Shukrani kwa Jamii Forums kwa kunipa Tuzo 🙏🏽

Shukrani kwa Jamii Forums kwa kunipa Tuzo 🙏🏽

Naunga mkono hoja kuna haja ya serikali kulifanyia kazi hili, watu wa makundi maalum wanateseka sana kwenye jamii kuna makundi mengine hayaguswi kabisa kwa kupata huduma.
.
Dkt. Gwajima D ni ombi letu watanzania serikali iweze kuwalea walemavu nchini, hasa wenye ulemevu ambao hawawezi kujishugulisha na kazi za vipato including wenye matatizo ya akili. Huwa naumia sana nikiangalia kiwango cha kodi ninachotoa halafu nakutana na mlemavu hana hata miundombinu ya kumuwezesha kuishi anakuwa omba omba wakati serikali yao ipo. Yes tunajua pia kuna wajanja wanawatumia kwenye u omba omba lakini kuna sehemu kama taifa kupitia wizara yako serikali inaweza ikafanya kitu angalau hata community houses, matibabu, chakula na wanakuwa na uangalizi maalumu.
Nami naunga mkono hoja hii,Waziri itisha kikao humu jf,wakupe mapendekezo jinsi Gani nasi wadau twaweza kuchangia chochote kitu,wakupe mawazo Yao.

Binafsi nikupongeze Kwa Kuwa karibu na jamii,usiwe Kama huyu👇
Screenshot_20240904-135613.png
 
Mimi pia nakupongeza sana kwa kutwaa tuzo hii kutoka jamii forum,uwezi kupewa tuzo kama hakuna ambacho umeifanyia jamii inayokuzunguka

Ina maana kuna jambo ulilifanya hapo before shukrani ziende kwa Maxence Melo
 
Mhe. Wazir kuna huyu wa kuitwa JOYCE KIRIA huoni ama kusikia mafundisho yake? Anamwaga sumu ambayo ni chanzo cha kuvunja Ndoa na mfarakano katika Jamii fanya jambo kwa huyu dada. Kama yeye alivunja ndoa zake asitumie Vyombo vya Habari na Umaarufu wake kueneza Maadili yake binafsi mabovu kwa Umma.
Ahsante
Tunafanyia kazi. Mafundisho yake hakika yanapotosha ajenda nzuri ya maendeleo ya usawa wa kijinsia. Haiko hivyo anavyofundisha.
 
Salaam kwenu wanajukwaa.

Ningependa kuwashukuru Jamii Forums (JF) kwa tuzo hii ya kipekee.

Ni fahari yangu kutambuliwa kuwa kiongozi anayepokea maoni ya wananchi na kuyafanyia kazi kupitia majukwaa ya kidijitali.
Pia, ni heshima kwa Serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyeniamini na kunipa nafasi na fursa ya kutumikia jamii kupitia wizara hii ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalumu.

Vilevile, heshima hii iende kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu na watumishi wake wote na wale wa kisekta ambao, hupokea na kuyafanyia kazi maelekezo yangu kufuatia maoni na hoja za wananchi ambazo nimekuwa nimezipokea kutoka kwenye Jukwaa la Jamii Forums.
Vilevile, Heshima hii iende kwa familia yangu na mume wangu mpenzi Advocate Gwajima ambaye, amekuwa akinipa ushirikiano mkubwa wakati wote wa kutumia hata muda wa familia kwa ajili ya kufuatilia hoja za wananchi kwenye Jukwaa hili.

Naahidi kuendelea kujitahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Wananchi ili kuhakikisha sauti zote zinasikilizwa na kufanyiwa kazi inapowezekana.
Kila mmoja wetu ana nafasi muhimu katika mchakato wa uamuzi, na ni wajibu wetu kama viongozi kusikiliza na kujibu yale yanayohitaji majibu ya wananchi.

Tunapofanya kazi pamoja, tunafanikisha kuchochea maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi wetu.
Ningependa kutoa shukrani za pekee kwa Jamii Forums (JF) na watanzania kwa ujumla kwa utambuzi huu.

Majukwaa kama JF ni muhimu kwa ajili ya kuleta uwazi na ushirikiano, na ni matumaini yangu kuwa tutaendelea kushirikiana katika kujenga jamii bora zaidi.

Shukrani nyingi kwenu wanaJukwaa wote na wote ambao mmewahi kutoa hoja kuhusiana na eneo langu la kazi, kwani hakika, mmekuwa sababu ya mimi kupata Tuzo hii adhimu. Naomba tuendelee kuwa pamoja katika safari hii ya maendeleo.

