Si wote ndani ya Serikali wanafurahia kunangwa Hayati

Hamwezi Magu

Anajaribu kumuiga na kumponda at the same time, hajui cha kufanya

Magu alikuwa akipanda jukwaani ku lay out his battle plans, achievements and vision, ilikuwa lazima atengeneze world news
 
Huo ndiwo ukweli.

Wengi wao wapo hapo kwa namna moja ama nyingine kwa msaada wa Hayati hususani wana siasa.

Pamoja na kwamba baadhi ya wateule walitenguliwa lakini ni imani yangu waliobaki wapo wasiofurahishwa na kunangwa kwa boss wao wa awali!
Bei za mafuta zi juu, bidhaa juu, badala ya kuhamishia juhudi zote katk kutatua changamoto znazotukabili kama Nchi. Watu wanamjalili marehemu kama kwamba hawakuwa sehemu ya Serikali hiyo.
 
Hamwezi Magu

Anajaribu kumuiga na kumponda at the same time, hajui cha kufanya

Magu alikuwa akipanda jukwaani ku lay out his battle plans, achievements and vision, ilikuwa lazima atengeneze world news
Kabisa. Anatapatapa, hajui hata asimamie kipi!
 
Jibu,alimuua nani?
Be sensible. Pretending sometimes is an evidence for brainlessness.

Unataka watu wawataje mara ngapi? Kama wametajwa zaidi ya mara elfu, na akili yako bado haikuweza kushika hata jina moja, hii ya mara moja utakumbuka chochote?

Ben Sanane, Azory Gwanda, Kanguye and many others, whose lives were terminated by the the evil leader, Our Lord may you grant them comfortable rest in your everlasting kingdom.

To you narrowly survived Tundu Lisu, while we present our sincere gratitude to our Lord for giving you an opportunity to live again while the satanic leader tried to end your life, be blessed always, and through you, let the evils witness the power of the only God.
 
Hivi Kwani corona imeisha?
Kwani haimuoni na yeye?
Dah
Kiukweli I wish hata nisikie nae corona imefanya yake!
 
Wananchi hawapendezwi na hili jambo kabisa.

Wanaona kiongozi wao yuko mbali nao.

Anawakumbatia wafanyabiashara na matajiri.

Hasikii vilio vyao. Inasikitisha mno .
Kamfufue umuweke chumbani mwako. Utambike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…