niquetamere
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 532
- 1,008
Pwani ndo nashangaa ni moja ya mikoa ilikuwa Bomba sana hayo pembe tushazoea🤣🤣🤣Pwani, pemba, Daslam
Naona Tanga na Mtwara angalau wamejikaza
Toa upumbavu wako hapa!! Na udini mshamba mkubwa.TeamMnyaazi ndio nani?
Mwambie mleta uzi mbwiga Wewe!Toa upumbavu wako hapa!! Na udini mshamba mkubwa.
Wapemba na ndugu zenu watu wa Dar na Pwani, mnaona madhara ya kutopenda kusoma na kujikariria vitu visivyo na faida maishani mwenu?Hii ni list ya shule zilizoshika mkia kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022.
Ukiangalia vizuri kuna kitu kiko very common😃
View attachment 2503295
List imetawaliwa na #TeamMnyaazi
Source: Malisa GJ instagram account
Toka hapa mshamba!!Mwambie mleta uzi mbwiga Wewe!
Dini ya hakiTeamMnyaazi ndio nani?
Makasiriko Necta!Toka hapa mshamba!!
😁Pwani, pemba, Daslam
Naona Tanga na Mtwara angalau wamejikaza
Nawaambiaga kila sikuHuku Nyannhembe huzi Kuta ni WA mwsho.Hii ni list ya shule zilizoshika mkia kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022.
Ukiangalia vizuri kuna kitu kiko very common😃
View attachment 2503295
List imetawaliwa na #TeamMnyaazi
Source: Malisa GJ instagram account
Mkuu huwafahamu😂?TeamMnyaazi ndio nani?
Wabishi sana jamaa. HawasikiiWapemba na ndugu zenu watu wa Dar na Pwani, mnaona madhara ya kutopenda kusoma na kujikariria vitu visivyo na faida maishani mwenu?