kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Shule hii illiyojengwa na Rais wa Uganda ni mingoni mwa shule chache za serikali zitakazotoa mafunzo yake kwa lugha ya Kiingereza sawa na shule za Olympio, Diamond, Oysterbay, nk. Shule hizi ni shule za kulipia ada ndogo kabisa kuliko shule za aina hii za watu binafsi na mashirika ya dini.
Wasiwasi wangu mkubwa ni namna watoto wa watanzania wa kawaida watakavyoweza kupata nafasi kwenye shule hiyo dhidi ya watoto wa viongozi wa Chama na serikali, walimu na wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa kifesha na ushawishi.
Makundi haya ya wenye fedha na vyeo yataacha pia kupeleka watoto wao shule binafsi zenye ada kubwa na kwenda kujaza watoto wao kwenye shule hii.
Kamati ya shule lazima iwe fair kwenye selection ya watoto watakaojiunga na shule hii. Kigezo kiwe ufaulu wa mtoto kwenye mtihani wa kujiunga na shule, isiwe ni mtoto wa nani au ameletwa na nani. Kuna vi memo vingi na rushwa kubwa sana katika kupata nafasi kwenye hizi shule.
Watu wanapiga pesa ndefu kupatia watu nafasi kwa njia ya kujuana, cheo, na nafasi kwenye jamii. Matokeo yake wanasoma watoto wa kundi fulani na kuwaacha watoto wenye uwezo mkubwa kiakili wanaotoka familia zisizo na majina/wanyonge.
Hapo malengo ya Museven yatakuwa bure kabisa.
Wasiwasi wangu mkubwa ni namna watoto wa watanzania wa kawaida watakavyoweza kupata nafasi kwenye shule hiyo dhidi ya watoto wa viongozi wa Chama na serikali, walimu na wafanyabiashara wakubwa wenye uwezo wa kifesha na ushawishi.
Makundi haya ya wenye fedha na vyeo yataacha pia kupeleka watoto wao shule binafsi zenye ada kubwa na kwenda kujaza watoto wao kwenye shule hii.
Kamati ya shule lazima iwe fair kwenye selection ya watoto watakaojiunga na shule hii. Kigezo kiwe ufaulu wa mtoto kwenye mtihani wa kujiunga na shule, isiwe ni mtoto wa nani au ameletwa na nani. Kuna vi memo vingi na rushwa kubwa sana katika kupata nafasi kwenye hizi shule.
Watu wanapiga pesa ndefu kupatia watu nafasi kwa njia ya kujuana, cheo, na nafasi kwenye jamii. Matokeo yake wanasoma watoto wa kundi fulani na kuwaacha watoto wenye uwezo mkubwa kiakili wanaotoka familia zisizo na majina/wanyonge.
Hapo malengo ya Museven yatakuwa bure kabisa.