Kwaheri!Umesahau kwamba kauli ya RAISI ni sheri, kwa hiyo hapa sheria inashindana na sheria
kwaheri!Sheria inaweza kuvunjwa kwa maslahi mapana ya umma. Hata wahalifu wanaweza kupunguziwa adhabu by the way tafuta pesa nyingi, tengeneza connection, zungunga uijue dunia. Utafurahi sana
Ndo maana nilisema Majaliwa atakuja kutelekezwa kusikojulikana na Serikali ya CCM ni suala la muda tu ngoja huu upepo upite, ni bora Majaliwa apelekwe shule akapate hata elimu ya fom4 kupitia QT.Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
😂 😂Umesahau kwamba kauli ya RAISI ni sheri, kwa hiyo hapa sheria inashindana na sheria
Sheria zote huwa zina "waiver" za aina fulani. Hivyo hata kama elimu yake hairuhusu, anaweza kupewa hiyo "waiver" na chombo husika. Elewa Pia dunia siku hizi imekwenda kwenye "results oriented"; na sio elimu ya kuonyesha Ma-Vyeti mengi - halafu unashindwa "Kuonyesha Matokeo". Unataka kutuambia hapo Bukoba wakati Ndege inaanguka hakukuwa na watu wa Fire/ Kikosi cha Zimamoto??? Hapo Airport ya Bukoba si kuna watu wa Fire, waliosemea na wana vyeti?? Mbona hawakwenda kuzamia na kuwaokoa abiria?? Hata vikosi vyetumbalimbali ambavyo tunawaona wakionyesha mambo mengi kwenye TV kwenye viwanja wakati wa sikukuu mbalimbali mbele ya Jemadari wetu si wapo pia hapo Bukoba?? Mbona hatukuona sasa wafanye "Ki-uhalisia" yale wanayotuonyeshaga kwenye hizo sikukuu/TV??Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Rais ana mamlaka ya kuajiri mtu yoyote, mambo mengine mnayouliza mbona ni rahisi sana mnatuchosha great thinkersKijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Kifungu please....Raisi ana mamlaka ya kuajiri mtu yoyote, mambo mengine mnayouliza mbona ni rahisi sana mnatuchosha great thinkers
Hujanielewa, kwaheri!Sheria zote huwa zina "waiver" za aina fulani. Hivyo hata kama elimu yake hairuhusu, anaweza kupewa hiyo "waiver" na chombo husika. Elewa Pia dunia siku hizi imekwenda kwenye "results oriented"; na sio elimu ya kuonyesha Ma-Vyeti mengi - halafu unashindwa "Kuonyesha Matokeo". Unataka kutuambia hapo Bukoba wakati Ndege inaanguka hakukuwa na watu wa Fire/ Kikosi cha Zimamoto??? Hapo Airport ya Bukoba si kuna watu wa Fire, waliosemea na wana vyeti?? Mbona hawakwenda kuzamia na kuwaokoa abiria?? Hata vikosi vyetumbalimbali ambavyo tunawaona wakionyesha mambo mengi kwenye TV kwenye viwanja wakati wa sikukuu mbalimbali mbele ya Jemadari wetu si wapo pia hapo Bukoba?? Mbona hatukuona sasa wafanye "Ki-uhalisia" yale wanayotuonyeshaga kwenye hizo sikukuu/TV??