Shule zilizoshika mkia matokeo ya Kidato cha Nne 2022

Shule zilizoshika mkia matokeo ya Kidato cha Nne 2022

Hili sio Jambo la kulifumbia macho.
Wizara ya elimu kaeni na Tamisemi, takukuruu, viongozi wa dini na walimu.
Somebody katika hayo makundi Kuna kitu anajua Ila anaona aibu kusema hadharani.
 
Pwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa

Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
Umesahau mnajua na kuchambia maji yani kuosha matako kwa maji hili ni la muhimu na la kujivunia sana katika yote kuwazidi watu wa bara,😂😂😂
 
Pwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa

Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
Ukweli mtupu
 
72F79510-6C06-4AE1-8A16-2E5119C47D8B.jpeg.jpg

Namba 5184 S4047 wanashindanishwa sambamba na wanaosikia
By the way hilo jina ni kama linaakisi vitu kwanini lisitafutwe jina jingine lenye kuwafariji hao wanafunzi,
 
Pwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa

Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
Hata mabasi ya Usafiri Bara na Visiwani 90% yanamilikiwa na Waarabu wa Pemba na Pwani
 
Back
Top Bottom