Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni me au ke tutafute mechi ya kirafikiMimi bado siamini"... Mpaka umgonge demu wa humu" halafu atuletee mrejesho
Soma tu mkuu, ila cha msingi wewe ni unachokula. Kama umeamua kuziba mishipa ya damu kwa makusudi ni wewe kama umeamua kusafisha njia zote za damu kwa kula vizuri ni wewe.Naendelea kusoma komenti.
Hahahahahahah ni kweli kitunguu kina harufu kali ndo maana kinaliwa usiku baada ya kumaliza kila kitu mda wa kulala.hata yeye haitaji kukaa na mtu mwenye mdomo uliochongoka hivyo
Ofa yako nzuri unapatikana wp?Ningeomba uje nikujaribu nipate kuleta mrejesho hapa 😁😁😁😁
Uwezo jua Mungu ndo kaniletea mke kabisa😀😀😀Ningeomba uje nikujaribu nipate kuleta mrejesho hapa 😁😁😁😁
ningekuwa mimi ni ke siningeshakwambia uje tutext mitamboWewe ni me au ke tutafute mechi ya kirafiki
Hhhaahhaa uwiiiUwezo jua Mungu ndo kaniletea mke kabisa😀😀😀
Gd couples are made unexpected. It's like a joke bt srousHhhaahhaa uwiii
Hahahahah poa mkuu. Though nimetoa ujumbe kwa lengo zuri tu la kuwasaidia wenye tatizo halfu wanadanganywa ni kwa sabababu ya punyeto na msongo.ningekuwa mimi ni ke siningeshakwambia uje tutext mitambo
Kwani nimekuja kupga promo hukututaamini vp kwel umepona ?
Watu wengi Hawajui na ukienda hospital wanakupa madawa erecto ni mabaya sana kwa afya yako ya baadae kwa kijana.Sikiliza hii kitu. View attachment 881516
Yeaah nimeona ujumbe wako mzuri sana" Awali nilipsoma heading nilidhani kuwa umekuja kujitangaza kibiashara ili upate wakuwapiga". but baada ya kusoma article yote",.. nimejikuta na suuzika nafsi" ... by the way tunashukuru tumepata cha kujifunza",..Hahahahah poa mkuu. Though nimetoa ujumbe kwa lengo zuri tu la kuwasaidia wenye tatizo halfu wanadanganywa ni kwa sabababu ya punyeto na msongo
U got it right, ni mind diseasesWatu wengi Hawajui na ukienda hospital wanakupa madawa erecto ni mabaya sana kwa afya yako ya baadae kwa kijana