Siamini kama utajiri unapatikana kwa njia ngumu zenye mateso

Kunatofauti kubwa kati kufanya kazi kwa bidii.. na kufanya kazi kwa akili

"Work smart.. not hard"

Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app
 
Mungu sio mbinafsi hivyo "eti humpa yeyote amtakae" kwahiyo Mungu anachagua nani awe tajiri na nani awe maskini..!!!

Mungu sio mbinafsi kiasi hicho aisee.

#YNWA
Tushirikiane bas ili tuwe matajiri au mwenzangu ushatoboa?
 
Fanya yote, iwe ni kuwa na nidhamu ya pesa, kuwa na malengo, kujituma na hata kujinyima ila usipojua njia za kuepuka kupigwa pini na wenye husda, ni bure.

Hahah fafanua zaidi
 
Somo kubwa sana umenipatia ndugu.
 
Mungu sio mbinafsi hivyo "eti humpa yeyote amtakae" kwahiyo Mungu anachagua nani awe tajiri na nani awe maskini..!!!

Mungu sio mbinafsi kiasi hicho aisee.

#YNWA
Kuna luck na risk

Soma.

Ecclesiastes 9:11
[11]I returned, and saw under the sun, that the race is not to the swift, nor the battle to the strong, neither yet bread to the wise, nor yet riches to men of understanding, nor yet favour to men of skill; but time and chance happeneth to them all.

Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
 
Utajiri naamini ni siri,tena siri ni nyepesi mno lakini nadhani huwenda wengi wetu tunaamini
Nilipoanza mwenyewe kuisoma Biblia Takatifu na kuielewa ndiposa nikajua siri zote za utajiri zimejificha humo na matajiri wakubwa wanapitia vitabu vitakatifu kupata itajiri toka kwa Mungu.

Naendelea kujifunza kwa vitendo. Omba Roho wa Mungu akufunulie kidogo tu siri za utajiri utashangaa
 
Ahare na sisi baadhi ya siri kama hutojali
 
Asante kiongozi
 
safuher mfano mmojawapo ni hayo hapo. Ni mengi kinahotakiwa ni uamuzi thabiti bila kujali mtu atakufa au la kwa wewe kuchukua na kutekeleza uamuzi wako.

Zingatia

Ikiwa degree (shahada) yako ya uchumi huu usioweza kukufanya uione milango ya uchumi unasomea miaka mitatu. Vivyo hivyo tambua hauwezi kujifunza nidhamu na siri za utajiri kwenye post au jibu moja kama hivi. Ni jambo unatakiwa uingie kujifunza kwelikweli. Na kwa wakristo Yesu ni mfano (mentor/great teacher) wa wewe kufikia mafanikio yako ya juu kabisa na Biblia ina kila mwongozo unaoutaka katika uchumi. Nilipolijua hili nilishangaa sana na hii ni mojawapo ya siri kuu hatuambiwi.

Anza sasa kuzisaka siri, ni kazi ngumu kwa asiependa lakini nyepesi ukiamua.
 
Utajiri ni Mungu akiamua kuweka neema zake kwako. Unaweza ukawa na bidii ya kujenga ukuta kwa mate but kama Mungu hajakubariki hupati kitu bro
 
Usile mchana.

Manake tengeneza pesa..save pesa..investment pesa ilete pesa.


#MaendeleoHayanaChama
 
Utajiri unatokana na fursa zilizopo. Na anaeytengeneza fursa hizo(mazingira ya kuwa tajiri) ni serikali.
Sikubaliani na wewe kwa mazingira mengi tu.

Kwa sababu serikali inayomuongoza bakhresa ndio hiyo hiyo inayomuongoza babu yangu kijijini.

So ingelikuwa swrikali ndio sababu basi tungekuwa na bakhresa wengi.

Nina hakika kuna something behind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…