Shule ya Msingi ya Museveni, Chato: Watoto wa nani watasoma humo?

Shule ya Msingi ya Museveni, Chato: Watoto wa nani watasoma humo?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Shule hii illiyojengwa na Rais wa Uganda ni mingoni mwa shule chache za serikali zitakazotoa mafunzo yake kwa lugha ya Kiingereza sawa na shule za Olympio, Diamond, Oysterbay, nk. Shule hizi ni shule za kulipia ada ndogo kabisa kuliko shule za aina hii za watu binafsi na mashirika ya dini.

Wasiwasi wangu mkubwa ni namna watoto wa watanzania wa kawaida watakavyoweza kupata nafasi kwenye shule hiyo dhidi ya watoto wa viongozi wa Chama na serikali, walimu na wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa kifesha na ushawishi.

Makundi haya ya wenye fedha na vyeo yataacha pia kupeleka watoto wao shule binafsi zenye ada kubwa na kwenda kujaza watoto wao kwenye shule hii.

Kamati ya shule lazima iwe fair kwenye selection ya watoto watakaojiunga na shule hii. Kigezo kiwe ufaulu wa mtoto kwenye mtihani wa kujiunga na shule, isiwe ni mtoto wa nani au ameletwa na nani. Kuna vi memo vingi na rushwa kubwa sana katika kupata nafasi kwenye hizi shule.

Watu wanapiga pesa ndefu kupatia watu nafasi kwa njia ya kujuana, cheo, na nafasi kwenye jamii. Matokeo yake wanasoma watoto wa kundi fulani na kuwaacha watoto wenye uwezo mkubwa kiakili wanaotoka familia zisizo na majina/wanyonge.

Hapo malengo ya Museven yatakuwa bure kabisa.

Museven.jpg
 
Hakuna tajiri atakayemtoa mtoto wake mjini Mwanza au Dar ampeleke kijijini Chato. That is a primitive environment ambayo inaweza kuathiri maisha ya mtoto, kiasi cha yeye kuarithiwa na mazingira yanayomzunguka. Pamoja na mazingira ya shule, mazingira ya jumla yanaweza kumwathiri mtoto.

Ukimsikiliza yule Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, halafu yule awe mwenyekiti wa bodi ya shule au mjumbe wa bodi, unatarajia hiyo shule itakuwaje? Shule siyo majengo pekee.

Hiyo shule haina chochote cha pekee. Haitofautiani na shule nyingi zilizojengwa na kumilikiwa na watanzania. Wala haitafikia hadhi ya shule kama ya Olympio and the like.

Jipe muda, baada ya miaka 3 utajua ipo daraja gani.

Hiyo shule itatoa huduma zaidi kwa wananchi wa Chato. Watafute watu wenye exposure ili zaidi ya kutoa elimu ya darasani, jamii ya shule ibadilishe fikra za jamii, hasa kuhusiana na maisha ya ustaarabu. Yule mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato alinipa picha mbaya sana.
 
Shule hii illiyojengwa na Rais wa Uganda ni mingoni mwa shule chache za serikali zitakazotoa mafunzo yake kwa lugha ya Kiingereza sawa na shule za Olympio, Diamond, Oysterbay, nk. Shule hizi ni shule za kulipia ada ndogo kabisa kuliko shule za aina hii za watu binafsi na mashirika ya dini.

Wasiwasi wangu mkubwa ni namna watoto wa watanzania wa kawaida watakavyoweza kupata nafasi kwenye shule hiyo dhidi ya watoto wa viongozi wa Chama na serikali, walimu na wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa kifesha na ushawishi.

Makundi haya ya wenye fedha na vyeo yataacha pia kupeleka watoto wao shule binafsi zenye ada kubwa na kwenda kujaza watoto wao kwenye shule hii.

Kamati ya shule lazima iwe fair kwenye selection ya watoto watakaojiunga na shule hii. Kigezo kiwe ufaulu wa mtoto kwenye mtihani wa kujiunga na shule, isiwe ni mtoto wa nani au ameletwa na nani. Kuna vi memo vingi na rushwa kubwa sana katika kupata nafasi kwenye hizi shule.

Watu wanapiga pesa ndefu kupatia watu nafasi kwa njia ya kujuana, cheo, na nafasi kwenye jamii. Matokeo yake wanasoma watoto wa kundi fulani na kuwaacha watoto wenye uwezo mkubwa kiakili wanaotoka familia zisizo na majina/wanyonge.

Hapo malengo ya Museven yatakuwa bure kabisa.

Dingi kaguta ametisha sana asee

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna tajiri atakayemtoa mtoto wake mjini Mwanza au Dar ampeleke kijijini Chato. That is a primitive environment ambayo inaweza kuathiri maisha ya mtoto, kiasi cha yeye kuarithiwa na mazingira yanayomzunguka. Pamoja na mazingira ya shule, mazingira ya jumla yanaweza kumwathiri mtoto.

