Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

kubabako mkatoriki wa nazareti
 


Nakumbuka enzi za shule sisi walikua wanalaumu kufelishwa sababu ya majina. Kwamba mwalimu akiona jina la kiislam anafelisha, lakini Muda sisi tuko physics lab wao wameitana kikao kudoscuss uniform ya shule iwe nusu kanzu kwa waislam [emoji23]

Afu mtihani ukatoka pale pale ambako hawakuwepo
 
Slaaah Kichwa haswa huwezi mfananisha na msoga hata mwenyewe analijua hilo
Nilidhani kichwani unakichwa kumbe karo la choo , kuanzia leo nimekudharau na nakudharau tena kwa kuwa comment zako zinaonyesha wazi unachuki kubwa dhidi dini ya uislamu na kupiga kila kitu pasipo na haki na pamoja na ukosoaji wa dhihaka pasipo na hoja za msingi
 
Pamoja na shule zao kua za mwisho,ila uchumi wa Zanzibar ni mara 100 ya uchumi wa Kagera au Kilimanjaro zinazoongoza kwenye elimu
Ni upumbavu kushindana kupiga one baada ya kushindana kuondoa umasikini na kushindana kuwekeza kwa mikataba yenye maslahi
 
Kilaza mkubwa wewe endeleza chuki zako mimi sio mwenzako
 
Tanzania wapumbavu ni wengi sana mpaka inasikitisha , kila kukicha thread za kuponda mfumo mbovu wa elimu yetu kwamba ya kukariri , haina msaada kwa taifa , wasomi wengi mafisadi nk halafu hao hao ndio wanawaponda waislamu kwa kutumia elimu yetu hii hii ya makaratasi

Swali la kujiuliza wao na huo usomi wao na kushika kwao vyeo wameongeza nini Ktk taifa zaidi ya ufisadi wanaoulalamikia ?
 
Kilaza mkubwa wewe endeleza chuki zako mimi sio mwenzako
Sawa, kwa heshima kubwa ya akili ulizo nazo na usomi naomba jina lako niliandike Ktk kuta la karo la choo mitaani ili mchango wako kwa taifa ukumbukwe na vizazi vya baadae.
 
Uliona wapi wanaume wavaa vipendo na wanawake wavaa madera wakaingia 10 bora mzee baba??? Labda kumi bora ya kupiga dufu na kubugia pilau la mialiko ya 40
 
Msimamo wa uislamu Ktk elimu uko hivi ili ili mtu ahesabike kuwa msomi ni lazima matunda elimu yaonekane imuwezeshe awe tofauti kimaadili na tabia na kiakili kuliko wale ambao wako chini

Yaani haliwezekani mtu ajisifie usomi wkt mwizi , muovu, katili, fisadi, hafanyi haki kwa wengine nk hapo haiwezi kuwa Sawa.

Kwa hiyo kipimo chetu sisi tuna angalia zaidi kwenye matendo zaidi(utelekelezaji wa kile mtu alichokisoma) yaani athari ya elimu ionekane .
 
Kama hali iko hivyo kwa nini kwenye teuzi tunajihidi sana ku-balance udini, obviously mahesabu ya nusu kwa nusu yanagoma kama ilivyo kutaka ku-balance gender....
 
Endelea kujifariji..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kujifariji..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kujifariji hayo hivi ndivyo mafundisho yetu yanavyosema hata mtu awe amekariri na kujua Juzu zote 30 lakini akawa anaenda tofauti na yaliyomo na elimu yake kama vile uzinifu , kamari , pombe , wema nk basi usomi wake hautokuwa na faida mbele ya Mwenyezi Mungu na atakuwa na adhabu kali siku ya kiama ushahidi aya hiyo ;

"Na haimizi kumpa chakula masikini basi adhabu kali itawapata wenye kuswali ambao swala zao wanazipuuza" (107:3-5) hapo japo kuswali ni ibada lkn kama haina positive impacts Ktk Maisha yako(kitabia) inahesabika kama uovu hivyo hivyo hadi elimu na vinginevyo.
 
Ww ni kati ya wazee wa hovyo kabisa na wasio kuwa na faida yeyote kwenye nchi yetu.
Wewe kenge kipindi wazazi wako wanashhghulika kukupata wewe nilikuwa busy kulinda mipaka ya nchi ndio maana ukapatikana kilaza mmoja wewe usiye na faida
 
Wewe kenge kipindi wazazi wako wanashhghulika kukupata wewe nilikuwa busy kulinda mipaka ya nchi ndio maana ukapatikana kilaza mmoja wewe usiye na faida
Utakuwa ulifoji vyeti maana haukuwa na sifa ya kulinda hiyo mipaka.
Maana umejaa chuki za kifala dhidi ya watz wenzako kisa dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…