- Thread starter
- #21
Shusha nondo sasa, Tanga imefanya kipi tujuewa Tanga mnatuchukulia poa sana?!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shusha nondo sasa, Tanga imefanya kipi tujuewa Tanga mnatuchukulia poa sana?!?
Hawa washkaji mara nyingi ukiwazingue kwenye korosho lazima wakiwashe.Uchawi ni Lindi na Mtwara rejea kukimbizwa kwa kiongozi wa nchi kwa nguvu ya moshi.
Vyama vya upinzani vingi, viongozi ni wa MoshiTanga wana ujasiri sema labda baadhi ya jamii. Moshi waliandamana wapi mkuu na lini maana
Hawa washkaji mara nyingi ukiwazingue kwenye korosho lazima wakiwashe.
SIo kweli hata lipumba..? Au zitto kabwe..?Vyama vya upinzani vingi, viongozi ni wa Moshi
Vyama vya upinzani vingi, viongozi ni wa MoshiSIo kweli hata lipumba..? Au zitto kabwe..?
Sawa sawa zitto mzee wa ubwabwa lipumba nk huko moshi wapo wawili tu kwa sasaVyama vya upinzani vingi, viongozi ni wa Moshi
Elewa neno "Vingi"
Halafu hio ACT bado kidogo sana, labda kwa upande wa Zanzibar