Siamini kama utajiri unapatikana kwa njia ngumu zenye mateso

Siamini kama utajiri unapatikana kwa njia ngumu zenye mateso

Point yangu sio kwamba utajiri ni siri,bali point yangu ni kuwa utajiri ni siri nyepesi ambazo hatuzijui.

Siri+nyepesi.
SIRI+NYEPESI, ila sina uhakika kama hatuzijui, ninajua wengi tunazijua ila hatuzifuati.

Utajiri ni rahisi sana, ni rahisi sana kiasi kwamba tunashindwa kuufikia.

Tatizo moja la kitu kirahisi ni kwamba kinaboa, ndio maana wengi hawakifanyi. "Naomba uniruhusu niwe nachanganya na kizungu ili kufafanua vizuri" It is simple, but not easy.
Kutajirika inatakiwa ufanye kitu rahisi kila siku lakini kwa muda mrefu kiasi, tuseme miaka kumi, unafanya kitu kilekile, hapa ndipo inapoboa. Utajiri hauhitaji uwe na mbwembwe, haihitaji mizuka wala ngedembwe.

Mfano; kama wewe umeajiriwa, labda unalipwa laki tano, kila ukipokea mshahara, unaweka laki mbili pembeni, laki tatu ndio unatumia na familia yako, kila mwezi. Baada ya mwaka mmoja utafikisha milioni moja na laki mbili, unanunua bodaboda, kisha unaendelea na zoezi lile lile la kuweka laki mbili kila mwezi...

Halafu kila mwaka unanunua bodaboda, kama ukiendwlea hivyo kwa miaka kumi, hata kama hujawa tajiri lakini utakuwa umepiga hatua kubwa. Simple but not easy, not easy because it a simple and mechanical way of doing things, haikupi mwanya wa kuandaa birthyfay parties kwa sababu utaingilia ratiba ya kuweka laki mbili....

Not easy kwa sababu ni aina ya maisha inayokosa msisimko, na binadamu tunataka msisimko, leo umeenda club, kesho umenunua dela jipya, unachukua mkopo benki unanunua vitz, hivyo vyote ni msisimko wa maisha... Kwa hiyo unachokisema ni siri, kimekaa kwenye kitu kinaitwa DELAYED GRATIFICATION, japo kuna mengine pia ya kuambatisha hapo.

Nimejaribu kufafanua kwa ufupi.
 
Tokea zamani nimekuwa siamini msemo unaosema kwamba utajiri unahitaji uvumilivu,subira,kupitia magumu nakadhaalika.

ninachoamini ni kwamba utajiri sio mgumu kupatikana ni rahisi lakini huwenda njia zake hizo watu hawazijui(zina siri)

Tukumbuke kuwa kitu kuwa rahisi haina maana kwamba watu watakijua kitu hiko,kinaweza kuwa ni rahisi na bado ikawa ni siri pia.

Mimi naamini utajiri una formula zake nyepesi nyepesi za siri ambazo wachache wanazifahamu.

KAMA utajiri ni kupitia magumu mbona leo tuna idadi kubwa ya watanzania wanaofanya kazi ngumu za kilimo na ujenzi na bado hawawi matajiri ?

KAMA utajiri unahitaji muda ukiwa katika kazi ngumu mbona kuna watu wanazeekea na kufia katika kazi za ujenzi miaka na miaka bila kuwa matajiri ?

Kama utajiri ni kupitia magumu na mateso basi leo watanzania wengi sana wangekuwa matajiri kwa sababu idadi kubwa ya watanzania wanafanya kazi ngumu.

Bakhresa wanasema alitoka kwenye kazi ya kushona viatu,mbona kuna wanaozeekea katika kazi hiyo hawawi kama bakhresa ?

Utajiri naamini ni siri,tena siri ni nyepesi mno lakini nadhani huwenda wengi wetu tunaamini kwamba lazima tuteseke kwanza na kuumia ndipo tupate utajiri.

