Bagamoyo na Msoga ni mdomo na mate, Msoga na Kismkazi ni ulimi na mate, soon Bagamoyo itainuliwaKwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Wewe ndie umepatia sasa.mimi nilifkiria DSO Distric Security Officer akili yangu inawaza ulinzi ulinzi tu muda.
District Security Officer (Mkuu wa Usalama wa Wilaya)Naomba kuuliza hivi maana ya DSO ni nini na je kawe ina hadhi ya kuwa na DSO, Bagamoyo sawa sina shida nayo. Mwenye comment nieleweshe tafafhari
Hakuna cha kupewa msala kajichanganya huyo mpemba, yaani umfuate mtu nyumbani kwake uanze kumjambazia kweli? Tena prof mzima unaanza kumfunga mawigi mikononi, kha! Mie keshakula chuma ya kichwa.Kawambwa na JK ni ndugu kabisa wale! Kijana atajua,hajui! Watampoteza kwa msala watakaompa
Nilitaka nishangae waziri mstaafu unawezaje kumfanyia uhuni wa namna hio kisha ubakie salama?!Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Atajua hajui, CCM ni habari nyengine acha simu imfikie mstaafu mkuu 😂😂😂Hivi huyo jamaa alijiamini nini kumsukuma,kumpelekesha Dr kawambwa
Kawambwa hapo bagamoyo Ana title kubwa
Ova
Yaani mtu umkute shambani kwake analima unaanza kumfunga kamba eti unampeleka polisi kivipi? Alikuwa na arrest warranty? Mie sio polisi wangekuja kuchukua miili yao,Raia yeyote ana haki ya kumkamata mtu na kukfikisha kwenye vyombo vya dola na ikibidi nguvu kidogo itumike. Hapo kwenye kupima nguvu kidogo ndo shida tu basi
Hivi mimi na akili zangu timamu nikamsumbue mtu kama Mizengo Pinda kwa sababu zisizoeleweka nitakuwa natafuta nini haswa 😁Issue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori yasipite na kuharibu barabara ndipo walipokutwa na huyo Hassan Wembe Diwani mstaafu wa Kiromo na beki ya zamani ya timu ya Malindi Zanzibar. Wembe ni mmiliki wa mashimo ya mchanga huko Kiromo kwahiyo kuzibwa Kwa barabara kunazuia malori kuingia na hivyo kukosa fedha. Mhusika huyo wlWembe na washirika wenzie walikamatwa jana na wako lokapu hadi sasa. Nadhani jambo limekuwa kubwa kwani mmoja ya waliodhalilishwa ni DSO Mstaafu na DSO Bagamoyo kasimamia zoezi zima kuhakikisha wanakamatwa !
Aah kwahio unadhani ya kamati unayajua wewe tu?! Watoto wa Pwani wako njema sana kwenye hilo kama hujui😂Kwani Msoga ni kina nani hasa kuna watu wana mahakama zao za duniani za kulilia kama mnategemea cjui msoga sijui polisi watu tuna mahakama zetu za duniani mengine hatumwachii Mungu anakazi nyingi za kufanya tunashughulika na MHUSIKA usijidanganye
Huyo jamaa kipigo alichopewa huko Central hatakuwa na hamu kabisa. Huwezi kumdhalilisha mtu mzima in that manner!Sasa hivi huyo jamaa atakuwa anatia huruma sana
Nahisi atakuwa katokea uswekeni ndio kaja kapatia maisha hapo Bagamoyo tena awamu ya Magu. Hajui lolote kuhusu mzee Kawambwa.Yule jamaa ni mpuz sana
Ova
Kaishia kufungwa yeye sasa 😂 baada ya simu 1 tu iliotokea Oysterbay.Jamaa anataka kumfunga kamba mtu mwenye connection!
Sahv ndiyo atawajua hao wazeeNahisi atakuwa katokea uswekeni ndio kaja kapatia maisha hapo Bagamoyo tena awamu ya Magu. Hajui lolote kuhusu mzee Kawambwa.
Kwa watu tuliokuwa timamu na kujua watu wana nyadhifa kiasi gani. Huwezi kucheza na waziri mstaafu 😁 huyo jamaa ni sehemu ya mfumo mpaka siku ambayo atazikwa kwa heshima.
Kipindi kile haki ingekuwa upande wake ila kwa sasa kashabugi😁! Hapo biashara yake ndio imeisha..Akitoka ahamie vikinduHapa Duniani kuna watu hawajui kusoma nyakati angefanya hii enzi za Chato ningesema sawa lakini ana fanya hizi issue enzi za Msoga?
Yani nimecheka anavyowaita wahalifu😁 eti nyie ni wahalifu. Wafungeni kamba hawaSahv ndiyo atawajua hao wazee
Ni kina nani
Ova
Na hayo machimbo pajengwe kituo cha polisi naenda kupeleka mawe trip 50 na tofali elfu 4.Kipindi kile haki ingekuwa upande wake ila kwa sasa kashabugi😁! Hapo biashara yake ndio imeisha..Akitoka ahamie vikindu
Hili issue imeandikwa kishabiki, huyu mzee sio dalali kama mtoa mada anavyosema, issue iko hivi huyo kijana alikuwa Diwani kata ya KIROMO binafsi nilishawahi kwazuruza naye, ana maeneo ya uchimbaji (Dalali) mchanga/kifusi maeneo ya kitopeni, toka amepewa kibali cha uchimbaji huo kumekuwa na uharibifu mkubwa sana wa barabara inayoelekea kwenye machimbo hayo, ili hali waathirika wa hiyo barabara ukiacha wananchi wa kawaida ni pamoja na Mzee Kawambwa na huyo mzee mrefu hapo anaitwa Madondola mstaafu wa Idara ya Usalama (DSO Bagamoyo, Chato amestaafia Kawe 2021).View attachment 2973546
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha
Kweli siasa ni nyokooo!!
Fala kweli yuleYani nimecheka anavyowaita wahalifu😁 eti nyie ni wahalifu. Wafungeni kamba hawa
Huyo jamaa ana mitonyo😁 uwe waziri wa ardhi utakosaje offer za million 200-500 hizo ili watu wafanye yao?!Upo sahihi kabisa na kwa nafasi alizowahi kuhudumu awezi kufulia kiasi cha kuwa dalali.