Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

BIla kujali mahubiri yako. Wanaume wataoa, Wanawake wataolewa, ndoa zitadumu, ndoa zitavunjika, wasiotaka kuoa watakuwepo, wasiotaka kuolewa watakuwepo. Dunia itaendelea kujizungusha kwenye mhimili wake.

Dunia huzunguka tu Haijalishi yanayojiri juu yake.

#YNWA
 
Reactions: Tsh
NDOA NI UTAPELI

KATAA NDOA

TOKOMEZA NDOA


Unateseka unajenga kwa kujibana, takataka mmoja inakuja ku split asset yako kiulaini kabisa

HAWASIKII HAWA WAACHA WAPIGWE HUKO
Asante KATIBU.

#YNWA
 

""Kumbe mwenzako alikua ana target mali zako. Anakufanyia visa mnaachana, mnagawana pasu kwa pasu unamuachia mjengo ambao anakuja kukaa na bwana ake wa ndoto zake. Bladifakeni!!!!""

Much bladifakeni.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…