Nakataa kujifariji kwamba mateso ninayopitia ni ishara ya kutoboa mbeleni kwa sababu wapo wanaozaliwa kwenye mateso na kufia kwenye mateso bila kuuona utajiri.
Usiangaike na utajiri, jikite katika kupata pesa za kuweza kumudu gharama za maisha then huo utajiri utajiongeza wenyewe.

Unapataje pesa hadi watu kukuita tajiri? Ni lazima uwe na connection na wenye pesa hawa ndio wamebeba siri ya wewe kufanikiwa.

Kuna watu siku hizi mnawaita chawa ila nakuhakikishia baada ya miaka mitano mpaka kumi hawa machawa watakuwa wanamiliki uchumi mkubwa kama watafuata principle.

Wapo pia watu wana bahati za kuzaliwa na nyota zao hazijachezewa wala hazijachukuliwa na mtu mwingine ni lazima watoboe hata kwa kuuza nafaka tu.

Ukishamiliki pesa nyingi ndio utafundishwa Government bond za BOT ni nini, hapo ndipo ilipo siri ya kutofirisika milele mpaka kifo na warithi wako wataendelea kula pesa bila jasho maisha yao yote.
 
SIRI+NYEPESI, ila sina uhakika kama hatuzijui, ninajua wengi tunazijua ila hatuzifuati.

Utajiri ni rahisi sana, ni rahisi sana kiasi kwamba tunashindwa kuufikia.

Tatizo moja la kitu kirahisi ni kwamba kinaboa, ndio maana wengi hawakifanyi. "Naomba uniruhusu niwe nachanganya na kizungu ili kufafanua vizuri" It is simple, but not easy.
Kutajirika inatakiwa ufanye kitu rahisi kila siku lakini kwa muda mrefu kiasi, tuseme miaka kumi, unafanya kitu kilekile, hapa ndipo inapoboa. Utajiri hauhitaji uwe na mbwembwe, haihitaji mizuka wala ngedembwe.

Mfano; kama wewe umeajiriwa, labda unalipwa laki tano, kila ukipokea mshahara, unaweka laki mbili pembeni, laki tatu ndio unatumia na familia yako, kila mwezi. Baada ya mwaka mmoja utafikisha milioni moja na laki mbili, unanunua bodaboda, kisha unaendelea na zoezi lile lile la kuweka laki mbili kila mwezi...

Halafu kila mwaka unanunua bodaboda, kama ukiendwlea hivyo kwa miaka kumi, hata kama hujawa tajiri lakini utakuwa umepiga hatua kubwa. Simple but not easy, not easy because it a simple and mechanical way of doing things, haikupi mwanya wa kuandaa birthyfay parties kwa sababu utaingilia ratiba ya kuweka laki mbili....

Not easy kwa sababu ni aina ya maisha inayokosa msisimko, na binadamu tunataka msisimko, leo umeenda club, kesho umenunua dela jipya, unachukua mkopo benki unanunua vitz, hivyo vyote ni msisimko wa maisha... Kwa hiyo unachokisema ni siri, kimekaa kwenye kitu kinaitwa DELAYED GRATIFICATION, japo kuna mengine pia ya kuambatisha hapo.

Nimejaribu kufafanua kwa ufupi.
Wewe unasimulia namna ya kuwa mjasiriamali, uko mbali sana.

Hakuna mfanyakazi tajiri dunia nzima siyo Tanzania tu.

Maisha ya mfanyakazi yapo designed and fixed na ILO.

Ukishaitwa tu mfanyakazi ondokana na ndoto za utajiri, jikite kwenye kumudu gharama za kutunza familia, hapo ndipo maisha yako yapo designed.

Reginald Mengi alipotoka kusoma Uingereza aliajiriwa na Water coopers, alichokifanya anakijuwa mwenyewe alihakikisha anatoka na kujiajiri na amekufa Billionaire.
 
Tokea zamani nimekuwa siamini msemo unaosema kwamba utajiri unahitaji uvumilivu,subira,kupitia magumu nakadhaalika.

ninachoamini ni kwamba utajiri sio mgumu kupatikana ni rahisi lakini huwenda njia zake hizo watu hawazijui(zina siri)

Tukumbuke kuwa kitu kuwa rahisi haina maana kwamba watu watakijua kitu hiko,kinaweza kuwa ni rahisi na bado ikawa ni siri pia.

