niquetamere
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 532
- 1,008
- Thread starter
-
- #21
Maisha yapi?Pwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
Hayo hayo unayojuaMaisha yapi?
Huko unguja na pemba watu wamewekeza kwenye elimu ya dini sio elimu duniaHili sio Jambo la kulifumbia macho.
Wizara ya elimu kaeni na Tamisemi, takukuruu, viongozi wa dini na walimu.
Somebody katika hayo makundi Kuna kitu anajua Ila anaona aibu kusema hadharani.
Achaga ujinga usitaje dini yetu wataje hao hao waliofeli.Makasiriko Necta!
Dini yenu ipi?!!!Achaga ujinga usitaje dini yetu wataje hao hao waliofeli.
Sidhani Kama elimu ya dini inaathiri elimu nyingine. Wengi wa watu wazuri kwenye dini ya kiislamu Ni bright na hufanya vizuri darasani.Huko unguja na pemba watu wamewekeza kwenye elimu ya dini sio elimu dunia
Kafiri tulia!!Dini yenu ipi?!!!
Kafir ni muislamu asiyeshika mafundisho ya Mtume Muhammad SAWKafiri tulia!!
Mitoto yote ya Dar mipanya road huko pemba ndio mivivu wao wape tu kitabu cha kiarabu wakariri aya wasizozielewa.Wapemba na ndugu zenu watu wa Dar na Pwani, mnaona madhara ya kutopenda kusoma na kujikariria vitu visivyo na faida maishani mwenu?
Ona sasa unavyojibana John kiruu.Kafir ni muislamu asiyeshika mafundisho ya Mtume Muhammad SAW
Wewe ni mfano sahihi kabisa
Kafir siyo MpaganiOna sasa unavyojibana John kiruu.
Umesahau mnajua na kuchambia maji yani kuosha matako kwa maji hili ni la muhimu na la kujivunia sana katika yote kuwazidi watu wa bara,πππPwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
Ukila wakati wa mfungo bakora za nguvu hadharaniPEMBA NA PWANI (ZA SERIKALI)
TUANZIE HAPA, KUNA NINI?
WATU WA HUKU WANAKULA NINI?
PWANI KUNA VIGODORO PEMBA JE?
Ukweli mtupuPwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha
Ni wewe !!Kafir siyo Mpagani
Hata mabasi ya Usafiri Bara na Visiwani 90% yanamilikiwa na Waarabu wa Pemba na PwaniPwani, Dar na Zanzibar ndio tunao run hii nchi
Marais, mabilionea, wakubwa ndio wametokea hiyo mikoa
Mtatucheka ila ukweli ndio huo, nyie fauluni kwenye mashule sisi tunafaulu kwenye maisha