Mbarikiwe🙏🏽🇹🇿
NATAMANI UNGEPATA JUKUMU KUBWA NNCHI HII WATANZANIA WANGEFURAHI,SANA LAKINI TUNAENDELEA NA MAOMBI JUU YAKO
 
Hongera sana mheshimiwa ila ningeshangaa nisingeona jina la Samia
Hujambo mwanangu? Ukweli utabaki hivi, yeye ndiye aliyeniteua tena kwenye Awamu yake ya uongozi na kunipa nafasi ya kutumika kwenye serikali yake hadi hapa nilipo sasa. Asingeniteua na kunipa nafasi kwenye serikali yake na kunipa haya majukumu, huenda nisingepata nafasi ya kutumikia jamii kwa hatua hii. Ni vema kuwa na mioyo ya shukrani siyo tu kwa Mwenyezi Mungu bali kwa Kila aliyekuamini na kukupa nafasi utumike hapo unapotumika. Ndiyo maana hata watoa hoja za humu jukwaani nimewashukuru pamoja na wewe ndugu yangu mwema🙏🏽
 
Salaam kwenu wanajukwaa.

Ningependa kuwashukuru Jamii Forums (JF) kwa tuzo hii ya kipekee.

Ni fahari yangu kutambuliwa kuwa kiongozi anayepokea maoni ya wananchi na kuyafanyia kazi kupitia majukwaa ya kidijitali.
Pia, ni heshima kwa Serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyeniamini na kunipa nafasi na fursa ya kutumikia jamii kupitia wizara hii ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalumu.

Vilevile, heshima hii iende kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu na watumishi wake wote na wale wa kisekta ambao, hupokea na kuyafanyia kazi maelekezo yangu kufuatia maoni na hoja za wananchi ambazo nimekuwa nimezipokea kutoka kwenye Jukwaa la Jamii Forums.
Vilevile, Heshima hii iende kwa familia yangu na mume wangu mpenzi Advocate Gwajima ambaye, amekuwa akinipa ushirikiano mkubwa wakati wote wa kutumia hata muda wa familia kwa ajili ya kufuatilia hoja za wananchi kwenye Jukwaa hili.

Naahidi kuendelea kujitahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Wananchi ili kuhakikisha sauti zote zinasikilizwa na kufanyiwa kazi inapowezekana.
Kila mmoja wetu ana nafasi muhimu katika mchakato wa uamuzi, na ni wajibu wetu kama viongozi kusikiliza na kujibu yale yanayohitaji majibu ya wananchi.

Tunapofanya kazi pamoja, tunafanikisha kuchochea maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi wetu.
Ningependa kutoa shukrani za pekee kwa Jamii Forums (JF) na watanzania kwa ujumla kwa utambuzi huu.

Majukwaa kama JF ni muhimu kwa ajili ya kuleta uwazi na ushirikiano, na ni matumaini yangu kuwa tutaendelea kushirikiana katika kujenga jamii bora zaidi.

Shukrani nyingi kwenu wanaJukwaa wote na wote ambao mmewahi kutoa hoja kuhusiana na eneo langu la kazi, kwani hakika, mmekuwa sababu ya mimi kupata Tuzo hii adhimu. Naomba tuendelee kuwa pamoja katika safari hii ya maendeleo.

Mbarikiwe🙏🏽🇹🇿
Hongera Mh Waziri, Sijui kwanini hawakupi Wizara ya Afya uimarishe tiba na afya kwa Watanzania.
 
Tunafanyia kazi. Mafundisho yake hakika yanapotosha ajenda nzuri ya maendeleo ya usawa wa kijinsia. Haiko hivyo anavyofundisha.
Ahsante sana Mhe Wazir.
Nadhan kama alivyofanya Waziri wa Mambo ya Ndani kuwadhibiti Manabii Tapeli kina ZUMARIDI na KIBOKO YA WACHAWI. Vivyo hivyo Simama Imara kudhibiti Waendeshaji wa VIPINDI VYA LUNINGA, Mitandao ya Kijamii na Online TV hasa Akina MAUKI, MC, MAKUNGWI nk. Ambao kutwaaa kucha na kueneza chuki na mtanzuko wa Kijamii.
Ikiwezekana kama wanavyosajiliwa Waganga wa Kienyeji, Wachungaji nk. na wao wafuate mkondo huo.

Hawa akina Kajala, Wema, Kiria nk wanaoendesha Vipindi mbalimbali vya masuala ya Kijamii maudhui yao yadhibitiwe na Wizara yako kabla ya Vipindi kwenda hewani ikiwa ni pamoja na kupewa semina. Kuna jambo hapa limeachwa bila udhibiti TCRA Peke yao hawatoshi Mhe. Waziri fanya jambo.
 