Mimi naamini utajiri una formula zake nyepesi nyepesi za siri ambazo wachache wanazifahamu.

KAMA utajiri ni kupitia magumu mbona leo tuna idadi kubwa ya watanzania wanaofanya kazi ngumu za kilimo na ujenzi na bado hawawi matajiri ?

KAMA utajiri unahitaji muda ukiwa katika kazi ngumu mbona kuna watu wanazeekea na kufia katika kazi za ujenzi miaka na miaka bila kuwa matajiri ?

Kama utajiri ni kupitia magumu na mateso basi leo watanzania wengi sana wangekuwa matajiri kwa sababu idadi kubwa ya watanzania wanafanya kazi ngumu.

Bakhresa wanasema alitoka kwenye kazi ya kushona viatu,mbona kuna wanaozeekea katika kazi hiyo hawawi kama bakhresa ?

Utajiri naamini ni siri,tena siri ni nyepesi mno lakini nadhani huwenda wengi wetu tunaamini kwamba lazima tuteseke kwanza na kuumia ndipo tupate utajiri.

Nakataa kujifariji kwamba mateso ninayopitia ni ishara ya kutoboa mbeleni kwa sababu wapo wanaozaliwa kwenye mateso na kufia kwenye mateso bila kuuona utajiri.
Huwezi kuwa tajiri pasi na kupitia haya
1. Kurithi mali/rasilimali ukaziendeleza
2. Kupitia katika njia ambayo tayari imeshalimwa na watangulizi wako (kuandaliwa mazingira)

Zaidi ya hapo ni kutafuta kuishi vizuri tu na vijisenti vya kubadilisha mboga na gari la kutembelea kwisha kazi,tusidanganyane.
 
Utajiri una mambo mengi sana yasiyofurahisha...
 
Wewe unasimulia namna ya kuwa mjasiriamali, uko mbali sana.

Hakuna mfanyakazi tajiri dunia nzima siyo Tanzania tu.

Maisha ya mfanyakazi yapo designed and fixed na ILO.

Ukishaitwa tu mfanyakazi ondokana na ndoto za utajiri, jikite kwenye kumudu gharama za kutunza familia, hapo ndipo maisha yako yapo designed.

Reginald Mengi alipotoka kusoma Uingereza aliajiriwa na Water coopers, alichokifanya anakijuwa mwenyewe alihakikisha anatoka na kujiajiri na amekufa Billionaire.
NDIO! ninasimulia jinsi ya kuwa mjasiriamali kwa sababu ndio njia pekee halali ya kuwa tajiri.
sijaelewa unachomaanisha kwa kusema niko mbali sana!
 
Hh y y huyu rh thy
NDIO! ninasimulia jinsi ya kuwa mjasiriamali kwa sababu ndio njia pekee halali ya kuwa tajiri.
sijaelewa unachomaanisha kwa kusema niko mbali sana!
Nadhani unaeleza namna ya kujikimu na maisha, uko far kwenye how to become Rich.

Kule Urusi kuna watu wanaitwa Oligarchy, jaribu kuwafuatilia hawa au google, wapo Urusi Ulaya na Marekani ila ni Warusi.
 
Tokea zamani nimekuwa siamini msemo unaosema kwamba utajiri unahitaji uvumilivu,subira,kupitia magumu nakadhaalika.

ninachoamini ni kwamba utajiri sio mgumu kupatikana ni rahisi lakini huwenda njia zake hizo watu hawazijui(zina siri)

Tukumbuke kuwa kitu kuwa rahisi haina maana kwamba watu watakijua kitu hiko,kinaweza kuwa ni rahisi na bado ikawa ni siri pia.

Mimi naamini utajiri una formula zake nyepesi nyepesi za siri ambazo wachache wanazifahamu.

KAMA utajiri ni kupitia magumu mbona leo tuna idadi kubwa ya watanzania wanaofanya kazi ngumu za kilimo na ujenzi na bado hawawi matajiri ?

