Siamini kama utajiri unapatikana kwa njia ngumu zenye mateso

Siamini kama utajiri unapatikana kwa njia ngumu zenye mateso

Mkuu naomba nikupe majibu rahisi ambayo tulifundishwa katika uchumi,Njia kuu 3 za kuwa tajiri.
1.Asilimia 70 ya matajiri wanarithi kutoka familia zao na kuendeleza.angalia matajiri 100 wa dunia utagundua hili,angalia matajiri 100 wa Afrika hata Tanzania utagundua hill.
2. Asilimia 20 ni bahati,matajiri wengine katika kundi LA kwanza wametoka hapa kwenye kundi LA 2.
3. Only 10% ni juhudi na maarifa.
Na huo utajiri ili uendelee Ku sustain lazima use close na Serikali ya Nchi husika.Usiwaone akina Bill get ,Dangote na wengine nyuma ya pazia wamefanya unyama mwingi kwa kushirikiana na Serikali.
 
Siri ndio hii

Mhubiri 2 : 26 " Kwa yule mtu anayempendeza Mungu, Mungu humpa hekima, maarifa na furaha, bali kwa mwenye dhambi Mungu humpa kazi ya kukusanya na kuhifadhi utajiri ili Mungu ampe yule anayempenda. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo. "
 
Daaaah kwakweliii nipo pamojq na mtoa mada maana huko nchiniii Zimbabwe utajiriii simple tyuu wananunua vidole vya miguu kwa madola yaniii iko hiviii
•Kidole gumba vha mguuni $7000
•kidole cha katii cha mguuni $9000
•Kidole kidogo au cha mwisho cha mguuni $10000
Kwahiyo naamini hiii nayo ni fomula ya kuwa tajiriii

●NB;
Tafuta naulii ya kwenda tu ya kurudiii utapata ukiuza bidhaa zako na utarudiii na gar aina ya RR

@stoplights
Uangaike Zimbabwe kote huko kufuata nini wakati unaweza kuuza figo yako Bongo kwa hela ndefu.
 
*Thamani ya shilingi 1 ndiyo ikifika mara milioni ni milioni1 na ikipungua kwenye bilioni tunasema milioni mia tisa tisini na tisa, laki tisa na tisini na tisa elfu, mia tisa tisini na tisa.
*Kama matumizi ni makubwa kuliko akiba unayoweka toka kwenye kipato utauona utajiri uzeeni.
*Kama matumizi ni sawa na kipato utauona utajiri kaburini
*Na kama akiba unayoweke ukiwekeza sehemu nyingine izalishe japo kidogo, utajiri unao.
*Bahati ya kuzaliwa nayo
*Kurithi

Mafundi wengi nawafahamu mtaani. Kwa wiki anawezapiga kazi hata ya 200k au 40k kila siku. Lakini kila siku akitoka kwenye kazi ngumu lazima 20k anywee pombe na kesho yake akipewa kazi ya 20k hafanyi kwasababu hela anaiona ndogo kwakuwa bado mfukoni anayo akiba ya jana. Ikiisha. Ndipo anapiga tena kazi.
 
GOD gives Wealth : Bible Verse

1 Samuel 2:7
“The Lord makes poor and rich;
He brings low, He also exalts.

Genesis 43:23
He said, “Be at ease, do not be afraid. Your God and the God of your father has given you treasure in your sacks; I had your money.” Then he brought Simeon out to them.

Deuteronomy 8:18
But you shall remember the Lord your God, for it is He who is giving you power to make wealth, that He may confirm His covenant which He swore to your fathers, as it is this day.


Psalm 112:3
Wealth and riches are in his house,
And his righteousness endures forever.

Ecclesiastes 5:19
Furthermore, as for every man to whom God has given riches and wealth, He has also empowered him to eat from them and to receive his reward and rejoice in his labor; this is the gift of God.
 
