiv ni zaid ya mwanzo nasimamisha bila ya kuchoka uume umerefuka na una nguvu tele nachelewa kukojoa na nainjoy
Jamani puunyeto ni mbaya tuache wanaoendeleza na waloathirika njoo inbox nikupe formula ya matunda na mazoezi no bureeeee asanteni
Sent using
Jamii Forums mobile app