Tetesi: Si shwari, rais Magufuli kutangaza mazito August 31 siku moja kabla ya UKUTA

Baada ya kukaa na kutumia akili zote ukaleta utumbo huu dr akili
 
Hata kama wapinzani hawataandamana lakini wangalau taifa limetambua kwamba kuna mahali rais anaenda mrama. Na kwa kwa mtazamo mpana hata yeye itabidi aitii katiba kwani alidhani anaweza kuifuata kwa jinsi apendavyo. Pia hali hii itamfanya awe makini zaidi na kuhakikisha hayo maendeleo anayoyahubiri ni lazima ayatekeleze ili kuwanyamazisha wapinzani wake maana kinyume na hapo ajue atapingwa mpaka achanganyikiwe. Ajue kama aliahidi viwanda bila kuwa na mkakati basi aandae jeshi la kutosha kwani upinzani atakaokutana nao hatokaa asahau maishani mwake.
 
The greatest fear is when you fear the unknown.
Akihutubia hiyo tarehe 31 basi ujue anawaogopa ye awaache tu aone kama wataandamana.
Ila pia polisi wamechoka mwezi mzima mazoezi ya kumkabili usiemjua inasikitisha sana!!!
Kama mkuu wa nchi kutoa angalizo kwa unaowaongoza ni jambo jema
 
Nguvu kubwa ya nini sasa? Kwani anapambana na jeshi la nchi nyingine?mbona muheshimiwa anafanya kaz nyepesi iwe ngumu? Unapambana na waandamanaji wasio na siraha sasa nguvu kubwa ya nini?
Kwani akiwaruhusu waandamane kama taifa tutapata madhara gani? Haya mambo ni yakawaida sana lakini naona mfumo wa kiutawala una complicate mambo tu.
 
Very simple kuandika humu ukijishashadua kuwa utaandamana nenda ujipime na nguvu ya dola
 
Naamini vibweka hivi tarehe 01/9 ndo final, Kati ya ukiwa na Magufuli Nani ataibuka kidedea, tusubiri.
 
Upumbavu wake peleka Lumumba taahira wewe siyo humu.

Very simple kuandika humu ukijishashadua kuwa utaandamana nenda ujipime na nguvu ya dola
 
Hapa tupo watu tutakaotumia mbonu ya kunguru kuishi maisha malefu
 
Nasikia sare za ccm zinanunuliwa kama njugu kwa sasa!!
 
Yet another package of EMPTY THREATS, as usual?

Certainly, the police force will have at least conducted enough drills to keep or bring its officers in shape!
 
Tayari kuna mpango wa kuwakamata viongozi wa Chadema tarehe 27 mwezi huu lakini walishatonywa kwa hiyo wamejiandaa.
 


UKUTA` DUMEZIMA UNANG'ANG'ANIA WA NINI?????
 
Tayari kuna mpango wa kuwakamata viongozi wa Chadema tarehe 27 mwezi huu lakini walishatonywa kwa hiyo wamejiandaa.
Ha ha haa!..hawa jamaa wa Chadema hua wanapatia wapi Intelegensia yao?hua nawakubali sana.kweli hichi ndio chama cha upinzani tz
 
AC
HA KUWATISHA WATU WEWE BAK! Huna lolote zaidi ya kunyea ndoo...baada ya maneno yako machafu kumtukana Mheshimiwa Rais...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…