Si upungufu wa nguvu za kiume tu umekuwa tatizo hata uwezo wa wanaume kuzalisha unapungua

Si upungufu wa nguvu za kiume tu umekuwa tatizo hata uwezo wa wanaume kuzalisha unapungua

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Unakuta ni familia yenye uwezo, lakini watoto wao wa kiume hawana uwezo wa kupata watoto. Katika maendeleo ya mwanadamu, kilichosabisha ustaarabu wa kuoana na kuanzisha familia ilikua ni utaratibu wa kurithi mali. Binadamu alipoanza kumiliki ardhi, kulima nafaka na kumiliki wanyama wa kufugwa alitaka uzao wake urithi mali zile

Binadamu anapokosa mrithi anakuwa na simanzi. Mali uliyoipigania maisha yako yote ungependa warithi wajukuu wako.

Sikuhizi mjini imeingia style mpya, binti anapokua mjamzito, akishamwambia aunt, ambae anaweza kuwa ni rafiki wa mama. Anaambiwa usimwambie mtu mwingine tena, kuna mwanaume atakuoa . Mabinti wanavyopenda harusi, ananyamaza na kweli anatambukishwa kwa muoaji na harusi kubwa inafanywa. Binti akifikiri huyu mwanaume aliyenistiri aibu yangu ni wa kumuheshimu kumbe yuko katika win win situation.
 
Sijaelewa na nahisi siwezi kuelewa......

Hivi ni wanaume ndio wanakuwaga na tatizo la nguvu za kiume na kushindwa kuwatosheleza wake zao?


Ombi kwetu mabaharia.... Ukiona mchumba wako,mkeo anakuambia huna lolote na hujafanya lolote jua huyo siyo size yako tokea na umuache utakuja kunishukuru
 
Nadhani hauko sasa. Watu walitakiwa kwa sababu ya kuzalisha mali, siyi kurithi mali.

Wakati wa ujima, kila kitu kilihitaji nguvu kazi ya watu. Hakukuwa na mashine mbalimbali kusaidia watu. Hivyo familia zilihitaji watu wengi. Ndo maana wanaume walioa wake wengi ili kupata watoto wengi na hatimaye nguvu kazi nyingi.

Swala la pili pia nadhani hauko sasa. Sasa hivi watu hawapendi kuzaa watoto wengi. Siyo kwamba hawana uwezo wa kuzaa. Na hili swala la ukosefu wa nguvu za kiume au kushindwa kuzalisha lipo lakini linakuzwa kupitiliza kwa sababu za kibiashara.
 
Reference yangu ni Haralambo Sociology book tuliyasoma A level. Kabla ya ndoa wanaume wenye nguvu ndiyo walilala na wanawake wazuri kijijini. Ikifika jioni unachomeka mkuki kwenye nlango wa mwanamke unae mpenda kuonyesha kuna mtu ndani. Hakuna aliyefahamu mtoto anaezaliwa ni wa nani.
 
Tatizo hili lipo lakini linakuzwa upande mmoja na wajasiliamali ili kuuza dawa zao.....sasa hivi kila mtu ni mtaalamu wa tiba za nguvu za kiume.........

Muktadha wa kuzaliana unahusisha viumbe viwili wenye jinsia tofauti pia hata mjadala wake unatakiwa ujadiliwe kwenye kona zote........
 
Inawabidi muwaheshimu tu kwa maana hata wao siyo kusud lao kuwa ivo bali ni inatokea tu unfortunately.

Kikubwa ukiona mumeo Kama humuelewi ni unongea nae kwa upendo na Nina hakika atakuelewa na hatajisikia vibaya
Akiniweka wazi heshima nitampatia na nitamsaidia kutafuta tiba, ila akijifanya bandidu na nikajua ana udhaifu huo, siwezi kumuheshimu
 
Mbona ni explainable kabisa??

Zamani tulikula vyakula fresh zaidi na organic zaidi kuliko sasa...

Sasa hata samaki ni imported na wamekaa Sana kwenye freezer...

Lifestyle pia...kutembea Kwa mguu siku hizi sio Sana ...
 
Mbona ni explainable kabisa??

Zamani tulikula vyakula fresh zaidi na organic zaidi kuliko sasa...

Sasa hata samaki ni imported na wamekaa Sana kwenye freezer...

Lifestyle pia...kutembea Kwa mguu siku hizi sio Sana ...
Issue nyingine ni maendeleo ya sayansi na tiba. Mtoto anaumwa na wote mnakata tamaa, baada ya vipimo na tiba wengine kukaa kwenye life support machine, mtoto anapona. Hakuna anaefahamu madhara ya muda mrefu atakayopata mtoto kwa tiba ile.
 
Back
Top Bottom