huu tunauita uvumilivu wa kisiasa (political tolerance)
wewe na lowassa hamtofautiani sana mnaijua siasa sana.
please baada ya maamuzi ya kamati kuu usijehamia act
Umbeya wa kike!Salaam JF
Naomba mnijuze je ni kweli Kamanda Ben 8 kahamia ACT na kutangaza nia ya kugombea Rombo?
wenu mtiifu
Jasho la damu