Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Lyrics matata sana hizi....unamfaa sana bwana Gent [emoji1][emoji1]
 
Hongera sana mkuu GENTAMYCINE.Nakupongeza kwa kufunguka na kuthubutu pia.
Nakuombea ufanikiwe kwa dhamira ya kuingia madhabahuni na shemeji yetu mtarajiwa "SHUNIE" na siyo ku-sex tu(hapo sipo).
Big Up.
 
Heshima kwa shemeji Shunie Hongera kwa kupata dume kutoka mara...
 
Hongera sana mkuu GENTAMYCINE.Nakupongeza kwa kufunguka na kuthubutu pia.
Nakuombea ufanikiwe kwa dhamira ya kuingia madhabahuni na shemeji yetu mtarajiwa "SHUNIE" na siyo ku-sex tu(hapo sipo).
Big Up.
Ushauri mzuri asee, naamini hana lengo hilo tofauti na bwana GuDume mzee wa totoz [emoji1][emoji1][emoji1][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…