Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
Nilitaka nishangae waziri mstaafu unawezaje kumfanyia uhuni wa namna hio kisha ubakie salama?!
 
Raia yeyote ana haki ya kumkamata mtu na kukfikisha kwenye vyombo vya dola na ikibidi nguvu kidogo itumike. Hapo kwenye kupima nguvu kidogo ndo shida tu basi
Yaani mtu umkute shambani kwake analima unaanza kumfunga kamba eti unampeleka polisi kivipi? Alikuwa na arrest warranty? Mie sio polisi wangekuja kuchukua miili yao,
 
Issue sio udalali hapa. Malori ya mchanga yanaingia kwenye eneo lenye barabara ya kuingia kwake na pia kwenda shule ya sekondari na kufanya uharibifu wa barabara. Yeye Kawambwa na huyo mwingine aliyedhalilishwa DSO Mstaafu wa Kawe na Bagamoyo Madondola waliamua kuweka vigogo vya mnazi ili malori yasipite na kuharibu barabara ndipo walipokutwa na huyo Hassan Wembe Diwani mstaafu wa Kiromo na beki ya zamani ya timu ya Malindi Zanzibar. Wembe ni mmiliki wa mashimo ya mchanga huko Kiromo kwahiyo kuzibwa Kwa barabara kunazuia malori kuingia na hivyo kukosa fedha. Mhusika huyo wlWembe na washirika wenzie walikamatwa jana na wako lokapu hadi sasa. Nadhani jambo limekuwa kubwa kwani mmoja ya waliodhalilishwa ni DSO Mstaafu na DSO Bagamoyo kasimamia zoezi zima kuhakikisha wanakamatwa !
Hivi mimi na akili zangu timamu nikamsumbue mtu kama Mizengo Pinda kwa sababu zisizoeleweka nitakuwa natafuta nini haswa 😁
 
Kwani Msoga ni kina nani hasa kuna watu wana mahakama zao za duniani za kulilia kama mnategemea cjui msoga sijui polisi watu tuna mahakama zetu za duniani mengine hatumwachii Mungu anakazi nyingi za kufanya tunashughulika na MHUSIKA usijidanganye
Aah kwahio unadhani ya kamati unayajua wewe tu?! Watoto wa Pwani wako njema sana kwenye hilo kama hujui😂
 
Yule jamaa ni mpuz sana

Ova
Nahisi atakuwa katokea uswekeni ndio kaja kapatia maisha hapo Bagamoyo tena awamu ya Magu. Hajui lolote kuhusu mzee Kawambwa.

Kwa watu tuliokuwa timamu na kujua watu wana nyadhifa kiasi gani. Huwezi kucheza na waziri mstaafu 😁 huyo jamaa ni sehemu ya mfumo mpaka siku ambayo atazikwa kwa heshima.
 
Nahisi atakuwa katokea uswekeni ndio kaja kapatia maisha hapo Bagamoyo tena awamu ya Magu. Hajui lolote kuhusu mzee Kawambwa.

Kwa watu tuliokuwa timamu na kujua watu wana nyadhifa kiasi gani. Huwezi kucheza na waziri mstaafu 😁 huyo jamaa ni sehemu ya mfumo mpaka siku ambayo atazikwa kwa heshima.
Sahv ndiyo atawajua hao wazee
Ni kina nani

Ova
 
View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Hili issue imeandikwa kishabiki, huyu mzee sio dalali kama mtoa mada anavyosema, issue iko hivi huyo kijana alikuwa Diwani kata ya KIROMO binafsi nilishawahi kwazuruza naye, ana maeneo ya uchimbaji (Dalali) mchanga/kifusi maeneo ya kitopeni, toka amepewa kibali cha uchimbaji huo kumekuwa na uharibifu mkubwa sana wa barabara inayoelekea kwenye machimbo hayo, ili hali waathirika wa hiyo barabara ukiacha wananchi wa kawaida ni pamoja na Mzee Kawambwa na huyo mzee mrefu hapo anaitwa Madondola mstaafu wa Idara ya Usalama (DSO Bagamoyo, Chato amestaafia Kawe 2021).

Hata hivi tunavyoongea huyo kijana na wenzake wapo lockup toka jana wanasubiri kufikishwa mahakamani.
 
Upo sahihi kabisa na kwa nafasi alizowahi kuhudumu awezi kufulia kiasi cha kuwa dalali.
Huyo jamaa ana mitonyo😁 uwe waziri wa ardhi utakosaje offer za million 200-500 hizo ili watu wafanye yao?!

Kwa Term mbili za Jakaya na watu walivyokuwa wanapiga hela unadhani anakosaje B hata 10 bank?

Bado ana pension na mgao wa mshahara kila mwezi😁 tena wenzetu hawakuwa subjected kwenye kikokotoo kwa maana alilamba 100% ya mpunga wake.
 
Back
Top Bottom