Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwapangie.Hawa vijana wa CHADEMA waliojazana humu na kutoa maneno ya kejeli kumbe ni bure kabisa. Ni bure kiasi kwamba hawawezi kuongea kwenye mikutano ya hadhara na ndiyo maana wameahirisha kuanza mikutano ya hadhara hadi Lissu, Lema, na Wenje waje
Tuliza boli ndugu chawa mwaminifu🤔Hawa vijana wa CHADEMA waliojazana humu na kutoa maneno ya kejeli kumbe ni bure kabisa. Ni bure kiasi kwamba hawawezi kuongea kwenye mikutano ya hadhara na ndiyo maana wameahirisha kuanza mikutano ya hadhara hadi Lissu, Lema, na Wenje waje
Wao wana dozi ya mazuzu kama weweWewe huna hizo dozi?
Ulisikia wapi wanawasubiri. Mbona umejaa hofu?Hawa vijana wa CHADEMA waliojazana humu na kutoa maneno ya kejeli kumbe ni bure kabisa. Ni bure kiasi kwamba hawawezi kuongea kwenye mikutano ya hadhara na ndiyo maana wameahirisha kuanza mikutano ya hadhara hadi Lissu, Lema, na Wenje waje
Utakuwa umendikiwa uandike haya hapa maana ungekuwa na uwezo hata 10% ya huu Lissu, Lema, na Wenje wasingesubiriwa mpaka wajeUpumbavu mwingine huu wa mtoa hoja,why una wasiwasi na CDM kama unaona ni chama mfu?,wewe Lumumba team niambie mimi nini utakifanya tofauti kwa nchi yangu kwa sasa maana umasikini, maradhi na ujinga na rushwa inayonuka kila pembe ya nchi imetamalaki, mkuu soma hili rushwa ni cancer hapa nchini, why hapa Dar to Moro (200km )una road blocks zaidi ya 30,zote hizi ni za nini?
Mshaanza kupaparika kama bisi kikaangoniHawa vijana wa CHADEMA waliojazana humu na kutoa maneno ya kejeli kumbe ni bure kabisa. Ni bure kiasi kwamba hawawezi kuongea kwenye mikutano ya hadhara na ndiyo maana wameahirisha kuanza mikutano ya hadhara hadi Lissu, Lema, na Wenje waje
Utakuwa umendikiwa uandike haya hapa maana ungekuwa na uwezo hata 10% ya huu Lissu, Lema, na Wenje wasingesubiriwa mpaka waje