Shule zangu 3 bora za serikali mkoa wa Dar es Salaam

Shule zangu 3 bora za serikali mkoa wa Dar es Salaam

I ingsaaidiaa sanaaa watoto wapale wana upwiruu balaaaa

Nakumbuka form five na six pugu wakaona hawa majamaa wanakufa na upwiruuuuuru wakatuleteaaa upilii jioni aisee tulipitaga naooo simchezoooo nakufaulu ukaongezekaa
 
Wanapenda mademu sana hawawezi faulu
vizazi vya kufaulu na mademu vilikuwa enzi zetu 1998 hawa ukiwakoroga kidogo mtihani wanaona picha za x
🤣🤣 kwahiyo enzi zenu mlikuwa mnatumia mbinu zipi?? Hadi mnamudu mademu na kufaulu
 
Wale wenzangu na mimi wa Round about, hatuna shida.
Shule yangu hapo ilishaweka rekodi ya kufunga kitasa kitaifa..
Anyway iliniwakilisha vzr,
Mimi mwenyewe nishawahi funga kitasa kitaifa..
Nika trend, Sema tuu sitaki makuu.
Jangwani
 
Habari zenu wadau wa jukwaa la Elimu
Siku ya leo nimeona niwaletee Shule 3 bora za serikali katika mkoa wa Dar es salaam.

Kama ndugu au mtoto wako ikitokea amepangiwa shule ya kata na unataka kumuhamisha nashauri uwapeleke shule hizi

Shule hizi zinaongoza kwa kufanya vizuri katika mitihani mbali mbali ya kitaifa na isiyo ya kitaifa

Shule hizi zimebarikiwa kuwa na walimu bora sana na wazoefu pia na mazingira mazurii ya kujisomeas
shule hizo ni

1.Dar es salaam secondary school
Hii inapatikana mtaa wa sikukuu na Gerezani inapakana na uwanja wa Jakaya M. Kikwete youth park kidongo chekundu

Ni moja kati ya shule ambazo ziko underrated kitaifa lakini in reality ni moja kati ya shule nzuri sanaaa

Ina masomo yote ya sanaa,biashara na sayansi

Shule ni ya kutwa na ni O level peke yake na haiimbwi sana midomoni mwa watu lakini hizo shule kongwe zote za Dar hakuna inayoipata hiyo shule

Kitaaluma wako vizuri pia unaweza fuatilia matokeo yao ya NECTA

Hongera kwa uongozi wa shule husika hongera kwa walimu pia

View attachment 3056959
Dar sec ilikuwa kipindi hicho , siku hizi hakuna kitu.

Si Dar sec ,sio Benja wala Azania.

Zinabebwa na ukongwe wao tu wa majina na ni miongoni mwa shule zinazofanya vibaya sana miaka hii.
 
Dar sec ilikuwa kipindi hicho , siku hizi hakuna kitu.

Si Dar sec ,sio Benja wala Azania.

Zinabebwa na ukongwe wao tu wa majina na ni miongoni mwa shule zinazofanya vibaya sana miaka hii.
Mkuu Dar sec wanazidi kufanya vizuri siku hadi siku ni moja ya shule changa zisizo na majina
Pia sasa hivi wanaletewa watoto wenye average kuanzia B katika mtihani wa Taifa wa darasa la saba licha ya hivo shule inamaintain ufaulu wake

Fuatilia matokeo yao kwa kipindi hiki cha miaka mitano

Benjamin Mkapa sijaitaja
 
Mkuu Dar sec wanazidi kufanya vizuri siku hadi siku ni moja ya shule changa zisizo na majina
Pia sasa hivi wanaletewa watoto wenye average kuanzia B katika mtihani wa Taifa wa darasa la saba licha ya hivo shule inamaintain ufaulu wake

Fuatilia matokeo yao kwa kipindi hiki cha miaka mitano

Benjamin Mkapa sijaitaja
Maneno bila ushahidi mbona huleti matokeo yao ya Necta tuone
 
Mkuu Dar sec wanazidi kufanya vizuri siku hadi siku ni moja ya shule changa zisizo na majina
Pia sasa hivi wanaletewa watoto wenye average kuanzia B katika mtihani wa Taifa wa darasa la saba licha ya hivo shule inamaintain ufaulu wake

Fuatilia matokeo yao kwa kipindi hiki cha miaka mitano

Benjamin Mkapa sijaitaja
DSM Sec inapokea watoto waliofanya vizuri na Wala sio Average,average wanaenda shule za Kata,DSM Sec ni shule Teule
 
Mkuu Dar sec wanazidi kufanya vizuri siku hadi siku ni moja ya shule changa zisizo na majina
Pia sasa hivi wanaletewa watoto wenye average kuanzia B katika mtihani wa Taifa wa darasa la saba licha ya hivo shule inamaintain ufaulu wake

Fuatilia matokeo yao kwa kipin hiki cha miaka mitano

Benjamin Mkapa sijaitaja
Kinachofanyika Dar es salaam sekondary ni kuwafukuza au kuwahamisha wanafunzi wanaofeli.
 
Back
Top Bottom