Ushauri wowote wa how to become rich kama ushauri hup hautoki kwa rich people basi huo ni ushauri wa kubahatisha(ninavyohisi)
Ni sawa na kusema kwamba, kwa sababu Padre hajaoa, basi ushauri wake kwa wanandoa ni wa kubahatisha!
 
Ni sawa na kusema kwamba, kwa sababu Padre hajaoa, basi ushauri wake kwa wanandoa ni wa kubahatisha!
Kabisa kaka.

Mtu ambae hajaexpwrinec ndoa na maisha ya ndoa hata awe mzee vipi hawezi kunipa ushauri wa ndoa hata siku moja mkuu.

Atanipa ushauri wa kuishi na kila mtu lakini kwenye ishu za ndoa mambo ni tofauti sana,mpaka uingie kwemye ndoa ndio unawe,a kushauri watu kuhusu ndoa.
 
Ni sawa na kusema kwamba, kwa sababu Padre hajaoa, basi ushauri wake kwa wanandoa ni wa kubahatisha!
Kabisa kaka.

Mtu ambae hajaexpwrinec ndoa na maisha ya ndoa hata awe mzee vipi hawezi kunipa ushauri wa ndoa hata siku moja mkuu.

Atanipa ushauri wa kuishi na kila mtu lakini kwenye ishu za ndoa mambo ni tofauti sana,mpaka uingie kwemye ndoa ndio unawe,a kushauri watu kuhusu ndoa.
 
Kabisa kaka.

Mtu ambae hajafunga ndoa na maisha ya ndoa hata awe mzee vipi hawezi kunipa ushauri wa ndoa hata siku moja mkuu.
Kuna makocha hawajawahi kuwa wacheza mpira,
Na timu zao Ni kubwa duniani.
Vp kuhusu Hilo🙃
 

Kumbukumbu 8:17-18 NEN​

Mnaweza kusema, “Uwezo wangu na nguvu za mikono yangu ndizo zilizonipatia utajiri huu.” Lakini kumbukeni BWANA Mungu wenu, ndiye ambaye huwapa uwezo wa kupata utajiri, na hivyo kulithibitisha Agano lake, ambalo aliwaapia baba zenu, kama ilivyo leo.
 
Ukishamiliki pesa nyingi ndio utafundishwa Government bond za BOT ni nini, hapo ndipo ilipo siri ya kutofirisika milele mpaka kifo na warithi wako wataendelea kula pesa bila jasho maisha yao yote

Nimewahi kuwaeleza watu hili jambo na walibaki wananishangaa sana... BOND

Niliona kule jamaa wanatoa bonds za 100m..

Lakini bids za wanaoomba bonds unakuta watu wapo 880 na wote wameweka 100m kila mmoja,,, lakini wanaopita unakuta ni 115 tu... Hii inaonyesha watu wana pesa sana...

Ila hii Siri huwezi ambiwa Masikini hata siku moja,,.. Watu wanakula 15% kwa miaka zaidi ya 20...

Siri ya utajiri ipo kwa watu.. Na wala hata sio hizi biashara za kununua na kuuza
 
Ukishamiliki pesa nyingi ndio utafundishwa Government bond za BOT ni nini, hapo ndipo ilipo siri ya kutofirisika milele mpaka kifo na warithi wako wataendelea kula pesa bila jasho maisha yao yote

Nimewahi kuwaeleza watu hili jambo na walibaki wananishangaa sana... BOND

Niliona kule jamaa wanatoa bonds za 100m..

Lakini bids za wanaoomba bonds unakuta watu wapo 880 na wote wameweka 100m kila mmoja,,, lakini wanaopita unakuta ni 115 tu... Hii inaonyesha watu wana pesa sana...

Ila hii Siri huwezi ambiwa Masikini hata siku moja,,.. Watu wanakula 15% kwa miaka zaidi ya 20...
 
Nenda ukakatwe vidole mkuu upewe madola hayo siku hizi hakuna kulalamika tena
 
SIRI+NYEPESI, ila sina uhakika kama hatuzijui, ninajua wengi tunazijua ila hatuzifuati.

