Kabisa yani dso na waziri mstaafu unataka kumfunga kamba aisee kuna watu hawana akili, yule si sawa na mzazi wakeYule jamaa ni mpuz sana
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yani dso na waziri mstaafu unataka kumfunga kamba aisee kuna watu hawana akili, yule si sawa na mzazi wakeYule jamaa ni mpuz sana
Ova
Thubutu ogopa mamlaka hata mungu amekwambia heshimu mamlaka kwa akili yako fupi wewe unaweza kushibdana na jk??? UnachekeshaKwani Msoga ni kina nani hasa kuna watu wana mahakama zao za duniani za kulilia kama mnategemea cjui msoga sijui polisi watu tuna mahakama zetu za duniani mengine hatumwachii Mungu anakazi nyingi za kufanya tunashughulika na MHUSIKA usijidanganye
Wisdom readAtakuwa kapatia hela ukubwani huwezi kumdhalilisha mtu mzima namna ile
Jamaa alikosea Sanaa 😊 atabinywa mbupu mpaka akili imkae sawaNadhani huyo jamaa ni mjinga
We unapayuka wenzako wametulia unawasukuma hawareact bado unatumia nguvu ilhali watu wapo at ease
Sasa hapo ataijua SIRI KALI
Na kuna Sauti ya DELILA na CHAWA inamcharua awake zaid
Mwenye nguvu mwite pawa, jamaa atatia adabu hapo ataanza kuombwa leseni ya kuendeshea machimbo ya mchanga. Akikosa kesi itakayoibuka sasa.Issue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori yasipite na kuharibu barabara ndipo walipokutwa na huyo Hassan Wembe Diwani mstaafu wa Kiromo na beki ya zamani ya timu ya Malindi Zanzibar. Wembe ni mmiliki wa mashimo ya mchanga huko Kiromo kwahiyo kuzibwa Kwa barabara kunazuia malori kuingia na hivyo kukosa fedha. Mhusika huyo wlWembe na washirika wenzie walikamatwa jana na wako lokapu hadi sasa. Nadhani jambo limekuwa kubwa kwani mmoja ya waliodhalilishwa ni DSO Mstaafu na DSO Bagamoyo kasimamia zoezi zima kuhakikisha wanakamatwa !
Ndugu unadhani hiyo mahakama unayo peke yako. Hao manguli wana vyote,connection na hizo mahakama.Kwani Msoga ni kina nani hasa kuna watu wana mahakama zao za duniani za kulilia kama mnategemea cjui msoga sijui polisi watu tuna mahakama zetu za duniani mengine hatumwachii Mungu anakazi nyingi za kufanya tunashughulika na MHUSIKA usijidanganye
Umechelewa!Kwani Msoga ni kina nani hasa kuna watu wana mahakama zao za duniani za kulilia kama mnategemea cjui msoga sijui polisi watu tuna mahakama zetu za duniani mengine hatumwachii Mungu anakazi nyingi za kufanya tunashughulika na MHUSIKA usijidanganye
Mheshimiwa ana PhD vile????ila degree ya kwanza.......haya bhana!!!View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Mwache ajichomeshe mwenyewe! Nakumbuka Jerry Muro naye aliwahi kukamatwa akiwa na pingu! Ngoja Kamanda Pio Lutumo aje aibuke naye!Hao jamaa wnaopiga kelele Kuna mahala kwenye video imeonekana jamaa ameshika pingu swali najiuliza hyo pingu kapataje?
Kitu Cha busara kama unaweza kutumia busara ya mazungumzo Ili yaishe jitahid iwe hvyo na ukiwa kwenye ugomvi kama Kuna mwanamke ondoka eneo Hilo sababu mwanamke n petroli kwenye ugomvi hasa akiwa upande wako!
Kazi anayoMwache ajichomeshe mwenyewe! Nakumbuka Jerry Muro naye aliwahi kukamatwa akiwa na pingu! Ngoja Kamanda Pio Lutumo aje aibuke naye!