Shule zilizoshika mkia matokeo ya Kidato cha Nne 2022

Shule zilizoshika mkia matokeo ya Kidato cha Nne 2022

Pwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa

Uchumi wa nchi hii ungekuwa ICU kama sio marais na wafanyabishara kutoka mikoa ya Pwani
Kuanzia Mwinyi aliyefungua nchi iliyokuwa imekabwa na ujamaa wa Nyerere

Mkapa aliyefanya ubinafsishaji wa makampuni yaloyokuwa yanaitia hasara serikali na kuleta uwekezaji mkubwa nchini

Kikwete aliyezidi kuifungua nchi, kukuza uhuru uchumi na watanzania wengi kuwa na furaha

Samia ambaye hadi wapinzani wamekiri anaupiga mwingi

Usishau akina Bakhressa, Turky na top 50 yote ya matajiri wa Tanzania ni asili ya ukanda wa Pwani

Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
350BC4D8-93B3-4B3A-926D-D300E0B85F51.jpeg
 
Pwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa

Uchumi wa nchi hii ungekuwa ICU kama sio marais na wafanyabishara kutoka mikoa ya Pwani
Kuanzia Mwinyi aliyefungua nchi iliyokuwa imekabwa na ujamaa wa Nyerere

Mkapa aliyefanya ubinafsishaji wa makampuni yaloyokuwa yanaitia hasara serikali na kuleta uwekezaji mkubwa nchini

Kikwete aliyezidi kuifungua nchi, kukuza uhuru uchumi na watanzania wengi kuwa na furaha

Samia ambaye hadi wapinzani wamekiri anaupiga mwingi

Usishau akina Bakhressa, Turky na top 50 yote ya matajiri wa Tanzania ni asili ya ukanda wa Pwani

Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
Wewe ni mfia dini? Ndio maana huna akili
 
Uio Jambo la kulifumbia macho.k
Wizara ya elimu kaeni na Tamisemi, takukuruu, viongozi wa dini na walimu.
Somebody katika hayo makundi Kuna kitu anajua Ila anaona aibu kusema hadharani.
Ukienda Arusha huko,walimu wa SoMo moja wamezidi idadi inayohitajika,pwani walimu hakuna
 
Back
Top Bottom