Ahsante Mkuu wangu…. sikuwa nimeisoma Boss wangu.Hiyo nimeisema mkuu -- kupanda kwa foleni, ahsante kwa kukazia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante Mkuu wangu…. sikuwa nimeisoma Boss wangu.Hiyo nimeisema mkuu -- kupanda kwa foleni, ahsante kwa kukazia.
Utakuwa mgeni wa jiji wewe, umekuja kwa treni... Ndio leo nagundua kuwa foleni na misongamano vituoni na barabarani kisababishi kikubwa kilikuwa ni daladala kujaza watu kama zitakavyo...
daaah poleni sana😃😃😃😃Kinachoniuma ni sisi 'wezi wadogo wadogo by professional' tutakula wapi, maana si kwa ustaarabu huu wa Leo kwenye daladala walaqhi'..!!
Subiri Jua lizame
Sheria ya kuzuia levo siti ipo siku zote isipokua utekelezaji tu ndio hakuna.
Sheria ya kuzuia nini mkuu?Sheria ya kuzuia levo siti ipo siku zote isipokua utekelezaji tu ndio hakuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo uniibie kwangu carleen nitalala mlango wazi.Kinachoniuma ni sisi 'wezi wadogo wadogo by professional' tutakula wapi, maana si kwa ustaarabu huu wa Leo kwenye daladala walaqhi'..!!
Kesho mafuta yanatelemka bei kwa kiwango kikubwa sana tu.Daladala Sasa zitaongeza idadi ya Safari labda tatizo liwe Bei ya mafuta
Hata hivyo watapata tu hela tena bila shida. Assume daladala itaenda mjini safari tano kwa siku. Kwa hiyo kwenda na kurudi ni trip 10. Kila daladala inabeba abiria 31. Kama kila abiria atatoa TZS 400, maana yake kwa siku konda atakusanya 10 x 31 x 400 = TZS 124,000. Hapo hatuhesabii anayepanda na kushuka njiani na mwingine kupanda.
Pia magari yatakuwa kwenye hali nzuri kwa sababu hawatayaoverload, hivyo kupungua kwa gharama ya service.
Ni agizo tu lililotolewa na mamlaka japo kisheria na utaratibu ilitakiwa iwe hivyo toka kitambo. Ni mapuuza tu ya hio sheria.
Hata hivyo watapata tu hela tena bila shida. Assume daladala itaenda mjini safari tano kwa siku. Kwa hiyo kwenda na kurudi ni trip 10. Kila daladala inabeba abiria 31. Kama kila abiria atatoa TZS 400, maana yake kwa siku konda atakusanya 10 x 31 x 400 = TZS 124,000. Hapo hatuhesabii anayepanda na kushuka njiani na mwingine kupanda.
Pia magari yatakuwa kwenye hali nzuri kwa sababu hawatayaoverload, hivyo kupungua kwa gharama ya service.
yule mdada aliyekuwaga anakupa lift ukamtaka akakuchana umu mliishia wapi?Hakuna foleni kwasababu ofisi nyingi wamefunga ofisi zao wanafanyia kazi majumbani ... Vodacom makao makuu wamefunga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo pamoja na waalimu wapo majumbani hiyo foleni itatoka wapi?Hakuna foleni kwasababu ofisi nyingi wamefunga ofisi zao wanafanyia kazi majumbani ... Vodacom makao makuu wamefunga.
Sent using Jamii Forums mobile app
EeehUku mikoani tumehama kwenye level seat sahiv tunakaa seat mbili mtu mmoja 😂😂