Hahaaa nini hiki?Mi.i naogopa hapa kusije kukawa na mchezo wa paka na na panya ikawa jeshi na serekali wanajiandaa akafu na hawa wengine wanaahirisha wanapeleka mbele halafu tukawa kwenye tension kwa muda mrefu .na tukashi dwa kufanya kazi
Asijaribiwe kwani yeye MunguUkute atasisitiza Asijaribiwe!
Ukuanzae mmalize, Chadema mmeanza acha Magufuli amalizeHabari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.
Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.
Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.
#UKUTA for Democracy!
Kwa maneno mengine, anatangaza hali ya hatari?
So watanzania tusiende kwenye shughuli zetu za uzalishaji mali?
Tanzania ya viwanda inafikiwa mapema iwezekanavyo.
Magufuli anacheza ngoma ya wapinzani.
Ana 'divert' from his main course.
Siasa uchwara za maji taka kamwe hazitaruhusiwa milele. Mikutano ya siasa safi inayofuata kanuni, taratibu na sheria za nchi hazijawahi kuzuiwa. Wewe ulishaona wapi siasa za kumwita rais aliyechaguliwa na majority, hao minority walioshindwa wanamuita uchwara na kuandamana nchi nzima wakimwita hivyo. Kama si upunguani ni nini? Lazima cha mtema kuni wakionje angalao kidogo ili waone kautamu kake.Hili linahitaji busara zaidi mkulu si vinginevyo! Onyesha utu wako ruhusu mikutano ya kisiasa iendelee, TUTAPONA!
Kweli mkuuThe greatest fear is when you fear the unknown.
Akihutubia hiyo tarehe 31 basi ujue anawaogopa ye awaache tu aone kama wataandamana.
Ila pia polisi wamechoka mwezi mzima mazoezi ya kumkabili usiemjua inasikitisha sana!!!
Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.
Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.
Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.
#UKUTA for Democracy!
Kama hiviUkute atasisitiza Asijaribiwe!
HahahahaOk,we are ready for that
Chadema wako vizuri sana subiri utaona kitakachotokeaKwa MTU mwenye akili yake anajua kwamba Magufuli na polisi watajitokeza kwa nguvu zote kuzuia maandamano na mikutano hiyo. Hilo linajulikana.
Lakini Chadema kama chama cha siasa kinatakiwa kuwa makini na mipango yake. Haya matamko ya wanasiasa kama ya Magufuli ni kawaida kwa kipindi cha kudai haki.
Waendelee tu kumdanganya. Lakini mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe. Na hata hivyo hata akiamuru majeshi yote hakuna askari wa kutosha kuzingira ofisi "zote"! Ajifunze kwa Samuel Doe, Muamar Ghadafi, Siad Bare, na wengineo. Watu hawatishwi na majeshi. Na hata humo kwenye majeshi wapo watakaojiunga na wananchi hali itakapofikia kilele. Iko hivyo duniani kote.Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.
Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na .
#UKUTA for Democracy!