Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

...ha hahahaha, anko, kuna tofauti ya mshika mapembe na mkamuaji, kwa sisi wafugaji tunaelewa na kuelewana
Eti binamu huyu kuna haja ya kumnywea bia ili tumuoneshe tofauti kati ya mke wa mtu na vimada wa mjini ??

Nakusikiliza wewe binamu?
 
Baba D jaman we ndio mume nimemuuliza ataweza kuwa mume wa pili
Hivi huyu si mwanaume wa dar ??
Anyway dear unajua ninavokuhamuu [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
mmmh...mkurya anataka kuelekezwa kibra![emoji2] [emoji2]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] chit chat bana ama kweli ni chit
Lee umetema mzigo nini
 
Reactions: Lee
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…