Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Uangaike Zimbabwe kote huko kufuata nini wakati unaweza kuuza figo yako Bongo kwa hela ndefu.Daaaah kwakweliii nipo pamojq na mtoa mada maana huko nchiniii Zimbabwe utajiriii simple tyuu wananunua vidole vya miguu kwa madola yaniii iko hiviii
•Kidole gumba vha mguuni $7000
•kidole cha katii cha mguuni $9000
•Kidole kidogo au cha mwisho cha mguuni $10000
Kwahiyo naamini hiii nayo ni fomula ya kuwa tajiriii
●NB;
Tafuta naulii ya kwenda tu ya kurudiii utapata ukiuza bidhaa zako na utarudiii na gar aina ya RR
@stoplights
Ni sawa na kusema kwamba, kwa sababu Padre hajaoa, basi ushauri wake kwa wanandoa ni wa kubahatisha!Ushauri wowote wa how to become rich kama ushauri hup hautoki kwa rich people basi huo ni ushauri wa kubahatisha(ninavyohisi)
Kabisa kaka.Ni sawa na kusema kwamba, kwa sababu Padre hajaoa, basi ushauri wake kwa wanandoa ni wa kubahatisha!
Kabisa kaka.Ni sawa na kusema kwamba, kwa sababu Padre hajaoa, basi ushauri wake kwa wanandoa ni wa kubahatisha!
Kuna makocha hawajawahi kuwa wacheza mpira,Kabisa kaka.
Mtu ambae hajafunga ndoa na maisha ya ndoa hata awe mzee vipi hawezi kunipa ushauri wa ndoa hata siku moja mkuu.
Acha kupotosha Mungu humpa yoyote amuombaye mafanikio na utajiriUtajiri ni Mungu ndiye humpa amtakaye. Kibinadamu juhudi binafsi hutoboi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishamiliki pesa nyingi ndio utafundishwa Government bond za BOT ni nini, hapo ndipo ilipo siri ya kutofirisika milele mpaka kifo na warithi wako wataendelea kula pesa bila jasho maisha yao yote
Ukishamiliki pesa nyingi ndio utafundishwa Government bond za BOT ni nini, hapo ndipo ilipo siri ya kutofirisika milele mpaka kifo na warithi wako wataendelea kula pesa bila jasho maisha yao yote
PointSIRI+NYEPESI, ila sina uhakika kama hatuzijui, ninajua wengi tunazijua ila hatuzifuati.
Utajiri ni rahisi sana, ni rahisi sana kiasi kwamba tunashindwa kuufikia.
Tatizo moja la kitu kirahisi ni kwamba kinaboa, ndio maana wengi hawakifanyi. "Naomba uniruhusu niwe nachanganya na kizungu ili kufafanua vizuri" It is simple, but not easy.
Kutajirika inatakiwa ufanye kitu rahisi kila siku lakini kwa muda mrefu kiasi, tuseme miaka kumi, unafanya kitu kilekile, hapa ndipo inapoboa. Utajiri hauhitaji uwe na mbwembwe, haihitaji mizuka wala ngedembwe.
Mfano; kama wewe umeajiriwa, labda unalipwa laki tano, kila ukipokea mshahara, unaweka laki mbili pembeni, laki tatu ndio unatumia na familia yako, kila mwezi. Baada ya mwaka mmoja utafikisha milioni moja na laki mbili, unanunua bodaboda, kisha unaendelea na zoezi lile lile la kuweka laki mbili kila mwezi...
Halafu kila mwaka unanunua bodaboda, kama ukiendwlea hivyo kwa miaka kumi, hata kama hujawa tajiri lakini utakuwa umepiga hatua kubwa. Simple but not easy, not easy because it a simple and mechanical way of doing things, haikupi mwanya wa kuandaa birthyfay parties kwa sababu utaingilia ratiba ya kuweka laki mbili....
Not easy kwa sababu ni aina ya maisha inayokosa msisimko, na binadamu tunataka msisimko, leo umeenda club, kesho umenunua dela jipya, unachukua mkopo benki unanunua vitz, hivyo vyote ni msisimko wa maisha... Kwa hiyo unachokisema ni siri, kimekaa kwenye kitu kinaitwa DELAYED GRATIFICATION, japo kuna mengine pia ya kuambatisha hapo.
Nimejaribu kufafanua kwa ufupi.
Utajiri sio pesa mkuu.Kwanza Mungu hajaumba pesa. Pesa ni Man made.
Hayo uliyoainisha ndo msingi wa utajiri wa Mungu ulipo tatizo tumegoma kabisa kuukubali ukweli, hebu angalia binadamu alitokana Adam na Adam akaambiwa utakula kwa jasho maana yake apambane kulisha familia yake na kuipa urithi na bado Mungu akatoa agizo kwa wanaume wote kwamba watawapa Mali watoto wao alisema Mali na urithi mtu atapewa na babaye hivyo baba aliyepambana kiasi cha kuwa na Mali za kuwapa uzao wake wapate pa kuanzia ndo anaweza kutengeneza matajiri wenye mlengo wa Mungu ila Sasa hayo tumewaachia watu waupe wafanye kwa kuzaa watoto na kuwapa muelekeo na sisi ni kuzaa tu bila kujua nini tunawapa watoto wetu, zaidi sana hata viongozi wa Dini hawatoi msisitizo hapo, Kila baba anawajibu wakutoa Mali kwa watoto aliowazaa na kuwaweka kwenye maadili ya kuzalisha hizo Mali Ili ziwafikie wajukuu na vitukuu ila Sasa tunaenda kinyume kabisa na maandiko yaani wajukuu ndo watafute Mali Ili watoe ulirithi na Mali kwa mababu zao na hata wazazi hii ikikomeshwa tutaona Kila mtu anatumia muda na nguvu zake vizuri.Huwezi kuwa tajiri pasi na kupitia haya
1. Kurithi mali/rasilimali ukaziendeleza
2. Kupitia katika njia ambayo tayari imeshalimwa na watangulizi wako (kuandaliwa mazingira)
Zaidi ya hapo ni kutafuta kuishi vizuri tu na vijisenti vya kubadilisha mboga na gari la kutembelea kwisha kazi,tusidanganyane.
but too much is harmful! Mind youToo much of anything.