Yule anaitwa Musa Kawambwa. Na hana uhusiano wowote ule na Dr. Shukuru Kawambwa. Ni majina tu bila shaka yanafanana.Hivi yule mtangazaji wa vipindi vya michezo pale Azam (U fm) nae si anaitwa Shukuru kawambwa?
Niliposoma title kabla ya kufungua Uzi,nikasema Kawambwa tangu lini amewahi kuwa Waziri?
Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Alitakiwa aende na askari wenye silaa kupitia serikali ya mtaaHuyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Huyo jamaa aliyekuwa anambugudhi Mhe. Dr. Kawambwa ni wa jinsia gani!!Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Hivi huyo jamaa alijiamini nini kumsukuma,kumpelekesha Dr kawambwaHuyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Itakuwa yupo vizuri ni attire tu za shamba katupia watu wanamuona kachokaMbona nasikia tu jina la Kawambwa!! Dr. Shukuru Kawambwa ndiyo amechoka hivyo!!
Nilichoona ni kwamba Kawambwa kafunga njia kutumia magogo bila kuwa na kibali.View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Naona kwenye clip anasema yeye ni MWENYEKITI WA CHAMA.[emoji1787]Wenyewe CCM wanasema huu ndiyo wakati wa kupigishana shoti,hapo Kawambwa keshapigwa shoti.
Mbunge wa sasa wa Bagamoyo anaangalia hii video huku anatabasamu.
Uchaguzi umekaribia tutashuhudia vituko vya kila aina.
DahhhNchi ngumu sana hii.
Hapa Kuna wanasiasa wakiona hii video,wanawaambia vijana wao " ongezeni Kasi ya kuchota,mpaka nivimbiwe,Mimi sitaki kuwa kama kawambwa nikistaafu".
Nchi imeoza sana hii.
Vijana hao hawana adabu kabisaNdo maana nchi haiendelei.eti alikuwa anasimamia wizara.leo anapigwa Pingu na raia
Siyo Bagamoyo tu, anaweza kujikuta anapoteza chote alichonacho kwa hekaheka atakazopewa.Hivi huyo jamaa alijiamini nini kumsukuma,kumpelekesha Dr kawambwa
Kawambwa hapo bagamoyo Ana title kubwa
Ova
Huyo bado mdogo sanaYule anaitwa Musa Kawambwa. Na hana uhusiano wowote ule na Dr. Shukuru Kawambwa. Ni majina tu bila shaka yanafanana.
Duh,umeona kazi hiyoHuyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Simulia ilivyotokeaWaliokuwa wanagawa walikuwa matapeli yaliokubuhu
Na mimi walinipiga washenzi hao
Laana itawatafuna na wataumbuka mmoja baada ya mwingine
Uzuri za dhulma hazikai
Mwenyewe nimeshangaa. Hapo namuona huyo kijana ndio hajielewi..anatumia nguvu kuliko akili.sasa anavyomfunga na kamba halafu ampeleke polisi,sasa kwa akili yake ndogo polisi watamfunga kawambwa kweli? Ni polisi mjinga atakayefanya hivyoWabongo kazini! Hajui kisa lakini anaeleza kama alikuwepo eneo hilo na anajua kisa kizima.
Ni miaka mingi sana iliyopitaSimulia ilivyotokea
Na deal za kichama zimeishaJamani .inawezekana hela zote kamaliza?