Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye mbona kuna clip nyingine anatoa maelezo kuhusu kilichotokeaHuyo sio Shukuru Kawambwa hata hawafanani.Acheni kurukia watu na kuwapakazia uongo
Sasa mbona tai na v8 sivioni!View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Ulisharmtembea naye nini!Huyo sio Shukuru Kawambwa hata hawafanani.Acheni kurukia watu na kuwapakazia uongo
Mimi nilichokuwa najiuliza hapo anaenda kumpeleka polisi kama nani? Anachomaanisha kwamba yeye anauwezo wa kuwaamrisha polisi wafanye anayoyataka.ndio maana anamuambia kuwa yeye ana nguvu.Hii ndio shida ya watanzania, wakipata ajira sijui busara inaenda wapi. Kwani hata ukiwa na mamlaka huwezi kuongea na watu vizuri mkaeleweshana mpaka ufoke?
Sasa hata kama hakumfahamu Dr.Kawambwa, alipaswa kuongea nao vizuri tu, na hata kama unampeleka mtu polisi unamueleza kawaida hapa umefanya makosa, na ina bidi twende polisi ukatoe maelezo, au tutakushitaki ili huyu mlalamikaji apate haki yake.
Lakini Duh utafikiri mtu kaingiwa mashetani/majini anapayuka na kelele utadhani mwehu.
Uzee ni mtakuja hata uwe kijana vipi utazeeka tu, sasa kwanini usiwe na busara na hekima unapoongea na wazeee?
Tukiwa kwenye ofisi zetu tuwe na busara na ustaarabu kidogo.
View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Distric Council officer.... Kawe imejichanganya hapo ila alihudumu kawe pia ila si kwa DSONaomba kuuliza hivi maana ya DSO ni nini na je kawe ina hadhi ya kuwa na DSO, Bagamoyo sawa sina shida nayo. Mwenye comment nieleweshe tafafhari
Ukiacha uana siasa Shukuru ni PhD holder. Kweli awe dalali wa viwanja? Mtu kahudumu pale UDSM akose hata papatu papatu za mafao ya NSSF awe dalali? Nadhani kwa Tz elimu yetu haijawa saturated hivyo.Kama habari ni hii wabongo tuna roho za husda sana, tunapenda kusikia anguko la mtu na kuporomoka kiuchumi.
District Security Officer...watu wa TISS hao! Huyu dogo kajimix vibayaDistric Council officer.... Kawe imejichanganya hapo ila alihudumu kawe pia ila si kwa DSO
There are things you cannot forgive. Something like that must have consequencesJamaa alikosea Sanaa 😊 atabinywa mbupu mpaka akili imkae sawa
NB.
Ana nafasi ya kumpigia magoti kawambwa atamsamehe wakati mwingine vijana tunajisahau sanaa
That is the principleKwenye hii thread nimejifunza kuweka akiba ya maneno na kuto comment kabla ya kupata taarifa kamili. Sio kwa plot twist iliyotokea
Kwamba DSO ni district Council officer?Distric Council officer.... Kawe imejichanganya hapo ila alihudumu kawe pia ila si kwa DSO
AFANDE KIFIMBOThere are things you cannot forgive. Something like that must have consequences
Afadhali, maana hana adabu kbisa, avunjwe miguu yoteHuyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Hana adabu huyo muhuni, atiwe ndani hadi mwakaniHivi huyo jamaa alijiamini nini kumsukuma,kumpelekesha Dr kawambwa
Kawambwa hapo bagamoyo Ana title kubwa
Ova
Jamaa mpuz sana Ana mihemukoHana adabu huyo muhuni, atiwe ndani hadi mwakani
Huyu alichukua rushwa nyingi sana kwa watu wenye projects waliotaka kufanya kazi na wizara zake ama kweli fedha haramu siyo nzuriAlihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!