Tweet ya Magu inakuhusu nn Bavicha wewe?
Bado unatumia VPN dada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tweet ya Magu inakuhusu nn Bavicha wewe?
Ndugu yangu ,nimepitia uzi zako. Nadhani unahitaji msaada maalum wa kiafya. Jaribu kuwatembelea wataalam wa kisaikolojia mapema uwezavyo.Umeshindwa kujibu hoja yangu anaingia kwenye matusi.
huyu jamaa keshavurugwa na uchaguzi,akikujibu salamu ntafute nikuozeshe dadangu buree.Kamanda salama lakini?
Huyu jamaa niwa kuchungwa sana anaweza kujidhuru muda wowoteWe unawaza Twitter tu muda wote!
We utakufa kwa presha kabla ya 2025.
jibu ni rahisi, Chama ni kikubwa kuliko individuals katika jambo kubwa la kitaifa. Wewe hauoni, Ndugu Camilius alivyopotea kisiasa!?Magu mwenyewe vipi?Kumbuka naongelea hao individuals ,hilo la chama tunalitarajia kwahiyo sio ajabu.
Wakitweet majimbo mliyoshinda yanaweza kuongezeka?Mimi naongelea tweet ya Magu wao wananiletea tweet ya chama.
Wao hawaongozi wa mitandano, wasubiri wakavyowasiliana na wananchi wao kwa njia ambazo ni relevant kjwa watanzania wengi.Kama nilivyosema katika uzi wangu wa asubuhi ya leo,mpaka muda huu viongozi hawa wako kimya kabisa licha ya Magufuli kutangazwa mshindi wa kitu cha urais.
Inawezekana chama kinajiandaa kutoa tamko rasmi wakati wowote ule, ila bado nilitarajia kutokana na furaha ya ushindi, mmoja wa viongozi hawa angeshasema lolote kupitia mitandao na hasa mtandao wa Twitter kuhusu ushindi huu wa asilimia zaidi ya 80 ila cha ajabu wako kimya kabisa.
Ni vijana wao wa mitandaoni tu wakiwemo kina Pascal Mayalla ndio wanaojikakamua kusherekea na kusifu na kukejeli wapinzani ila wenye chama mpaka sasa kimya utadhani wao ndio wametangazwa kushindwa.
Anyway,labda nao wao hawana access na internet ndio maana wako kimya.
All in all, hii ni dalili kuwa hata wenyewe hawana raha na matokeo haya na huenda hawakutarajia mambo yangeenda yalivyoenda.
Tunawasubiri mjikaze kutoa taarifa ya ushindi na kupongezana.Nasubiri tweet ya Mwenyekiti (Mgombea)na Polepole.
Mzee kaibaHiki chama kinatumia VPN ya Beberu kufika twitter.
Udumu Beberu baba.
Nimeona jinsi Hussein Bashe alivyoshambuliwa twitter jioni hii.Hakika kuna chuki kubwa sana imejengeka.Kwa hili nadhani wapo sahihi kabisa na ni busara wakiendelea kukaa kimya
Kauli yoyote inatonyesha vidonda vibichi vinavyovyuja damu, vidonda vya chuki na aibu
Salary Slip waache watulie , usiwaite wakaja kucheza ngoma katika huzuni!
JokaKuu Pascal Mayalla (kada) , Mag3
Kama nilivyosema katika uzi wangu wa asubuhi ya leo,mpaka muda huu viongozi hawa wako kimya kabisa licha ya Magufuli kutangazwa mshindi wa kitu cha urais.
Inawezekana chama kinajiandaa kutoa tamko rasmi wakati wowote ule, ila bado nilitarajia kutokana na furaha ya ushindi, mmoja wa viongozi hawa angeshasema lolote kupitia mitandao na hasa mtandao wa Twitter kuhusu ushindi huu wa asilimia zaidi ya 80 ila cha ajabu wako kimya kabisa.
Ni vijana wao wa mitandaoni tu wakiwemo kina Pascal Mayalla ndio wanaojikakamua kusherekea na kusifu na kukejeli wapinzani ila wenye chama mpaka sasa kimya utadhani wao ndio wametangazwa kushindwa.
Anyway,labda nao wao hawana access na internet ndio maana wako kimya.
All in all, hii ni dalili kuwa hata wenyewe hawana raha na matokeo haya na huenda hawakutarajia mambo yangeenda yalivyoenda.
Tunawasubiri mjikaze kutoa taarifa ya ushindi na kupongezana.Nasubiri tweet ya Mwenyekiti (Mgombea)na Polepole.