Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Sasa mbona tai na v8 sivioni!
Ukimuangalia kwa karibu utaona kama ametoka kupiga visungura.
 
Hii ndio shida ya watanzania, wakipata ajira sijui busara inaenda wapi. Kwani hata ukiwa na mamlaka huwezi kuongea na watu vizuri mkaeleweshana mpaka ufoke?

Sasa hata kama hakumfahamu Dr.Kawambwa, alipaswa kuongea nao vizuri tu, na hata kama unampeleka mtu polisi unamueleza kawaida hapa umefanya makosa, na ina bidi twende polisi ukatoe maelezo, au tutakushitaki ili huyu mlalamikaji apate haki yake.

Lakini Duh utafikiri mtu kaingiwa mashetani/majini anapayuka na kelele utadhani mwehu.

Uzee ni mtakuja hata uwe kijana vipi utazeeka tu, sasa kwanini usiwe na busara na hekima unapoongea na wazeee?

Tukiwa kwenye ofisi zetu tuwe na busara na ustaarabu kidogo.
Mimi nilichokuwa najiuliza hapo anaenda kumpeleka polisi kama nani? Anachomaanisha kwamba yeye anauwezo wa kuwaamrisha polisi wafanye anayoyataka.ndio maana anamuambia kuwa yeye ana nguvu.
Inaonekana hata serekali ya mtaa inamuogopa ndio maana wakawatuma hao wazee wawili.
Na pia huyo mzanzibari inaonekana kichwani hamna kitu kabisa.unamuitaje mtu muhalifu kwa kufunga barabara.kwani hiyo barabara ni mali yake?
 
View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!

Acheni basi ushabiki wa Kijinga wa kuchafulia watu majina!
Kinacho onekana hapo ni barabara iliyofungwa, pengine inapita kwenye shamba la mtu;
Hata ningekuwa mimi; mtu hawezi kugeuza kiwanja changu/shamba langu kuwa barabara bila kukubaliana.
Hayo ya udalali wa Kiwanja mmetoa wapi???
 
Kama habari ni hii wabongo tuna roho za husda sana, tunapenda kusikia anguko la mtu na kuporomoka kiuchumi.
Ukiacha uana siasa Shukuru ni PhD holder. Kweli awe dalali wa viwanja? Mtu kahudumu pale UDSM akose hata papatu papatu za mafao ya NSSF awe dalali? Nadhani kwa Tz elimu yetu haijawa saturated hivyo.
 
Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Afadhali, maana hana adabu kbisa, avunjwe miguu yote
 
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Huyu alichukua rushwa nyingi sana kwa watu wenye projects waliotaka kufanya kazi na wizara zake ama kweli fedha haramu siyo nzuri
 
Back
Top Bottom