Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Msamehe bure..vijana wa sikuhizi..nyege zimewazidia hawana adabu kabisa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm huwa namheshimu mtu anaye jiheshimu yeye kwanza.
Limtu limejaa chuki dhidi ya watz wenzake kisa dini alafu niliheshimu sahau.
Kwa umri alionao alipaswa kuwa mfano kwa vijana kama sisi na sio kushinda humu kukejeri waTz wenzake kisa dini zao.
 
Mbona waislam nao wanatuzidi Wakristo mambo mengi sana tu? Kwa mfano kucheza ngoma, kuoa wake wengi na kuzaa watoto wengi, na pia kusisitiza kusomesha watoto madrasa badala ya ilimu dunia..

Wakristo tunafeli wapi☺
 
Hizi shule sio kabisa sio kwa ubaya ila wako based sana kwenye maswala ya dini, lugha ya kiarabu na Qur'an. Mimi nilimhamisha mtoto wa Dada yangu darasa la Nne baada ya kuona anafeli kila mwaka na yeye kulalamika kwaamba ni dini na udini umejaa kule halafu hata walimu wao ni wanafunzi tu wa form 4 na 6
 
Umuhimu wa elimu haupo kwenye kupata ajira peke yake. Kuna tofauti kubwa kati ya aliyeenda shule na ambae hajaenda.
Tz hakuna tofauti yoyote ya aliyeenda shule na asiyeenda shule, wala hakuna tofauti ya aliye elimika na asiye elimika. Watu wameenda shule hawajui wapi waweke "f" na wapi waweke "l". Shule zinazalisha mafisadi wa kalamu tu
 
Hahaaa, mpeleke feza basi
 
Wala hakuna shida mkuu shule za kiislam ziko ki huduma zaid na kutoa elimu shule zote ulozitaja hapo wanachagua crimu tupu hata wanafunzi wakiwa kumi tu darasan ndio Mana unaweza jiuliza maswali hayo
 
Achana na elimu ya secondary hivi wahitimu wa kile chuo pale Morogoro (MMU) wanaishiaga wapi
Wanakuja uraiani mkuu ndio wanaajiri wacristo nyie si mmekalia tu kuiba serekalini na maufisadi ya kila aina hamuwezi maisha ya uraiani ya kujitegemea
 
Zanzibar matokeo yote wanaongoza kitaifa, unawaonea husuda ndiyo maana unawanyanyapaa.
 
Elimu ahera ni muhimu kuliko elimu dunia
 
Mkuu nyie wenye uelivu na ndio mmekomaa na madaraka tangu uhuru mbona hamtutoi kwenye umasikini Ila nyie mmekalia ufusadi tu na ndio mmetufikisha hapa ukianzia na nyerere mkapa magufuli
 
90% ni hasara boss..
Cheers…
Nchi kubwa za dunia ya kwanza ni Mfumo Kristo hadi sasa sijajua why tunapokezana vijiti vya uongozi na hawa wavaa kobazi..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hii weekend nzuri kwa kufurahi. Napitia michango hapa nacheka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…