Si kwa ajili ya ubaguzi, bali namshauri Rais Samia aepuke kufanya maamuzi makubwa ya muda mrefu yanayohusu upande wa Tanzania bara peke yake

..Suluhisho ni muungano wa serikali 3.
Kuwe serikali tatu.
Yaani kuwe na federal government itakayo fanya mambo ya serikali kuu ya jamhuri ya muungano na kuwe pia na serikali mbili za ziada za States.
Yaani Tanganyika State na Zanzibar State.
Hapa Tanganyika kwa sasa tunatawaliwa na mzanzibari wakati Zanzibar hairuhusiwi kutawaliwa na mtanganyika.
 
Mimi nafikiri wa kulaumiwa ni nyerere aliyewaponza zanzibar kwa kuwaamulia kujiunga na tanganyika na pia kuwaamulia Tanganyika kuungana na zanzibar kwa mihemko na maslahi ya zanzibar zaidi kuliko tanganyika,
Yote kwa yote, nadhani suluhu la yote haya ni kuuvunja tu huu muungano, full stop,
Anayetaka kuishi huku atakuwa mtanganyika na atakaetaka kuishi kule atakuwa mla urojo, basi shughuli imeisha
 
Linatekelezeka kwa kuirudisha nchi ya Tanganyika.
Kwanini iwe dhambi kuirudisha hiyo nchi?
 
Tanganyika haihitaji Zanzibar! kuna athari gani Tanganyika ikiwa Zanzibar wataondoka katika muungano!
Hakuna jambo wazanzibari wanalisubiria kwa hamu kama kutoka ndani ya muungano, tatizo tu ni kwamba kwanini watanganyika tunalazimisha? Hapo tu ndio shida, kama ni hasara tanganyika inapata sana ila sisi ndio tunalazimisha muungano, kwanini lakini?
 
Shida kubwa sio maamuzi ya Honorable causa,bali Watanganyika tunasalitiwa na Watanganyika wenzetu,hivyo adui yetu ni Watanganyika wenye uroho wa madaraka.
 
Maza hayupo ajili ya bara yupo ajili ya zenji, lazima apite mnada mali za wajinga kwanza
 
Mmeisha anza kusaga kunguni baada ya kina marope kusafishwa?
 
Hakuna jambo wazanzibari wanalisubiria kwa hamu kama kutoka ndani ya muungano, tatizo tu ni kwamba kwanini watanganyika tunalazimisha? Hapo tu ndio shida, kama ni hasara tanganyika inapata sana ila sisi ndio tunalazimisha muungano, kwanini lakini?

..sasa hivi wanaolazimisha ni Wazanzibari.

..Wazanzibari ndio wameshika hatamu za Uraisi wa muungano, na Uraisi wa Zanzibar, kwa hiyo wana fursa ya kipekee kurekebisha au kuvunja muungano.

..Tatizo Mama Abduli amevutiwa mno na mali anazovuna toka Tanganyika.
 
Ni wasanii haswa, Zanzibar wanautaka muungano 100% sababu hawezi kupata nchi nyingine ya wajinga kama bara, huku wapo huru kwa lolote kufanya, nenda wewe sasa ukaonyeshwe kazi.
Ukitaka kujua Zanzibar ni watu wa aina gani, subiri awamu ya Samia iishe, utaona kelele za kero za muungano na tuvunje muungano zitakavyoongezeka!
 
Hakuna jambo wazanzibari wanalisubiria kwa hamu kama kutoka ndani ya muungano, tatizo tu ni kwamba kwanini watanganyika tunalazimisha? Hapo tu ndio shida, kama ni hasara tanganyika inapata sana ila sisi ndio tunalazimisha muungano, kwanini lakini?
Siyo Watanganyika ni CCM na Wabunge wa CCM pamoja na VIongozi wa Serikali wasioijali mama Tanganyika.

Nakuhakikishia kama kuna kitu kinawatia hofu Wazanzibar ni kuvunjika Muungano.
Usiwasikilize akina '' wa Oman koko'

Wana uwezo wa kuvunja muungano, hawana hawana uthubutu au ubavu wala pumzi
 
Kwanini hutaki kukubali ukweli kwamba watanganyika ndio wanafosi muungano?
Unajua wale kule zenji walianzisha hata harakati za uamsho kudai Zanzibar yao na waliishia wapi?
Acha masihara kwenye mambo makubwa bwashee
 
Wazenji hawautaki muungano ila hawajui wanauvunjeje?
Watanganyika kwanini wanafosi muungano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…