KAMA NA WEWE NI KAMA MIMI HUNA MPANGO NA NDOA SHIKA KICHWA SHIKA KICHWA.. in nay wa mitego's voice..wakataa ndoa wasikilizwe
Ha haaa bibi harusi kapendeza
Very very singleTupo, vipi upo single
Me tooVery very single
Yule polisi ana mke na watotoKijana (ME) kama unakataa KUOA; maana yake unataka KUOLEWA!
Mentor wenu ni Police wa Zanzibar.
Wajinga hawajawahi kukosekana.. We nenda kwa mwamposa au Zumaradi utaelewa ninachokuambia.. [emoji23][emoji23][emoji23]Waoaji bado wapo
Sawa lakini waoaji bado wapo..ukweli utabaki pale pale. Lazima mchapiwe...kibao kimewageukia maana mlifanya cheating ni halali kwa mwanaume.Wajinga hawajawahi kukosekana.. We nenda kwa mwamposa au Zumaradi utaelewa ninachokuambia.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume mwenye akili timamu kipindi hiki sio cha kuoa
Utagongewa kwa mwaka sio chini ya wanaume kumi
Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
Tuanze kutafuta wasimamizi wa harusi sasaπ π ππ π π mwaka usiishe
Yule police kaoa kama weweKijana (ME) kama unakataa KUOA; maana yake unataka KUOLEWA!
Mentor wenu ni Police wa Zanzibar.
Swala dogo sana hiloTuanze kutafuta wasimamizi wa harusi sasaπ π π
Mungu wanguHa haaa bibi harusi kapendeza
Ukiwapata nijulishe ASAP πSwala dogo sana hilo
[emoji419][emoji419][emoji419]NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
TOKOMEZA NDOA
Unateseka unajenga kwa kujibana, takataka mmoja inakuja ku split asset yako kiulaini kabisa
HAWASIKII HAWA WAACHA WAPIGWE HUKO
NAKAZIA , TUKATAE BIASHARA YA UTUMWA[emoji419][emoji419][emoji419]
TOKOMEZA NDOA
NDOA NI BIASHARA