Shule zilizoshika mkia matokeo ya Kidato cha Nne 2022

Shule zilizoshika mkia matokeo ya Kidato cha Nne 2022

Sehem zote wanaishi dini mchanganyiko,na wasio na dini.Tumia maarifa
We nae acha kujifanya una akili sana. Hilo liko obvious. Kwan ukiambiwa nchi za kiislamu maana yake wote ni waislamu? Au unahisi wote walio vatican ni roman catholic? Acha ujinga. Stop pointing the obvious
 
Udini utakupeleka wapi wewe..

Hukupaswa kuonesha hisia zako za chuki dhidi ya imani isiyo kuhusu.

Ukifanya yanayo kuhusu utaishi kwa amani.

Ni shule ngapi za kiislamu zimefanya vizuri....

Kuna shule ngapi za kiislamu na asilima ya kufanya vizuri au vibaya...?

Kuna shule ngapi za kikristo...na asilimia za kufanya vizuri au vibaya..?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona sijaona aliponyesha udini? Kuna dini yoyote hapo imetajwa?
 
Naskitika sana na hii post. Hivi kweli unaeza fananisha kikwete,baresa,samia,mkapa,mwinyi na mwanae na hawa watoto wa mbagara,tabat,chanika,bagamoyo,kusini unguja na vijibweni ambao wenyewe miaka kumi tu wameshaweka vijiti vya kuzuia mimba?

Yaani unawezaje kujisifia kwamba unaishi karibu na matajiri wakati kula yako tu ni ya shida?

Yaani ni sawa na mimi kama mtanzania nione ufahari mo dewij kuwa namba moja kwa utajiri Afrika mashariki na kati.
Niliwahi kwenda zenj, kule kila mtu anaamini bakhressa ni ndugu yake. Alafu hao watu wenyewe sasa hata kula tu tabu
 
Mbona sijaona aliponyesha udini? Kuna dini yoyote hapo imetajwa?
Kuna code huwa zinatumika.

Mfano wazee wa makobazi
Wazee wa "Mnyaazi"
wakiwa wanamaanisha Mwenyezi Mungu

Angalia hapa..

IMG_20230202_172334.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mbona umemsahau jiwe?
S
Naskitika sana na hii post. Hivi kweli unaeza fananisha kikwete,baresa,samia,mkapa,mwinyi na mwanae na hawa watoto wa mbagara,tabat,chanika,bagamoyo,kusini unguja na vijibweni ambao wenyewe miaka kumi tu wameshaweka vijiti vya kuzuia mimba?

Yaani unawezaje kujisifia kwamba unaishi karibu na matajiri wakati kula yako tu ni ya shida?

Yaani ni sawa na mimi kama mtanzania nione ufahari mo dewij kuwa namba moja kwa utajiri Afrika mashariki na kati.
Hivi Kati ya Geita ambako mtoto wa miaka 15 unakuta kaolewa na Ana watoto 2 na Zanzibar ni wapi Kuna afadhali ya maisha? Au kule Mara mabinti wanafariki kwa kutokwa damu nyingi wakati wanapokeketwa ?
Au Longido wanapokunywa maji kwenye shimo moja na ng'ombe
Hebu kaangalie viwango vya umasikini Kila mkoa ujionee
 
Ukuta Hauna maana yoyote kwenye dini yangu

Ila wewe ibada ya jiwe ukiwa huna nguo za ndani ni muhimu na inamaana kubwa kwenye dini yako
Hata kitabu si kinatokea huko ule ndo ukristo ..wewe unafuata wazungu wanaomsapot ushoga😂
 
Back
Top Bottom