Ibn Ayoub
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,237
- 3,081
Ahsante sana kwa ushauri wako na nikuahidi kwamba naufanyia kazi ushauri wako. Ubarikiwe sanaSijaelewa na nahisi siwezi kuelewa......
Hivi ni wanaume ndio wanakuwaga na tatizo la nguvu za kiume na kushindwa kuwatosheleza wake zao?
Ombi kwetu mabaharia.... Ukiona mchumba wako,mkeo anakuambia huna lolote na hujafanya lolote jua huyo siyo size yako tokea na umuache utakuja kunishukuru