kubabako mkatoriki wa nazaretiPia kuna Shule za Zanzibar! Yaani kuzikuta mkiani kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa, ni jambo la kawaida kabisa! Sijui kuna tatizo gani kule mahali! I wish wangejitenga tu na kuanzisha Baraza lao la Mitihani, ili na wenyewe waanze kuonekana kwenye 10 bora!
Na naamini huo wakati ukifika, tutashuhudia shule kama Mchamba wima, zikipambana na Kiembe samaki kuwania nafasi ya kwanza! Huku majina ya akina Ali Vuai, Mtumwa Said, Rahma Seif Jumbe, Ali Kombo, Ameir Makame, Pandu Ame Kificho, nk. Yakitamalaki kwenye 10 bora zao.
Ohoo!
Islam Dini
Dini Ya Haki
Tunaufinya Ubeche Taratibu Na Ndizi Zetu
Naona shule pamoja na wanafunzi wa kiislam kuna tatizo kwenye haya matokeo.
what's wrong??
Shule 10 bora form 4
1. Kemebos - Mkoa wa Kagera
2. St. Francis - Mbeya
3. Waja Boys - Geita
4. Bright Future Girls
5. Bethel Sabs Girls - Iringa
6. Maua Seminary - Kilimanjaro
7. Feza Boys - Dsm
8. Precious Blood - Arusha
9. Feza Girls - Dsm
10. Mzumbe Secondary - Morogoro.
wanafunzi 10 bora form 4
1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya
2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis
3. Wllhemia Steven - St. Francis
4. Cronel John - St Francis
5. Merry George Ngoso - St Francis
6. Holly Beda Lyimo - Bright Future Girls
7. Brandina - St. Francis
8. Imamu Suleiman - Feza Boys
9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru
10. Clara Straton - St. Francis
Shule 10 bora form 2
1. St Francis Girls - Mkoa wa Mbeya
2. Kemebos - Kagera
3. Graiyaki - Mara
4. Canossa - Dar es salaam
5. Tengeru Boys - Arusha
6. St. Monica Moshono Girls - Arusha
7. St. Augustine Tagaste - Dar es salaam
8. Centennial Christian - Peani
9. Bethel sabs Girls - Iringa
10. Bright Future Girls
Wanafunzi 10 bora form 2
1. Geovin Macha - Shule ya Jude Arusha
2. Moses Masome - Heritage Pwani
3. Pius Tairo - Tengeru Arusha
4. Henry Shelembi -Jude Arusha
5. Shilanga Malegi - Heritage Pwani
6. Loi Kitundu - Feza Girls - DSM
7. Joshua Leo - Tengeru Boys Arusha
8. Brian Chille - Marian Mkoa wa Pwani
9. Cornel Karoli - Jude Arusha
10. Elizabeth Msengi - St. Monica Arusha.
shule 10 bora darasa la 4
1. Twibhoki - Mara
2. Graiyaki - Mara
3. St. Peter Claver - Kagera
4. Green Star - Shinyanga
5. Kwema Modern - Shinyanga
6. Kikodi - Ruvuma
7. Bohari - Kagera
8. Rocken Hill - Shinyanga
9. Musabe - Mwanza
10. Mtuki - Dar es salaam
wanafunzi 10 bora darasa la 4
1. Joel Leonard - Libermann
2. Falima Mwenura - Green Star Junior
3. Goodluck Mtaki - Green Star Junior
4. Careen Slaa - Sasa
5. Joyce Ndonde - Wonder Kids
6. Samirah Mnali - Wonder Kids
7. Jonathan Maziku - Green Star
8. Balkis Majowe - Wonder Kids
9. Christopher Kileo - Green Star
10. Doreen Sanare - St Francis De Sale
Nilidhani kichwani unakichwa kumbe karo la choo , kuanzia leo nimekudharau na nakudharau tena kwa kuwa comment zako zinaonyesha wazi unachuki kubwa dhidi dini ya uislamu na kupiga kila kitu pasipo na haki na pamoja na ukosoaji wa dhihaka pasipo na hoja za msingiSlaaah Kichwa haswa huwezi mfananisha na msoga hata mwenyewe analijua hilo
Pamoja na shule zao kua za mwisho,ila uchumi wa Zanzibar ni mara 100 ya uchumi wa Kagera au Kilimanjaro zinazoongoza kwenye elimuPia kuna Shule za Zanzibar! Yaani kuzikuta mkiani kwenye matokeo ya mitihani ya Kitaifa, ni jambo la kawaida kabisa! Sijui kuna tatizo gani kule mahali! I wish wangejitenga tu na kuanzisha Baraza lao la Mitihani, ili na wenyewe waanze kuonekana kwenye 10 bora!
