Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri Serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiriwa kwa sheria ipi? Anakidhi vigezo?
Note: Sina tatizo/wivu and the like naye kuajiriwa, but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi serikalini kwaajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Note: Sina tatizo/wivu and the like naye kuajiriwa, but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi serikalini kwaajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.