Utajiri ni rahisi sana, ni rahisi sana kiasi kwamba tunashindwa kuufikia.

Tatizo moja la kitu kirahisi ni kwamba kinaboa, ndio maana wengi hawakifanyi. "Naomba uniruhusu niwe nachanganya na kizungu ili kufafanua vizuri" It is simple, but not easy.
Kutajirika inatakiwa ufanye kitu rahisi kila siku lakini kwa muda mrefu kiasi, tuseme miaka kumi, unafanya kitu kilekile, hapa ndipo inapoboa. Utajiri hauhitaji uwe na mbwembwe, haihitaji mizuka wala ngedembwe.

Mfano; kama wewe umeajiriwa, labda unalipwa laki tano, kila ukipokea mshahara, unaweka laki mbili pembeni, laki tatu ndio unatumia na familia yako, kila mwezi. Baada ya mwaka mmoja utafikisha milioni moja na laki mbili, unanunua bodaboda, kisha unaendelea na zoezi lile lile la kuweka laki mbili kila mwezi...

Halafu kila mwaka unanunua bodaboda, kama ukiendwlea hivyo kwa miaka kumi, hata kama hujawa tajiri lakini utakuwa umepiga hatua kubwa. Simple but not easy, not easy because it a simple and mechanical way of doing things, haikupi mwanya wa kuandaa birthyfay parties kwa sababu utaingilia ratiba ya kuweka laki mbili....

Not easy kwa sababu ni aina ya maisha inayokosa msisimko, na binadamu tunataka msisimko, leo umeenda club, kesho umenunua dela jipya, unachukua mkopo benki unanunua vitz, hivyo vyote ni msisimko wa maisha... Kwa hiyo unachokisema ni siri, kimekaa kwenye kitu kinaitwa DELAYED GRATIFICATION, japo kuna mengine pia ya kuambatisha hapo.

Nimejaribu kufafanua kwa ufupi.
Point
 
Huwezi kuwa tajiri pasi na kupitia haya
1. Kurithi mali/rasilimali ukaziendeleza
2. Kupitia katika njia ambayo tayari imeshalimwa na watangulizi wako (kuandaliwa mazingira)

Zaidi ya hapo ni kutafuta kuishi vizuri tu na vijisenti vya kubadilisha mboga na gari la kutembelea kwisha kazi,tusidanganyane.
Hayo uliyoainisha ndo msingi wa utajiri wa Mungu ulipo tatizo tumegoma kabisa kuukubali ukweli, hebu angalia binadamu alitokana Adam na Adam akaambiwa utakula kwa jasho maana yake apambane kulisha familia yake na kuipa urithi na bado Mungu akatoa agizo kwa wanaume wote kwamba watawapa Mali watoto wao alisema Mali na urithi mtu atapewa na babaye hivyo baba aliyepambana kiasi cha kuwa na Mali za kuwapa uzao wake wapate pa kuanzia ndo anaweza kutengeneza matajiri wenye mlengo wa Mungu ila Sasa hayo tumewaachia watu waupe wafanye kwa kuzaa watoto na kuwapa muelekeo na sisi ni kuzaa tu bila kujua nini tunawapa watoto wetu, zaidi sana hata viongozi wa Dini hawatoi msisitizo hapo, Kila baba anawajibu wakutoa Mali kwa watoto aliowazaa na kuwaweka kwenye maadili ya kuzalisha hizo Mali Ili ziwafikie wajukuu na vitukuu ila Sasa tunaenda kinyume kabisa na maandiko yaani wajukuu ndo watafute Mali Ili watoe ulirithi na Mali kwa mababu zao na hata wazazi hii ikikomeshwa tutaona Kila mtu anatumia muda na nguvu zake vizuri.
 
VUNJA BEI: KUANDAA HESABU ZA KODI za makampuni; USAJILI WA MAKAMPUNI dakika za mwisho hizi..!!
 
Back
Top Bottom