Tofautisha mstaafu na mzeeNdiyo unajidanganya hivyo? Nenda Ualaya uone. Hakuna watu wanaoishi maisha mazuri kama wastaafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha mstaafu na mzeeNdiyo unajidanganya hivyo? Nenda Ualaya uone. Hakuna watu wanaoishi maisha mazuri kama wastaafu.
The line dividing mstaafu and mzee is very thin.... if even it exists!Tofautisha mstaafu na mzee
Mbona hueleweki unamaanisha waliopo hospital kwa ajali waliofariki ikiwemo na wa familia yako wote ni CCM!Wana CCM wenzako hao wanaotuibia kodi zetu na huo ndo mwisho wao mmbaya kama juzi mmoja nayemjua kapata ajali kavunjikavunjika mwili wote kazi kuiba hela kwenye taasis za umma yan mtakufa vibaya sana mpaka mbaki midomo wazi asema Bwana wa Majeshi Laana kamwe haitowaacha na hata vizazi na vizazi
Usisikilize stori ya upande mmoja, mtizame Mzee Kawambwa alivyo Cool, angalia Kijana avyoropoka HOVYO.View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Kama habari ni hii wabongo tuna roho za husda sana, tunapenda kusikia anguko la mtu na kuporomoka kiuchumi.Issue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori yasipite na kuharibu barabara ndipo walipokutwa na huyo Hassan Wembe Diwani mstaafu wa Kiromo na beki ya zamani ya timu ya Malindi Zanzibar. Wembe ni mmiliki wa mashimo ya mchanga huko Kiromo kwahiyo kuzibwa Kwa barabara kunazuia malori kuingia na hivyo kukosa fedha. Mhusika huyo wlWembe na washirika wenzie walikamatwa jana na wako lokapu hadi sasa. Nadhani jambo limekuwa kubwa kwani mmoja ya waliodhalilishwa ni DSO Mstaafu na DSO Bagamoyo kasimamia zoezi zima kuhakikisha wanakamatwa !
Mzee alitumia busara sana.Na Kawambwa mwenyewe huyu hapa anaongea
View attachment 2973833
Kabisa huwezi kuwadhalilisha wazee kiasi kile, angefuata utaratibu kama aliona walichokifanya wamekosea.Atakuwa kapatia hela ukubwani huwezi kumdhalilisha mtu mzima namna ile
Kwani polisi huwa wanamgunga mtu?Mwenyewe nimeshangaa. Hapo namuona huyo kijana ndio hajielewi..anatumia nguvu kuliko akili.sasa anavyomfunga na kamba halafu ampeleke polisi,sasa kwa akili yake ndogo polisi watamfunga kawambwa kweli? Ni polisi mjinga atakayefanya hivyo
Naomba kuuliza hivi maana ya DSO ni nini na je kawe ina hadhi ya kuwa na DSO, Bagamoyo sawa sina shida nayo. Mwenye comment nieleweshe tafafhariIssue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori yasipite na kuharibu barabara ndipo walipokutwa na huyo Hassan Wembe Diwani mstaafu wa Kiromo na beki ya zamani ya timu ya Malindi Zanzibar. Wembe ni mmiliki wa mashimo ya mchanga huko Kiromo kwahiyo kuzibwa Kwa barabara kunazuia malori kuingia na hivyo kukosa fedha. Mhusika huyo wlWembe na washirika wenzie walikamatwa jana na wako lokapu hadi sasa. Nadhani jambo limekuwa kubwa kwani mmoja ya waliodhalilishwa ni DSO Mstaafu na DSO Bagamoyo kasimamia zoezi zima kuhakikisha wanakamatwa !
Apa naweza kukubali sasa....Maana navojua hao Mawaziri walipiga hela nyingi sana hawawezi kuwa madalali ghafla iviIssue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori yasipite na kuharibu barabara ndipo walipokutwa na huyo Hassan Wembe Diwani mstaafu wa Kiromo na beki ya zamani ya timu ya Malindi Zanzibar. Wembe ni mmiliki wa mashimo ya mchanga huko Kiromo kwahiyo kuzibwa Kwa barabara kunazuia malori kuingia na hivyo kukosa fedha. Mhusika huyo wlWembe na washirika wenzie walikamatwa jana na wako lokapu hadi sasa. Nadhani jambo limekuwa kubwa kwani mmoja ya waliodhalilishwa ni DSO Mstaafu na DSO Bagamoyo kasimamia zoezi zima kuhakikisha wanakamatwa !
Hivi yule mtangazaji wa vipindi vya michezo pale Azam (U fm) nae si anaitwa Shukuru kawambwa?
Niliposoma title kabla ya kufungua Uzi,nikasema Kawambwa tangu lini amewahi kuwa Waziri?
Kumbe ni wewe!Huyo kwenye video sio Shukuru Kawambwa ! Acheni kumpakazia