Na naamini huo wakati ukifika, tutashuhudia shule kama Mchamba wima, zikipambana na Kiembe samaki kuwania nafasi ya kwanza! Huku majina ya akina Ali Vuai, Mtumwa Said, Rahma Seif Jumbe, Ali Kombo, Ameir Makame, Pandu Ame Kificho, nk. Yakitamalaki kwenye 10 bora zao.
Kilaza mkubwa wewe endeleza chuki zako mimi sio mwenzakoNilidhani kichwani unakichwa kumbe karo la choo , kuanzia leo nimekudharau na nakudharau tena kwa kuwa comment zako zinaonyesha wazi unachuki kubwa dhidi dini ya uislamu na kupiga kila kitu pasipo na haki na pamoja na ukosoaji wa dhihaka pasipo na hoja za msingi
Tanzania wapumbavu ni wengi sana mpaka inasikitisha , kila kukicha thread za kuponda mfumo mbovu wa elimu yetu kwamba ya kukariri , haina msaada kwa taifa , wasomi wengi mafisadi nk halafu hao hao ndio wanawaponda waislamu kwa kutumia elimu yetu hii hii ya makaratasiukisoma mjadala na comment za watu utagundua kwanini Tanzania bado masikini, na utagundua kumbe hakuna haja yakuilaumu CCM.
watu wale wale wanaoishutuma CCM na mfumo duni wa elimu ndio watu walewale leo hii wanawatukana waislamu na kuwaona ni jamii pumbavu ambayo yenyewe ndio chanzo cha matatizo yao.... tukumbuke hawa waislam ni zaidi ya 40% ya population ya Tanzania... watu wale wale ndio wanashangilia watoto wao kupata Div one chini ya mfumo ule ule unaolalamikiwa...
Sawa, kwa heshima kubwa ya akili ulizo nazo na usomi naomba jina lako niliandike Ktk kuta la karo la choo mitaani ili mchango wako kwa taifa ukumbukwe na vizazi vya baadae.Kilaza mkubwa wewe endeleza chuki zako mimi sio mwenzako
Endelea kujifariji..Msimamo wa uislamu Ktk elimu uko hivi ili ili mtu ahesabike kuwa msomi ni lazima matunda elimu yaonekane imuwezeshe awe tofauti kimaadili na tabia na kiakili kuliko wale ambao wako chini
Yaani haliwezekani mtu ajisifie usomi wkt mwizi , muovu, katili, fisadi, hafanyi haki kwa wengine nk hapo haiwezi kuwa Sawa.
Kwa hiyo kipimo chetu sisi tuna angalia zaidi kwenye matendo zaidi(utelekelezaji wa kile mtu alichokisoma) yaani athari ya elimu ionekane .
Ww ni kati ya wazee wa hovyo kabisa na wasio kuwa na faida yeyote kwenye nchi yetu.Kilaza mkubwa wewe endeleza chuki zako mimi sio mwenzako
Sio kujifariji hayo hivi ndivyo mafundisho yetu yanavyosema hata mtu awe amekariri na kujua Juzu zote 30 lakini akawa anaenda tofauti na yaliyomo na elimu yake kama vile uzinifu , kamari , pombe , wema nk basi usomi wake hautokuwa na faida mbele ya Mwenyezi Mungu na atakuwa na adhabu kali siku ya kiama ushahidi aya hiyo ;
Wewe kenge kipindi wazazi wako wanashhghulika kukupata wewe nilikuwa busy kulinda mipaka ya nchi ndio maana ukapatikana kilaza mmoja wewe usiye na faidaWw ni kati ya wazee wa hovyo kabisa na wasio kuwa na faida yeyote kwenye nchi yetu.
Msamehe bure..vijana wa sikuhizi..nyege zimewazidia hawana adabu kabisa.Wewe kenge kipindi wazazi wako wanashhghulika kukupata wewe nilikuwa busy kulinda mipaka ya nchi ndio maana ukapatikana kilaza mmoja wewe usiye na faida
Utakuwa ulifoji vyeti maana haukuwa na sifa ya kulinda hiyo mipaka.Wewe kenge kipindi wazazi wako wanashhghulika kukupata wewe nilikuwa busy kulinda mipaka ya nchi ndio maana ukapatikana kilaza mmoja wewe usiye na faida