Salaam kwenu wanajukwaa.

Ningependa kuwashukuru Jamii Forums (JF) kwa tuzo hii ya kipekee.

Ni fahari yangu kutambuliwa kuwa kiongozi anayepokea maoni ya wananchi na kuyafanyia kazi kupitia majukwaa ya kidijitali.
Pia, ni heshima kwa Serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyeniamini na kunipa nafasi na fursa ya kutumikia jamii kupitia wizara hii ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalumu.

Vilevile, heshima hii iende kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu na watumishi wake wote na wale wa kisekta ambao, hupokea na kuyafanyia kazi maelekezo yangu kufuatia maoni na hoja za wananchi ambazo nimekuwa nimezipokea kutoka kwenye Jukwaa la Jamii Forums.
Vilevile, Heshima hii iende kwa familia yangu na mume wangu mpenzi Advocate Gwajima ambaye, amekuwa akinipa ushirikiano mkubwa wakati wote wa kutumia hata muda wa familia kwa ajili ya kufuatilia hoja za wananchi kwenye Jukwaa hili.

Naahidi kuendelea kujitahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Wananchi ili kuhakikisha sauti zote zinasikilizwa na kufanyiwa kazi inapowezekana.
Kila mmoja wetu ana nafasi muhimu katika mchakato wa uamuzi, na ni wajibu wetu kama viongozi kusikiliza na kujibu yale yanayohitaji majibu ya wananchi.

Tunapofanya kazi pamoja, tunafanikisha kuchochea maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi wetu.
Ningependa kutoa shukrani za pekee kwa Jamii Forums (JF) na watanzania kwa ujumla kwa utambuzi huu.

Majukwaa kama JF ni muhimu kwa ajili ya kuleta uwazi na ushirikiano, na ni matumaini yangu kuwa tutaendelea kushirikiana katika kujenga jamii bora zaidi.

Shukrani nyingi kwenu wanaJukwaa wote na wote ambao mmewahi kutoa hoja kuhusiana na eneo langu la kazi, kwani hakika, mmekuwa sababu ya mimi kupata Tuzo hii adhimu. Naomba tuendelee kuwa pamoja katika safari hii ya maendeleo.

Mbarikiwe🙏🏽🇹🇿
Hongera sana Mheshimiwa Waziri. Ama hakika ulistahili kupata hii tuzo
 
Ahsante sana Mhe Wazir.
Nadhan kama alivyofanya Waziri wa Mambo ya Ndani kuwadhibiti Manabii Tapeli kina ZUMARIDI na KIBOKO YA WACHAWI. Vivyo hivyo Simama Imara kudhibiti Waendeshaji wa VIPINDI VYA LUNINGA, Mitandao ya Kijamii na Online TV hasa Akina MAUKI, MC, MAKUNGWI nk. Ambao kutwaaa kucha na kueneza chuki na mtanzuko wa Kijamii.
Ikiwezekana kama wanavyosajiliwa Waganga wa Kienyeji, Wachungaji nk. na wao wafuate mkondo huo.

Hawa akina Kajala, Wema, Kiria nk wanaoendesha Vipindi mbalimbali vya masuala ya Kijamii maudhui yao yadhibitiwe na Wizara yako kabla ya Vipindi kwenda hewani ikiwa ni pamoja na kupewa semina. Kuna jambo hapa limeachwa bila udhibiti TCRA Peke yao hawatoshi Mhe. Waziri fanya jambo.
Salaam. Ahsante kwa maoni.

Naomba awali nikupe ufafanuzi kidogo kuhusu mfumo na utaratibu Ili tushirikiane vema zaidi: ni kwamba; wizara zenye dhamana ya sheria ya kudhibiti wote hao uliowataja ni pamoja na wizara ya mawasiliano, habari na Teknolojia ya habari na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kinachofanyika ni hivi, Mimi na wewe tunatoa malalamiko wizara ya mambo ya ndani kuhusu jinsi gani wenzetu hao wanachangia mmomonyoko wa maadili kisha, wizara ya mambo ya ndani huchunguza na wakiona Wana kesi ya kujibu, ndiyo Sheria za wizara husika hufanya kazi kupitia mahakama.

Njia ingine ni Wizara zenye dhamana na Sheria husika kuwaita kwa hatua kabla ya utaratibu wa kwenda mahakamani.