KAMA utajiri unahitaji muda ukiwa katika kazi ngumu mbona kuna watu wanazeekea na kufia katika kazi za ujenzi miaka na miaka bila kuwa matajiri ?

Kama utajiri ni kupitia magumu na mateso basi leo watanzania wengi sana wangekuwa matajiri kwa sababu idadi kubwa ya watanzania wanafanya kazi ngumu.

Bakhresa wanasema alitoka kwenye kazi ya kushona viatu,mbona kuna wanaozeekea katika kazi hiyo hawawi kama bakhresa ?

Utajiri naamini ni siri,tena siri ni nyepesi mno lakini nadhani huwenda wengi wetu tunaamini kwamba lazima tuteseke kwanza na kuumia ndipo tupate utajiri.

Nakataa kujifariji kwamba mateso ninayopitia ni ishara ya kutoboa mbeleni kwa sababu wapo wanaozaliwa kwenye mateso na kufia kwenye mateso bila kuuona utajiri.
Secret to success.
1-knowing what you want.
2-knowing what it will cost.
3-paying the price.

Success is not about LUCK, it is about CHOICES.
The price for success is STAYING DISCIPLINED, GOOD PLANNING and TIMELY execution and EFFORT.

CLARITY and CONSISTENTLY going after what you want.

And the main cost is DISCIPLINE., [emoji2373]
 
Utajiri upo kwenye kuzipata Fursa na kuzifanyia kazi.
Kufanya mambo kwa ukamilifu na ukubwa.
Pia Maamuzi unayoyafanya kwenye Maisha yako kwa ujumla katika kila hatua yanachangia / effects Maisha yako sana katika kuusaka utajiri/mafanikio

Mfano : kama ni biashara iwe kwa ukubwa na iwe kamilifu (sio ya kusua sua )
 
Wewe unasimulia namna ya kuwa mjasiriamali, uko mbali sana.

Hakuna mfanyakazi tajiri dunia nzima siyo Tanzania tu.

Maisha ya mfanyakazi yapo designed and fixed na ILO.

Ukishaitwa tu mfanyakazi ondokana na ndoto za utajiri, jikite kwenye kumudu gharama za kutunza familia, hapo ndipo maisha yako yapo designed.

Reginald Mengi alipotoka kusoma Uingereza aliajiriwa na Water coopers, alichokifanya anakijuwa mwenyewe alihakikisha anatoka na kujiajiri na amekufa Billionaire.
Sahihi mkuu
 
Hh y y huyu rh thy

Nadhani unaeleza namna ya kujikimu na maisha, uko far kwenye how to become Rich.

Kule Urusi kuna watu wanaitwa Oligarchy, jaribu kuwafuatilia hawa au google, wapo Urusi Ulaya na Marekani ila ni Warusi.
Sasa mkuu si utuelezee japo kwa kifupi how to become rich au utumegee japo kwa kifupi hao Oligarchy!, Ndio maana ya kuwepo kwa jukwaa tunaongezeana maarifa.
 
Daaaah kwakweliii nipo pamojq na mtoa mada maana huko nchiniii Zimbabwe utajiriii simple tyuu wananunua vidole vya miguu kwa madola yaniii iko hiviii
•Kidole gumba vha mguuni $7000
•kidole cha katii cha mguuni $9000
•Kidole kidogo au cha mwisho cha mguuni $10000
Kwahiyo naamini hiii nayo ni fomula ya kuwa tajiriii

●NB;
Tafuta naulii ya kwenda tu ya kurudiii utapata ukiuza bidhaa zako na utarudiii na gar aina ya RR

@stoplights
 
Secret to success.
1-knowing what you want.
2-knowing what it will cost.
3-paying the price.

Success is not about LUCK, it is about CHOICES.
The price for success is STAYING DISCIPLINED, GOOD PLANNING and TIMELY execution and EFFORT.

CLARITY and CONSISTENTLY going after what you want.

And the main cost is DISCIPLINE., [emoji2373]
Success siyo UTAJIRI .. tatizo nilisoma zamani
 
Back
Top Bottom