Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Ata uko duniani nchi nyingi zilizoendelea/dunia ya kwanza ni za wakristo.

Ata Saud Arabia wanayojivunia imejengwa na inajengwa na wakristo.

Kuna haja ya kufanya tafiti juu ya utamaduni wa kiislam na mchango wao kwa dunia...je una hasara zaidi ya faida?
Hebu nifafanulie kidogo hapo imejengwa na wacristo ki vp au njaa ya wacristo ndio iliwafanya wakajenga si walikua wanalipwa au bure
 
Yaan mademu wengi wanaovaa ijab wanalika jicho,waarabu ndo kabisa hawataki kuguswa bikra ni jicho tu...nenda Zenj ukatafiti
Hivi mkuu unaweza tu kuniambia muvi za vipenyo za kiislam Zaid ya kikafir zimejaa kwenye mitandao na nchi zenu za kikafir zimepitisha kabisa matendo ya kinyume na maumbile mpaka wanaume kwa wanume na mnafungisha mpaka ndoa makanisani ma shoga we niambie tu nchi moja ya kiislam inayofanya hayo mambo zaidi ya makafiri yenu
 
Hebu nifafanulie kidogo hapo imejengwa na wacristo ki vp au njaa ya wacristo ndio iliwafanya wakajenga si walikua wanalipwa au bure
Ok nitakujibu,Saudia inategemea almost kila kitu kwa mzungu kwa 90%

...Uchimbaji mafuta kuanzia tech. na ulinzi ni US.

...Saudia hawana tech.yao wala viwanda kamili...ni black market kwa wazungu kudamp reject products.

...Ujenzi wa majengo 70% yamejengwa na yanamilikiwa na wazungu ama kwa shareholding au umiliki kamili,kuna usemi kuwa Saudia ni ardhi ya US.

...ulinzi wa viongozi wa Saudia(falme za kiarabu) unatoka USA.

...Kwa ufupi Saudia ni koloni la kisasa la marekani kiuchumi.

NDIO MAANA SAUDIA HAIKO KWENYE G8 OR G12 MAANA INAMILIKIWA NA ''WATHUNGU''
 
Ok nitakujibu,Saudia inategemea almost kila kitu kwa mzungu kwa 90%

...Uchimbaji mafuta kuanzia tech. na ulinzi ni US.

...Saudia hawana tech.yao wala viwanda kamili...ni black market kwa wazungu kudamp reject products.

...Ujenzi wa majengo 70% yamejengwa na yanamilikiwa na wazungu ama kwa shareholding au umiliki kamili,kuna usemi kuwa Saudia ni ardhi ya US.

...ulinzi wa viongozi wa Saudia(falme za kiarabu) unatoka USA.

...Kwa ufupi Saudia ni koloni la kisasa la marekani kiuchumi.

NDIO MAANA SAUDIA HAIKO KWENYE G8 OR G12 MAANA INAMILIKIWA NA ''WATHUNGU''
Bado hujanijibu wanafanya hizo kazi buree au wanalipwa
 
Nyinyi mnahangaishwa na mambo ya dunia, sisi ni ahera. Kanjibhai atajiju a vyeti vyake
Mkuu tunaishi duniani, sehemu ambayo mwenyezi mungu ameona inafaa sisi kuiishi.
Na hapahapa duniani ndipo tunapofanya maandalizi mazuru kuelekea Ahera.
Ni vizuri tujitahidi kuupiga mpira kwa miguu yote.
 
Hivyo vichwa vinaandaliwa kuajiliwa tu...ukiviacha vijitegemee vyenyewe vinakufa

Ila sisi wa div 4 na 3 ndio tunalisha nchi
wap MO29, bakharesa, GSM......NIENDELEEEE
 
Hawanaga ata akili ya uchambuzi na wala hawajui wenye ku-run dunia ni akina nani.

Acha tu waendelee kujilipua na mabomu wakati sisi tunaandaa makao mapya sayari nyingine,tuone km watatufuata uko
Mbona huo Ukristo umeshindwa kuiendeleza africa ambayo imejaa wagaratia kila sememu jibu kwanza hilo swali?
 
Hawanaga ata akili ya uchambuzi na wala hawajui wenye ku-run dunia ni akina nani.

Acha tu waendelee kujilipua na mabomu wakati sisi tunaandaa makao mapya sayari nyingine,tuone km watatufuata uko
😁😁😁😁😁 Ukishindwa kuandaa makao ya hapa ulipopewa kwanza,,,,,,,, Utawezaje kuandaa makao ya upande wa pili?
Yaani ushindwe Kujenga, kupanda miti, kuilima ardhi hapa Duniani, alafu Ujidanganye kwamba hayo utayafanya ukifika sayari ya nyingine!
KUNA HAJA YA KUJITAMBUA. NA KUITAMBUA DUNIA TULIYOMO.
 
Hivyo vichwa vinaandaliwa kuajiliwa tu...ukiviacha vijitegemee vyenyewe vinakufa

Ila sisi wa div 4 na 3 ndio tunalisha nchi
wap MO29, bakharesa, GSM......NIENDELEEEE
Endelea jamaa,,,,,, ila kwa mbele kidogo tu, utagungundua kwamba nao wanasimama kwa HISANI YA WATU WA MAREKANI🤪🤪🤪
 
Ok nitakujibu,Saudia inategemea almost kila kitu kwa mzungu kwa 90%

...Uchimbaji mafuta kuanzia tech. na ulinzi ni US.

...Saudia hawana tech.yao wala viwanda kamili...ni black market kwa wazungu kudamp reject products.

...Ujenzi wa majengo 70% yamejengwa na yanamilikiwa na wazungu ama kwa shareholding au umiliki kamili,kuna usemi kuwa Saudia ni ardhi ya US.

...ulinzi wa viongozi wa Saudia(falme za kiarabu) unatoka USA.

...Kwa ufupi Saudia ni koloni la kisasa la marekani kiuchumi.

NDIO MAANA SAUDIA HAIKO KWENYE G8 OR G12 MAANA INAMILIKIWA NA ''WATHUNGU''
Thank you sana.
 
Hizi shule sio kabisa sio kwa ubaya ila wako based sana kwenye maswala ya dini, lugha ya kiarabu na Qur'an. Mimi nilimhamisha mtoto wa Dada yangu darasa la Nne baada ya kuona anafeli kila mwaka na yeye kulalamika kwaamba ni dini na udini umejaa kule halafu hata walimu wao ni wanafunzi tu wa form 4 na 6
'Mimi nimeishi Zanzibar miaka 7 nilicho kiona kule Zanzibar kuhusu Elimu cha kwanza hawajali Elimu Dunia wao Wana penda madrasa tu na jingine kwa upande wa watoto wakike % 90 Wana penda kuolewa kuliko kusoma mpaka Karne hii bado wanaozesha watoto wadogo kwa kutumia kigezo cha dini
 
Wadigo wenzangu, 99% ni waislamu. Kuna ujumbe wetu kwanini tunapata matokeo mabaya ya mitihani? Mkuje tujibu
 
Back
Top Bottom