Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Kwani Msoga ni kina nani hasa kuna watu wana mahakama zao za duniani za kulilia kama mnategemea cjui msoga sijui polisi watu tuna mahakama zetu za duniani mengine hatumwachii Mungu anakazi nyingi za kufanya tunashughulika na MHUSIKA usijidanganye
Thubutu ogopa mamlaka hata mungu amekwambia heshimu mamlaka kwa akili yako fupi wewe unaweza kushibdana na jk??? Unachekesha
 
Nadhani huyo jamaa ni mjinga
We unapayuka wenzako wametulia unawasukuma hawareact bado unatumia nguvu ilhali watu wapo at ease

Sasa hapo ataijua SIRI KALI
Na kuna Sauti ya DELILA na CHAWA inamcharua awake zaid
 
Nadhani huyo jamaa ni mjinga
We unapayuka wenzako wametulia unawasukuma hawareact bado unatumia nguvu ilhali watu wapo at ease

Sasa hapo ataijua SIRI KALI
Na kuna Sauti ya DELILA na CHAWA inamcharua awake zaid
Jamaa alikosea Sanaa 😊 atabinywa mbupu mpaka akili imkae sawa

NB.
Ana nafasi ya kumpigia magoti kawambwa atamsamehe wakati mwingine vijana tunajisahau sanaa
 
Issue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori yasipite na kuharibu barabara ndipo walipokutwa na huyo Hassan Wembe Diwani mstaafu wa Kiromo na beki ya zamani ya timu ya Malindi Zanzibar. Wembe ni mmiliki wa mashimo ya mchanga huko Kiromo kwahiyo kuzibwa Kwa barabara kunazuia malori kuingia na hivyo kukosa fedha. Mhusika huyo wlWembe na washirika wenzie walikamatwa jana na wako lokapu hadi sasa. Nadhani jambo limekuwa kubwa kwani mmoja ya waliodhalilishwa ni DSO Mstaafu na DSO Bagamoyo kasimamia zoezi zima kuhakikisha wanakamatwa !
Mwenye nguvu mwite pawa, jamaa atatia adabu hapo ataanza kuombwa leseni ya kuendeshea machimbo ya mchanga. Akikosa kesi itakayoibuka sasa.
 
Kwani Msoga ni kina nani hasa kuna watu wana mahakama zao za duniani za kulilia kama mnategemea cjui msoga sijui polisi watu tuna mahakama zetu za duniani mengine hatumwachii Mungu anakazi nyingi za kufanya tunashughulika na MHUSIKA usijidanganye
Ndugu unadhani hiyo mahakama unayo peke yako. Hao manguli wana vyote,connection na hizo mahakama.
Mtu awe mbunge,kisha Waziri unadhani hajui machimbo ya hizo mahakama ?
 
Hii ndio shida ya watanzania, wakipata ajira sijui busara inaenda wapi. Kwani hata ukiwa na mamlaka huwezi kuongea na watu vizuri mkaeleweshana mpaka ufoke?

Sasa hata kama hakumfahamu Dr.Kawambwa, alipaswa kuongea nao vizuri tu, na hata kama unampeleka mtu polisi unamueleza kawaida hapa umefanya makosa, na ina bidi twende polisi ukatoe maelezo, au tutakushitaki ili huyu mlalamikaji apate haki yake.

Lakini Duh utafikiri mtu kaingiwa mashetani/majini anapayuka na kelele utadhani mwehu.

Uzee ni mtakuja hata uwe kijana vipi utazeeka tu, sasa kwanini usiwe na busara na hekima unapoongea na wazeee?

Tukiwa kwenye ofisi zetu tuwe na busara na ustaarabu kidogo.
 
View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Mheshimiwa ana PhD vile????ila degree ya kwanza.......haya bhana!!!
 
Hao jamaa wnaopiga kelele Kuna mahala kwenye video imeonekana jamaa ameshika pingu swali najiuliza hyo pingu kapataje?

Kitu Cha busara kama unaweza kutumia busara ya mazungumzo Ili yaishe jitahid iwe hvyo na ukiwa kwenye ugomvi kama Kuna mwanamke ondoka eneo Hilo sababu mwanamke n petroli kwenye ugomvi hasa akiwa upande wako!
 
Hao jamaa wnaopiga kelele Kuna mahala kwenye video imeonekana jamaa ameshika pingu swali najiuliza hyo pingu kapataje?

Kitu Cha busara kama unaweza kutumia busara ya mazungumzo Ili yaishe jitahid iwe hvyo na ukiwa kwenye ugomvi kama Kuna mwanamke ondoka eneo Hilo sababu mwanamke n petroli kwenye ugomvi hasa akiwa upande wako!
Mwache ajichomeshe mwenyewe! Nakumbuka Jerry Muro naye aliwahi kukamatwa akiwa na pingu! Ngoja Kamanda Pio Lutumo aje aibuke naye!
 
Back
Top Bottom