Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

kwahiyo mashupaza shiko wataumia vibaya πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜„
 
Kama jamaa alikua anabaka, basi lawama tumpe shetani, kwa akili ya kibinadamu jambo hilo halitamaniki.

wewe unaweza kutamani kitoto kidogo hata hakijabalee
 
Mahusiano huwa yanaendeshwa na AKILI

Na maisha huwa yanaendeshwa na elimu ya kujitambua 'sense of who you are'

Ukiangalia kwa umakini ndoa halijawahi kuwa tatizo Ila watu ndo tatizo .

Hivyo linapokuja swala la ndoa kati ya mke na mme watu wengi huacha kuishi kwa kutumia AKILI bali huishi kwa mazoea .

Mwanamke au mwanaume wote haijalishi wanasali ,wana hofu ya Mungu kiasi gani wote hawa huwa wana dark side na light side.


Sasa wanaume huwa wanakosea wanapojaribu kuishi na mwanamke kwa mazoea .mfano unaweza kumuona mke wako ktk light side tu Una-mcheat anakaa kimya

Ila siku upande wake wa giza ukionekana ambao huitwa dark side anaamua kukuingiza gerezani au kukuua au kuvunja ndoa n.k


Mwanamke au ndoa sio tatizo Ila tatizo ni pale unapojaribu kutumia udhaifu wa MTU kujipatia faida lazima uumizwe Sana.


Tukijifunza dark side and light side tutaweza kuelewa namna bora ya kuwa na mahusiano imara.

MTU mpole au unayemuona dhaifu siku ukimkuta ktk dark side anaweza kukuua ,kuharibu future yako n.k endapo kiwango chake cha uvimilivu kikifika mwisho.
 

Mtoa mada kanishangaza sana,yaani anaona ni sawa kwa huyo binti kubakwa(hata kama walikua wapenzi binti ni chini ya miaka 18 anahesabika kama minor hana maamuzi sahihi).
 
huenda huyo DED kasingiziwa na mke wake.
huenda ndoa yao haiukuwa na maelewano.

nakumbuka sakata la Mbasha alifunguliwa kesi ya kubaka lkn hatimaye .......kila kitu kolijulikana.
 
Uovu hapa hapa kutendewa unatakiwa kuelekezwa kwa binti sio huyo mwanamke.

Kama kaamua kuhandle mambo kwa hisia ndio hivyo tena mume kazi imefika tamati na kesi ndip hiyo,itachoma pesa nyingi tu,si ajabu akapigwa chini jamaa akaamua kuhamia kwa beki tatu kabisa.
 
Kwahiyo DED

Umeandika mawazo yangu, nashukuru nimepitia kwanza kabla sijaandika maana umesema kila kitu.
Hii post imekupa heshima yangu.
Swali:- Nani kasema DED kabaka?
Jibu:- Ni mkewe.

Soma tena point yangu ya 3

HAKUNA UBAKAJI WOWOTEEE, mwanamke katafuta pa kumpatia mumewe na kapapata..!!!!

#YNWA
 
Hela mnazo, si mkatafute makahaba wenzenu huko nje; ukaharibu maisha ya binti wa watu, kisa kimshahara chako cha 50k?? Apandacho mtu; ndicho atakachovuna
Hii ndio point.
Mwanaume mwenye hela anabakaje?

Mkewe aache useng* na braza wetu DED.

Mke mpumbavu.

#YNWA
 
Jitu zima kutembea na mtoto wa miaka 16 ni ubakaji,linastahili kuwa jela saa hizi,acha kutetea upumbavu,team kataa ndoa hatusapoti ubakaji na ushenzi huu.
Hakuna ubakaji uliotokea.
Mkewe kaona apitie hapa ili kumkandamiza mumewe.

Mkiambiwa msioe, makelele mengii NGOJA YAWAKUTE.

#YNWA
 
Hakuna RAPE iliyotokea.

Muache KUOA VICHAAA

Watawaua.

#YNWA
 
We kiazi wacha kushabikia uzinzi pumbavu! Kwa huo mbichwa wako si ajabu unaweza kumbaka hata mama yako na ukaona ni sawa.
We kiazi Wacha kushabikia upumbavu, mpumbavu wewe!
Nani kakwambia kabaka?

Mnaoa wanawake, haohao ndio wanawasingizia kesi za ubakaji, mbwa nyie.

Endeleeni kuoa ili mfe woteeee

#YNWA
 
Mtoa mada kanishangaza sana,yaani anaona ni sawa kwa huyo binti kubakwa(hata kama walikua wapenzi binti ni chini ya miaka 18 anahesabika kama minor hana maamuzi sahihi).
Hakuna ubakaji wowotee uliotokea.
Hii mi mission ya MKE kumuangamiza mume.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…