Uko sahihi.Mkuu sio fagio tu,kumpeleka mtoto advance ili apokelewe vitu walivyoorodhesha at least uwe na laki nne ndio pesa ya chini kabisa
Laki sita unapeleka shule ya aina Gani hiyo! Isije kua unazungumzia uniform viatu godoro sijui uchafu Gani wa mwanafunziUko sahihi.
Nilikabidhiwa mwanafunzi nimpeleke kwenye hiyo shule mbona nilikiona cha moto.
Mazagazaga yote kuanzia shopping, michango, vifaa zaidi ya laki 6 ilikufa.
Hapa bado nadaiwa Jembe walisema mwezi wa 12 apeleke, ngoja nisubiri kama watafuatilia ila najua ishaisha hivyo
Jumla ya michango inayotakiwa kulipwa Bank na upeleke pay slip ni elfu 80.Heb share hivo vitu vinavyofika laki nne,
Wote tumesoma siku hizi, wew peleka michango mtoto apokelewe, kwa hio unataka vyoo vya mtoto wako visafishwe kwa fagio ya nani?
Wamesikia. Na umeshajulikanaHabari Watanzania,
Nawasalimu kwa jina la muungano..
Nina kero yangu haswa kwa shule za advance wanaopokea kidato cha tano Walimu wakuu wanachukua maamuzi ya kukataa kumpokea Mtoto ikiwa tu hajamaliza michango na vifaa vingine kama vile vya usafi ukiangalia umbali uliotoka na Mtoto ni mbali sana.
Mfano mimi mwanangu kapangiwa Kibaigwa Girls iliyopo Dodoma, Mwalimu mkuu na makamo Mkuu wa shule wamenigomea kumpokea Mtoto kisa nimelipia nusu ya pesa za michango na sijakamilisha vifaa vya usafi ukizingatia nimetokea mkoa wa Mtwara
Sijui cha kufanya, naomba waziri husika kufuatilia hili jambo, wazazi tunashindwa kuwapeleka shule mapema watoto kutokana na hizi changamoti.
Naomba kuwasilisha
🤝
Soma comment namba 45Laki sita unapeleka shule ya aina Gani hiyo! Isije kua unazungumzia uniform viatu godoro sijui uchafu Gani wa mwanafunzi
Type of our leaders iko hivyo mkuu,aliye shiba hamjui mwenye njaa,hawajui hali iko vipi huku chiniUna uhakika wa nini? Uhakika kwenye kipato cha watu wengine?
You are very inconsiderate person.
Ipo hivyo mkuu,yan inabidi kujipanga hasa sio ile elimu bure basi kila kitu atakuta huko shuleni ni tofauti mkuuUko sahihi.
Nilikabidhiwa mwanafunzi nimpeleke kwenye hiyo shule mbona nilikiona cha moto.
Mazagazaga yote kuanzia shopping, michango, vifaa zaidi ya laki 6 ilikufa.
Hapa bado nadaiwa Jembe walisema mwezi wa 12 apeleke, ngoja nisubiri kama watafuatilia ila najua ishaisha hivyo
Nadhani kinacholeta mtanziko hapa ni serikali kuhubiri elimu bure mpaka form 6 halafu pia jamani kuna watanzania bado ni maskini lazima hii hoja ya mkuu ipewe mashikoElimu ya TZ ni rahisi sana, yani unaambiwa fagio tu nalo hutaki kupeleka unalalamika.Tuache ujinga
Mkuu funguka.Mleta uzi sikutetei ila huyo mkuu wa shule kama ni dada mmoja hivi mfupi na amehamia HAPO mwaka juzi basi inawezekana malalamiko yako yana ukweli maana ana kashfa ya upigaji hata huko alikotoka ngoja niishie hapa mamlaka zake zitafwatilia.
Hongera umetoa ufafanuzi vizuri, maana watu humu wanacomment kama wamekatwa vichwa,Jumla ya michango inayotakiwa kulipwa Bank na upeleke pay slip ni elfu 80.
Vifaa unapeleka ukiwa nacho mkononi kama Jembe, Kwanja, Ufagio wa Nje, Mopper, reki, Rimu, ndoo, Godoro, Neti n.k
Then inafuatia Shopping ndio inakula hela ndefu, kumbuka ni watoto wa kike.
Bro si ulipie tu uachane na hizo MamboHabari Watanzania,
Nawasalimu kwa jina la muungano..
Nina kero yangu haswa kwa shule za advance wanaopokea kidato cha tano Walimu wakuu wanachukua maamuzi ya kukataa kumpokea Mtoto ikiwa tu hajamaliza michango na vifaa vingine kama vile vya usafi ukiangalia umbali uliotoka na Mtoto ni mbali sana.
Mfano mimi mwanangu kapangiwa Kibaigwa Girls iliyopo Dodoma, Mwalimu mkuu na makamo Mkuu wa shule wamenigomea kumpokea Mtoto kisa nimelipia nusu ya pesa za michango na sijakamilisha vifaa vya usafi ukizingatia nimetokea mkoa wa Mtwara
Sijui cha kufanya, naomba waziri husika kufuatilia hili jambo, wazazi tunashindwa kuwapeleka shule mapema watoto kutokana na hizi changamoti.
Naomba kuwasilisha
🤝
Unajua nchi zilizoendelea na zenye elimu bora inayoendesha hii dunia, wanafunzi hawafuti hata vumbi katika viti vyako, wachilia kuleta fagio? Elimu (rahisi sana) ni nini kwa mtazamo wako?Elimu ya TZ ni rahisi sana, yani unaambiwa fagio tu nalo hutaki kupeleka unalalamika.Tuache ujinga
Na muda unamsubiri yeye tu au huoni changamoto licha ya kueleza bayana umbali anakotoka hivyo kuna gharama nyingi tu mpaka afike shuleni? Kwa uchumi gani wa MTz wa kawaida?Sasa wewe ukitetewa huoni na Wazazi wengine watapuuzia suala la kukamilisha ada wakitegemea kutetewa? Shule itaendeshwaje?
Kwanini hukuomba ukamilishe ada na kununua vifaa ndio uende?
Hukuwa na mawasiliano ya Mkuu wa shule na makamu wake?
Uongozi wa shule umeshindwa kuweka utaratibu wa malipo kufanyika kwa awamu? Kwa nini wanakataa kumpokea mwanafunzi?Mlipie mwanao,hakuna kitu kizuri kisicho gharama...mbona Watanzania tumekua watu wa kunung'unika sana?huyo mkuu wa shule anafanya kazi kwa mujibu wa taratibu, ulitaka usilipe hiyo Elimu bora itapatikana vipi?kama umepitia mchakato wa Elimu kwa sasa Elimu ni rahisi mno kuliko miaka 2000 kurudi nyuma,...wale waliosoma hiyo miaka ya 2005 kurudi nyuma wanafahamu Wazazi na watoto walivyokua serious...hizo lawama mwanao akisikia utamfanya akate tamaa ya hiyo shule.
Vitabu ni hiyari acha kudanganya watu hapa....pumbavJapo umeniquote kipumbavu ngoja nikujibu tu kistaarabu,mchango wa shule aufiki hata laki 1,vitu anavyotakiwa mtoto kuripoti navyo ndio gharama,vitabu tu vinakaribia laki 2,uniform,nguo za kushindia,godoro,vitendea kazi n.k,japo ni jukumu la mzazi ila uwezo watu wametofautiana sioni haja kuanza kumbully huyo mzazi ambae mwanae amekataliwa kupokelewa