Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
wote ni wahuni tu hao, hakuna wa kumfikia wala kumkaribia magufuri kazi aliyowafanyia watanzania. Wengine wanaweza kupiga umbea tu na si kazi
Kazi ya kuteka wanaomkosoa kupitia kundi lake la watu wasiojulikana?