Hivyo, kwa upande wa wizara hii ya maendeleo ya jamii, tumekuwa tukiripoti mambo mengi yakiwemo hata hayo ya zumaridi, kiboko ya wachawi, Babu wa TikTok, na wale wachezeaji wa nyoka, nabii Tito nk. Hata Hawa nao uliowataja, kwa upande wetu tutawaripoti. Kifupi, hatuna sheria za moja kwa moja Bali za kisekta hivyo, tuendelee kushirikiana Ili turatibu kwa ajili ya sheria husika kufanya kazi chini ya wenye dhamana na Sheria hizo.

Ahsante
 
Hujambo mwanangu? Ukweli utabaki hivi, yeye ndiye aliyeniteua tena kwenye Awamu yake ya ya uongozi na kunipa nafasi ya kutumika kwenye serikali yake hadi hapa nilipo sasa. Asingeniteua na kunipa nafasi kwenye serikali yake na kunipa haya majukumu, huenda nisingepata nafasi ya kutumikia jamii kwa hatua hii. Ni vema kuwa na mioyo ya shukrani siyo tu kwa Mwenyezi Mungu bali kwa Kila aliyekuamini na kukupa nafasi utumike hapo unapotumika. Ndiyo maana hata watoa hoja za humu jukwaani nimewashukuru pamoja na wewe ndugu yangu mwema🙏🏽
Kila la kheri katika kulitumikia Taifa
 
Hii tuzo unastahili, viongozi wengi hawapendi kukosolewa lakini watu watu wanapokukosoa au kutoa maoni umekuwa ukichukulia kama changamoto na kufanyia kazi.
Umeweka mfano kiasi viongozi wengine wataacha kuona mitandao ya jamii Kama adui
 
Salaam kwenu wanajukwaa.

Ningependa kuwashukuru Jamii Forums (JF) kwa tuzo hii ya kipekee.

Ni fahari yangu kutambuliwa kuwa kiongozi anayepokea maoni ya wananchi na kuyafanyia kazi kupitia majukwaa ya kidijitali.
Pia, ni heshima kwa Serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyeniamini na kunipa nafasi na fursa ya kutumikia jamii kupitia wizara hii ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalumu.

Vilevile, heshima hii iende kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu na watumishi wake wote na wale wa kisekta ambao, hupokea na kuyafanyia kazi maelekezo yangu kufuatia maoni na hoja za wananchi ambazo nimekuwa nimezipokea kutoka kwenye Jukwaa la Jamii Forums.
Vilevile, Heshima hii iende kwa familia yangu na mume wangu mpenzi Advocate Gwajima ambaye, amekuwa akinipa ushirikiano mkubwa wakati wote wa kutumia hata muda wa familia kwa ajili ya kufuatilia hoja za wananchi kwenye Jukwaa hili.

Naahidi kuendelea kujitahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Wananchi ili kuhakikisha sauti zote zinasikilizwa na kufanyiwa kazi inapowezekana.
Kila mmoja wetu ana nafasi muhimu katika mchakato wa uamuzi, na ni wajibu wetu kama viongozi kusikiliza na kujibu yale yanayohitaji majibu ya wananchi.

Tunapofanya kazi pamoja, tunafanikisha kuchochea maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi wetu.
Ningependa kutoa shukrani za pekee kwa Jamii Forums (JF) na watanzania kwa ujumla kwa utambuzi huu.

Majukwaa kama JF ni muhimu kwa ajili ya kuleta uwazi na ushirikiano, na ni matumaini yangu kuwa tutaendelea kushirikiana katika kujenga jamii bora zaidi.

Shukrani nyingi kwenu wanaJukwaa wote na wote ambao mmewahi kutoa hoja kuhusiana na eneo langu la kazi, kwani hakika, mmekuwa sababu ya mimi kupata Tuzo hii adhimu. Naomba tuendelee kuwa pamoja katika safari hii ya maendeleo.

Mbarikiwe🙏🏽🇹🇿
Hongera sana Dr wetu tuna tambua sana mchango wako ubarikiwe mno.


NB:Aliyekuvalisha Hilo wigi mtumbue hata kama jipu halijaiva.
 
.

Nami naunga mkono hoja hii,Waziri itisha kikao humu jf,wakupe mapendekezo jinsi Gani nasi wadau twaweza kuchangia chochote kitu,wakupe mawazo Yao.

Binafsi nikupongeze Kwa Kuwa karibu na jamii,usiwe Kama huyu👇View attachment 3102981
Naunga mkono hoja yako mkuu, zipo taasisi nyingi binafsi zinazojihusisha na makundi hayo wajaribu kuzifikia ili ziweze kuwafikia watu wengi zaidi.
 
Back
Top Bottom