Ukimsikiliza yule Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, halafu yule awe mwenyekiti wa bodi ya shule au mjumbe wa bodi, unatarajia hiyo shule itakuwaje? Shule siyo majengo pekee.

Hiyo shule haina chochote cha pekee. Haitofautiani na shule nyingi zilizojengwa na kumilikiwa na watanzania. Wala haitafikia hadhi ya shule kama ya Olympio and the like.

Jipe muda, baada ya miaka 3 utajua ipo daraja gani.

Hiyo shule itatoa huduma zaidi kwa wananchi wa Chato. Watafute watu wenye exposure ili zaidi ya kutoa elimu ya darasani, jamii ya shule ibadilishe fikra za jamii, hasa kuhusiana na maisha ya ustaarabu. Yule mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato alinipa picha mbaya sana.
Andiko lako limejaa chuki..punguza chuki na ubinafsi havitakusaidia...chuki na umasikini ni ugonjwa mbaya sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Andiko lako limejaa chuki..punguza chuki na ubinafsi havitakusaidia...chuki na umasikini ni ugonjwa mbaya sana.

#MaendeleoHayanaChama

Hakuna chuki yoyote hapo, hujasoma kwa ufahamu tu [kama unao enewei]. Ni shule ya kutwa, kama shule za kata nyingine tu. Lazima itajaa watoto wa vijiji vya jirani tu.
 
Hakuna chuki yoyote hapo, hujasoma kwa ufahamu tu [kama unao enewei]. Ni shule ya kutwa, kama shule za kata nyingine tu. Lazima itajaa watoto wa vijiji vya jirani tu.
Kwahiyo hutaki ifanane kama na mlimani? Kwani huko chato hakuna watu wenye uwezo wa kusomesha watoto katika shule hivyo..unaposema mazingira primitive una maanisha nini? Kwani hao watoto watasomea maporini..kwani watoto wanao somea dsm wote wanafauru masomo yao kisa wapo mjini?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwahiyo hutaki ifanane kama na mlimani? Kwani huko chato hakuna watu wenye uwezo wa kusomesha watoto katika shule hivyo..unaposema mazingira primitive una maanisha nini? Kwani hao watoto watasomea maporini..kwani watoto wanao somea dsm wote wanafauru masomo yao kisa wapo mjini?

#MaendeleoHayanaChama

Bado huja-lay foundation kuhusu hicho ulichokiita chuki na ubinafsi. Shule yoyote ya kutwa itajaa majirani tu, tena kijijini huko hadi darasani watafundisha kwa kilugha.
 
Kwahiyo hutaki ifanane kama na mlimani? Kwani huko chato hakuna watu wenye uwezo wa kusomesha watoto katika shule hivyo..unaposema mazingira primitive una maanisha nini? Kwani hao watoto watasomea maporini..kwani watoto wanao somea dsm wote wanafauru masomo yao kisa wapo mjini?

#MaendeleoHayanaChama
Hatari sn
 
Hakuna tajiri atakayemtoa mtoto wake mjini Mwanza au Dar ampeleke kijijini Chato. That is a primitive environment ambayo inaweza kuathiri maisha ya mtoto, kiasi cha yeye kuarithiwa na mazingira yanayomzunguka. Pamoja na mazingira ya shule, mazingira ya jumla yanaweza kumwathiri mtoto.

Ukimsikiliza yule Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, halafu yule awe mwenyekiti wa bodi ya shule au mjumbe wa bodi, unatarajia hiyo shule itakuwaje? Shule siyo majengo pekee.

Hiyo shule haina chochote cha pekee. Haitofautiani na shule nyingi zilizojengwa na kumilikiwa na watanzania. Wala haitafikia hadhi ya shule kama ya Olympio and the like.

Jipe muda, baada ya miaka 3 utajua ipo daraja gani.

Hiyo shule itatoa huduma zaidi kwa wananchi wa Chato. Watafute watu wenye exposure ili zaidi ya kutoa elimu ya darasani, jamii ya shule ibadilishe fikra za jamii, hasa kuhusiana na maisha ya ustaarabu. Yule mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato alinipa picha mbaya sana.
Hujawahi kusomesha kijana, shule nyingi zipo mbali na miji, mazingira tulivu ya kusoma hupatikana huko, tafuta shule za seminary za katoliki zilipo utakuja kufuta huo uchafu wako.
 
Hujawahi kusomesha kijana, shule nyingi zipo mbali na miji, mazingira tulivu ya kusoma hupatikana huko, tafuta shule za seminary za katoliki zilipo utakuja kufuta huo uchafu wako.
huyo muxxxiu hajawahi somesha hajui maana ya Elimu na wala hajui chochote yawezekana anakaa kwa wazazi wake au kwa mume wa dada ake
 
Back
Top Bottom